Jinsi ya kupika ndizi nyama za nazi

Aaliyyah

JF-Expert Member
Mar 20, 2022
19,328
46,805
Nafikir mna Weeknd nzuri sana nduguzangu
Leo tupike ndiz nyama za Nazi
Mahitaji
Ndizi mbichi mzuzu
Kitunguu nyanya moja(Huwa haipendez kutumia nyanya nyingi)
Karot na hoho
Nyama iliyochomshwa(usisahau kuchemsha na viungo kitunguu swaumu tangawiz na currypowder)

Nazi unaweza tumia ya pakt au ya kawaida

Hatua ya kwanza
Andaa mahitaji menya ndiz kata utakavyopenda saga nyanya,kwangua karot,kata vitunguu size upendayo
Chuja Nazi tui zito kama ya pakti acha kma ilivo
Hatua ya pili
Weka sufuria jikoni weka mafuta kidogo sana sababu tunatumia Nazi
Yakipata moto kaanga kitunguu kikilainika weka karot kaanga kidogo Kisha weka nyanya acha ziive kidogo

Zikiiva weka ndizi weka na chumvi Kwa ajili ya ladha changanya ndiz zako na nyanya vizuri Kisha weka nyama koroga pia acha zichemche pamoja na mchuz wa nyama kma mchuz ni kidogo ongeza maji au Nazi tui la jepes acha zichemke

Hatua ya Tatu
Zikiiva weka hoho kata size upendayo huleta harufu nzuri
Kisha weka Nazi changanya Kwa kuzungungusha sufuria kama unatumia mwiko koroga taratibu
Acha ziive baada ya dakika 5 zitakuwa tayari Kwa kuliwa
IMG_20240909_150540~3.jpg
IMG_20240909_151723.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240909_152204.jpg
    IMG_20240909_152204.jpg
    389.7 KB · Views: 15
Nafikir mna Weeknd nzuri sana nduguzangu
Leo tupike ndiz nyama za Nazi
Mahitaji
Ndizi mbichi mzuzu
Kitunguu nyanya moja(Huwa haipendez kutumia nyanya nyingi)
Karot na hoho
Nyama iliyochomshwa(usisahau kuchemsha na viungo kitunguu swaumu tangawiz na currypowder)

Nazi unaweza tumia ya pakt au ya kawaida

Hatua ya kwanza
Andaa mahitaji menya ndiz kata utakavyopenda saga nyanya,kwangua karot,kata vitunguu size upendayo
Chuja Nazi tui zito kama ya pakti acha kma ilivo
Hatua ya pili
Weka sufuria jikoni weka mafuta kidogo sana sababu tunatumia Nazi
Yakipata moto kaanga kitunguu kikilainika weka karot kaanga kidogo Kisha weka nyanya acha ziive kidogo

Zikiiva weka ndizi weka na chumvi Kwa ajili ya ladha changanya ndiz zako na nyanya vizuri Kisha weka nyama koroga pia acha zichemche pamoja na mchuz wa nyama kma mchuz ni kidogo ongeza maji au Nazi tui la jepes acha zichemke

Hatua ya Tatu
Zikiiva weka hoho kata size upendayo huleta harufu nzuri
Kisha weka Nazi changanya Kwa kuzungungusha sufuria kama unatumia mwiko koroga taratibu
Acha ziive baada ya dakika 5 zitakuwa tayari Kwa kuliwaView attachment 3136337View attachment 3136339View attachment 3136340
Wife material huyu hapa sasa 😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom