Jirani yangu kuna kanisa la walokole

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
7,250
10,794
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
 
Kwa upuuzi kama huo Kagame aliwaweza. Ukiwafata utaskia mbona hamzikatazi bar.
Au kwanini hamkatazi misikiti.
 
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
Aisee na mimi nakaa jirani na msikiti
Wana kispika chao cha mwaka 47 kinapiga kelele balaa mtaa mzima

Maudhi zaidi ni asubuhi kuna lijamaa linaongea kwa vitisho kweli watu wakaswali
 
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
Mkiwa na msiba mnapigiwa kwaya au hampigiwi kwaya?
 
Weusi tuna shida...nchi hii ina serikali, kisha Halmashauri, kuna MIPANGO MIJI etc.

Watu wanajitafutia eneo, wanaendeleza kama mchwa tu, huduma za kijamii zinapelekwa, jamaa wanaanza kuchukua kodi za majengo, baada ya miaka 10, wanakuja kusema tunapima maeneo hivyo hivyo ilivyojengwa...miaka 2 inayofuata, wanaanza bomoa bomoa kupitisha road.

Yote hayo ni ndani ya miaka pengine 20, baada ya mwaka 2000. Kipindi ambacho nchi tayari ina umri wa mtu mzima.

Sasa, ilipaswa kuwa, MAENEO YA MAKAZI, kusiwe na Duka, bar, genge, kanisa, msikiti n.k
  • Acha makazi yawe makazi
  • Tenga maeneo ya karibu, tena ikiwezekana opposite na makazi au vyovyote, weka huko biashara zote na majengo ya kiimani.

Hii itasaidia hata kupunguza matuta ya kipumbavu barabarani na vibao vya spidi 50.
- Nyumba huku, duka lipo upande wa pili wa road, bar iko upande mwingine...lazima uweke tuta hapo, kuna mlevi, kuna mtoto anayetumwa kwenda dukani n.k

Tunasubiri tuje tupangiwe na weupe! Sisi tunahamasishana kula kwa urefu wa kamba.
 
Nifanyeje?
Usiku na mchana ni kwaya tu, wakati mwengine wanatia kanda na kuwasha maspika ya nje wao wapo majumbani.
Hawana Jumamosi, jumapili au ijumaa , siku zote wao ndio hivyo.
Kuna shule karibu nao wanaipata Pata.
Tufanyeje? Tuhame mpaka shule nayo tuihamishe?
Nilisema misikiti na makanisa yavunjwe ni upumbavu kila mtu aswali na kumuomba mungu nyumbani mwake DINI azijaleta faida yoyote hata moja...misikiti 2 na makanisa 2 kia wilaya yanatosha au kwa kuanziatunaweza kuamlisha siku ya ibada iwe moja tu kama ilivyo amriwa waislamu ijumaa tu kisha misikiti ifungwe kelele za kuitwana swala zisiwepo nq wakristo ni siku moja tu kwa week.
 
Weusi tuna shida...nchi hii ina serikali, kisha Halmashauri, kuna MIPANGO MIJI etc.

Watu wanajitafutia eneo, wanaendeleza kama mchwa tu, huduma za kijamii zinapelekwa, jamaa wanaanza kuchukua kodi za majengo, baada ya miaka 10, wanakuja kusema tunapima maeneo hivyo hivyo ilivyojengwa...miaka 2 inayofuata, wanaanza bomoa bomoa kupitisha road.

Yote hayo ni ndani ya miaka pengine 20, baada ya mwaka 2000. Kipindi ambacho nchi tayari ina umri wa mtu mzima.

Sasa, ilipaswa kuwa, MAENEO YA MAKAZI, kusiwe na Duka, bar, genge, kanisa, msikiti n.k
  • Acha makazi yawe makazi
  • Tenga maeneo ya karibu, tena ikiwezekana opposite na makazi au vyovyote, weka huko biashara zote na majengo ya kiimani.

Hii itasaidia hata kupunguza matuta ya kipumbavu barabarani na vibao vya spidi 50.
- Nyumba huku, duka lipo upande wa pili wa road, bar iko upande mwingine...lazima uweke tuta hapo, kuna mlevi, kuna mtoto anayetumwa kwenda dukani n.k

Tunasubiri tuje tupangiwe na weupe! Sisi tunahamasishana kula kwa urefu wa kamba.
Kuna halibu simenti na nondo kwa kujenga na kuvunja ...mipango miji ni wapumbavu kweli kweli wenzao duniani wanatumia computer na AI kupanga miji wao wanatumia makalio yao kupanga miji
 
Nilisema misikiti na makanisa yavunjwe ni upumbavu kila mtu aswali na kumuomba mungu nyumbani mwake DINI azijaleta faida yoyote hata moja...misikiti 2 na makanisa 2 kia wilaya yanatosha au kwa kuanziatunaweza kuamlisha siku ya ibada iwe moja tu kama ilivyo amriwa waislamu ijumaa tu kisha misikiti ifungwe kelele za kuitwana swala zisiwepo nq wakristo ni siku moja tu kwa week.

Shotocan kutokea pande za magomeni mwebechai hawezi kutokea hapa!
 
Aisee na mimi nakaa jirani na msikiti
Wana kispika chao cha mwaka 47 kinapiga kelele balaa mtaa mzima

Maudhi zaidi ni asubuhi kuna lijamaa linaongea kwa vitisho kweli watu wakaswali
Adhana dakika 2 tu sio kero, kero kama amewasha maspika wanatia makasida au madufu. Hilo Hilo halikubaliki..lkn kama anatoa mawaidha Hilo ni kero dogo sana maana anaongea mtu mmoja tu na wengine husikiliza. Kuongea mtu mmoja sio kero
 
Back
Top Bottom