John Bolton: Trump kaisalimisha Ukraine kwa Russia kikamilifu, Kremlin wanashangilia wakinywa vodka bila glass.

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
48,325
69,818
John Bolton mshauri wa masuala ya usalama na ulinzi wa marais wengi wa Marekani na mtu mwenye misimamo mikali ya kivita amelaani vikali Trump kuisalimisha Ukraine kwa Russia kabla hata mazungumzo ya amani hayajaanza.

Bolton anasema Putin ameshapata kila kitu kwa Trump na kwamba terms za amani za Trump kumaliza vita ni kama ziliandaliwa Kremlin kisha Trump akapewa azisome tu.

Bolton anasema Kremlin sasa hivi wanafanya sherehe huku wakinywa vodka moja kwa moja kutoka kwenye chupa(bila glass) huku wakichekelea.
Masikini Ukraine.
Screenshot_20250213-112108_X.jpg

Screenshot_20250213-111800_X.jpg
 
Bolton ana misimamo ya ovyo sana. Muda wote yupo tayari kupigana na taifa lolote adui fizikali bila kujali hasara ya jambo Hilo Kwa Marekani. Bolton ni aina ya watu wazalendo kwelikweli. Hapendi kuona Marekani ikiyumbishwa na Russia ama Iran! Kwa misimamo yake alikuwa tayari kuhakisha uvamizi dhidi ya Iran mwaka 2019. Alitolewa ikulu Kwa sababu ya misimamo hii. Kule kwao watu aina ya Bolton ndio wale huitwa War hawks. Alikuwa na rafikiye hayati John Maccain
 
Bolton ana misimamo ya ovyo sana. Muda wote yupo tayari kupigana na taifa lolote adui fizikali bila kujali hasara ya jambo Hilo Kwa Marekani. Bolton ni aina ya watu wazalendo kwelikweli. Hapendi kuona Marekani ikiyumbishwa na Russia ama Iran! Kwa misimamo yake alikuwa tayari kuhakisha uvamizi dhidi ya Iran mwaka 2019. Alitolewa ikulu Kwa sababu ya misimamo hii. Kule kwao watu aina ya Bolton ndio wale huitwa War hawks.
Waamerika wengi wanawapenda watu awa aina yake..
 
John Bolton mshauri wa masuala ya usalama na ulinzi wa marais wengi wa Marekani na mtu mwenye misimamo mikali ya kivita amelaani vikali Trump kuisalimisha Ukraine kwa Russia kabla hata mazungumzo ya amani hayajaanza.

Bolton anasema Putin ameshapata kila kitu kwa Trump na kwamba terms za amani za Trump kumaliza vita ni kama ziliandaliwa Kremlin kisha Trump akapewa azisome tu.

Bolton anasema Kremlin sasa hivi wanafanya sherehe huku wakinywa vodka moja kwa moja kutoka kwenye chupa(bila glass) huku wakichekelea.
Masikini Ukraine.
View attachment 3235117
View attachment 3235118
Trump kafungisha
 
John Bolton atakuwa mdau wa 'American war industry'! ... SIO KWA MIHEMKO HIYO!
Apewe bunduki aingie front kwnda kupigana...sometimes matatizo mengi duniani yanayosababishwa na wanasiasa ilitakiwa wapewe silaha wao wenyewe watafutane sio kuchochea migogoro halafu wao wanakuwa ofisini wanacheki kwa mbali mtanange
 
John Bolton mshauri wa masuala ya usalama na ulinzi wa marais wengi wa Marekani na mtu mwenye misimamo mikali ya kivita amelaani vikali Trump kuisalimisha Ukraine kwa Russia kabla hata mazungumzo ya amani hayajaanza.

Bolton anasema Putin ameshapata kila kitu kwa Trump na kwamba terms za amani za Trump kumaliza vita ni kama ziliandaliwa Kremlin kisha Trump akapewa azisome tu.

Bolton anasema Kremlin sasa hivi wanafanya sherehe huku wakinywa vodka moja kwa moja kutoka kwenye chupa(bila glass) huku wakichekelea.
Masikini Ukraine.
View attachment 3235117
View attachment 3235118
Masikini Ukraine...
 
Apewe bunduki aingie front kwnda kupigana...sometimes matatizo mengi duniani yanayosababishwa na wanasiasa ilitakiwa wapewe silaha wao wenyewe watafutane sio kuchochea migogoro halafu wao wanakuwa ofisini wanacheki kwa mbali mtanange
Angeanza Putin kushika bunduki kuingia front badala ya kwenda kukodi Wakorea Kaskazini hapo pointi yako ingekiwa na maana. Yaani Russsia awapore Ukraine ardhi yao halafu iwe poa tu, ndivyo mlivyofundishwa hivyo au sio!? Nini maana ya mipaka sasa!? Au ndio nyie mnaoona sawa Rwanda amege eneo la Congo!? Na baada ya hapo itakuwaje!? Kila nchi yenye ubavu wa kupora eneo la mwingine ifanye hivyo!? Na majeshi ya ulinzi kazi yake itakuwa nini!? Au bajeti za ulinzi mnaona zinawekwa tu bila akili!?

Ngoja kesho China aingie hapo Taiwani, tuone huyo bwana Trump kama atakaa kimya, kama mnavyomuona ana akili sana!
 
Bolton ana misimamo ya ovyo sana. Muda wote yupo tayari kupigana na taifa lolote adui fizikali bila kujali hasara ya jambo Hilo Kwa Marekani. Bolton ni aina ya watu wazalendo kwelikweli. Hapendi kuona Marekani ikiyumbishwa na Russia ama Iran! Kwa misimamo yake alikuwa tayari kuhakisha uvamizi dhidi ya Iran mwaka 2019. Alitolewa ikulu Kwa sababu ya misimamo hii. Kule kwao watu aina ya Bolton ndio wale huitwa War hawks. Alikuwa na rafikiye hayati John Maccain
kama rafiki yake Joh macan nilazima awe hivyo .... Ni veteran wa Vietnam war
 
Angeanza Putin kushika bunduki kuingia front badala ya kwenda kukodi Wakorea Kaskazini hapo pointi yako ingekiwa na maana. Yaani Russsia awapore Ukraine ardhi yao halafu iwe poa tu, ndivyo mlivyofundishwa hivyo au sio!? Nini maana ya mipaka sasa!? Au ndio nyie mnaoona sawa Rwanda amege eneo la Congo!? Na baada ya hapo itakuwaje!? Kila nchi yenye ubavu wa kupora eneo la mwingine ifanye hivyo!? Na majeshi ya ulinzi kazi yake itakuwa nini!? Au bajeti za ulinzi mnaona zinawekwa tu bila akili!?

Ngoja kesho China aingie hapo Taiwani, tuone huyo bwana Trump kama atakaa kimya, kama mnavyomuona ana akili sana!
China ni nchi ya amani sana, ila kama Biden angeedelea kipindi cha pili, kwa uchokozi wake, China ingelianzisha!
 
Back
Top Bottom