Jinsi ya kupata UK Visa

UK Na America kwa uelewa wangu ndo Kati ya nchi ambazo Ni ngumu kuingia, but zipo nchi ambazo mpaka zimekaribisha wahamiaji Kama Germany Na Serikali inasema wazi unataka nguvu kazi, ukitembelea Website ya Canada wameweka wazi kuwa kwa mwaka huu wana mpango wa kupokea wageni zaidi ya 300,000 Kama sijakosea ila Tu kwa mujibu wa sheria, pia wenye professional wanazotaka wanawapa vipaumbele, tatizo la nchi hii hakuna hata forums special ambapo Watanzania wangepata msaada namna ya kwenda abroad, tofauti Kama Nigeria, niliwahi kuweka post hapa nikihitaji usaidizi kupata Canadian visa, mdau mmoja akani direct Naija.com, kule nilikuta watu wanavyo fight kuondoka, walio abroad wanawasaidia wenzao kwa ushauri mbalimbali namna ya kuondoka, Kama lengo lako kwenda Abroad first chagua nchi ya kwenda, then tembelea Expat forums mbalimbali za nchi unayotaka kwenda, huko utakutana Na ushauri utakutana Na wadau waliofanikiwa kuondoka, ama wenzio Kama wewe ama raia Na wapo very social, ukweli Ni kuwa Kama unataka kwenda lets say UK inabidi uwe Na zaidi ya $10,000 bank, wengi hatuna hiyo pesa labda tunaweza kuwa Na $6,000, hapa ndo unapohitaji Invitation letter, barua ya Mwajiri n.k, but Kama hivyo huna then tafuta connection hasa nje!
UK anaringa kwa sababu ana Idadi kubwa ya wazungu kutoka Ulaya Mashariki, Poland Lithuania Latvia Romania Na Bulgaria, hao ndio wana mfanyia Kazi zote ngumu.

Tungoje mwezi wa 6 kwenye kwenye Referendum ya kujitoa EUROPE. Wakitoka EUROPE, Itabidi walegeze masharti ya Visa.
 
Ukikaa vijiweni ndivyo unavyowadanganya wenzako hivi? Nenda ubalozi wa Uingereza consular section uone kama Watanzania hawaombi na kupewa viza.

Mjinga sana wewe na unaishi dunia ya kusadikika.
Mkuu ku apply visa, sio issue issue ni kuwa Wengi hatuna sifa....utakuta mtu ana $4,000 au $5,000 hata aroge huwezi pata Visa ya UK or America, but kuna njia anaweza tumia akatoboa Ulaya nchi za kawaida baada ya muda then anaweza kwenda kwenye nchi ya matamanio yake, sasa maujanja kama haya huyapati ubalozini, ila kupitia Social forums kama hizi.
 
Maisha ni magumu kwako, kama Bongo baba yako ni fisadi wa Escrow ni lazima uone maisha ya UK magumu, unasema nauli ya daladala ni sawa ba Dar Moro mbona hutuambii mshahara kwa saa ni paundi ngapi kwa saa na mtu anaweza kufanya kazi ngapi kwa siku na kwa Agency kazi zipo?
Nikweli mkuu,kwa sisi tuliozoea ku hustle bongo si rahisi yakatushinda ughaibuni,kama mtoto wa mama ndo hapoo.
 
Mkuu ku apply visa, sio issue issue ni kuwa Wengi hatuna sifa....utakuta mtu ana $4,000 au $5,000 hata aroge huwezi pata Visa ya UK or America, but kuna njia anaweza tumia akatoboa Ulaya nchi za kawaida baada ya muda then anaweza kwenda kwenye nchi ya matamanio yake, sasa maujanja kama haya huyapati ubalozini, ila kupitia Social forums kama hizi.
Viza zinapatikana hapohapo ubalozini, wazungu wanalogwa na makaratasi tu, hayo makaratasi wanayoyataka yapo na viza zinatoka.

Kama kuna memba mwenye usongo na safari na anataka viza ajipange aandae dolar 2000 standby anapelekwa front viza ikitoka unacheuwa mpunga.

Acheni kukariri maisha, Diamond kila siku anakwenda hizo nchi na wakata viuno kwa mfano akiamuwa kumchomeka ndugu yake kwenye kuomba viza nani atajuwa?

Hizi ndio njia alizitumia Papa Wemba kitambo kuingiza wakongo Ufaransa, UK na Marekani hawamwangalii mtu usoni US Embassy wameshawahi kumtosa viza mzee Malecela na status yake.

Kwa wale ambao hamjafika ulaya mkifika mtashangaa sana kukuta wale mafalamafala enzi za shule ndio wametoboa kule wajanja kitambo wanapiga marktime. Enzi za kuivizia nchi ya kwenda kwa mzunguko wa mwaka mzima zimepitwa na wakati.
 
Mkuu ushawahi kutoka nje ya nchi kwanza inabidi utoke kwanza uende japo india, china, dubai. Uone mchakato ulivyo then unaweza kufikiria kuomba visa ya UK. Yaani UK na USA Visa zao kama unaomba kwenda mbinguni vile na tena ukitokea kwenye nchi zetu za dunia ya tatu ndio kabisa.
 
Hakuna nchi ngumu kuingia sasa kama UK, sijui labda Australia pia. Lakini UK walio wengi wanashindwa na hawapati VISA kabisa. Kwa nchi za francophone nao wanapata shida sana kwenda France. Wengi sasa wanaenda kwanza Eastern Europe, then wanaapply kupata Schengen VISA ndio watusue western Europe.

Lakini kama unahitaji kwenda, the only possible option ni kwenda kama mwanafunzi, i doubt kama ni rahisi kupata expert VISA to the UK, wanao experts wengi na wengine wamemaliza vyuo wanabaki huko. Apply kama mwanafunzi, uwe na funds za kutosha kama bank account $15,000 - $ 30,000 kutegemeana na chuo unachotaka kwenda.

BTW, maisha UK yapo juu sana. Afadhali hata Canada, au hata Scandinavian countries, japo nasikia Sweden pia life liko juu.
 
Maelezo mazuri zaidi yapo katika website yao, lakini wana masharti ka waganga wa kienyeji. Mara mia uombe viza ya Schengen ambayo inakupa uwezo wa kutembelea nchi zaidi ya 25 za maana (isipokuwa Uingereza).
Schengen ni nchi gani
 
Mkuu ushawahi kutoka nje ya nchi kwanza inabidi utoke kwanza uende japo india, china, dubai. Uone mchakato ulivyo then unaweza kufikiria kuomba visa ya UK. Yaani UK na USA Visa zao kama unaomba kwenda mbinguni vile na tena ukitokea kwenye nchi zetu za dunia ya tatu ndio kabisa.
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua mkuu.
 
Schengen ni nchi gani
A group of European Countries that have abolished border controls against each other...sasa hapo list ya hizo nchi
ndio wabidi uzicheck.

For America i think ndio maana wanasema ni rahisi kidogo kuingia states kupitia Canada cz boarder controls between Canada & US kidogo ziko loose kuliko useme utoke directly from Bongo to US.

Uzuri wa JF bana ni mgodi unaotembea unaweza pata maujanja humu huto amini.....Binafsi nikiona issue zinabuma kitaa lazma nije humu kwa ma Alhaj. Tehe
 
Mkuu ku apply visa, sio issue issue ni kuwa Wengi hatuna sifa....utakuta mtu ana $4,000 au $5,000 hata aroge huwezi pata Visa ya UK or America, but kuna njia anaweza tumia akatoboa Ulaya nchi za kawaida baada ya muda then anaweza kwenda kwenye nchi ya matamanio yake, sasa maujanja kama haya huyapati ubalozini, ila kupitia Social forums kama hizi.
Umemjibu vyema sanaaaa.
 
Schengen ni nchi gani
Schengen sio Nchi, ila ni Mji mmoja wapo katika nchi ya Luxembourg, ambako mkataba wa kuondoa vikwazo mipakani kwa baadhi ya nchi za Ulaya ulisainiwa, mnamo mwaka 1985. Mkataba huu wa kuondoa vizuizi mipakani ulisainiwa na nchi tano kwanza, ambazo ni Ubelgiji, Ujerumani (enzi hizo ilikuwa Ujerumani Magharibi), Ufaransa, Luxembourg na Ubelgiji. Kwa sasa nchi zinahusika na mkataba huo zimeongezeka na kufikia 26, zikiwemo Sweden, Finland, Norway, Ugiriki, Italia nk. Uingereza haihusiki na mkabata huo.
Mkataba huu pia ni tofauti na ule wa EU, kwa sababu baadhi ya wanachama wa Schengen si wanachama wa EU, kama vile Uswisi na Norway.
Nadhani nimefafanua kidogo.
 
Huwezi kupata visa ya kuingia na kuishi UK kwa wewe mbongo. Hiyo futa kwenye kichwa chako otherwise kama ulisoma /unaenda kusoma UK.
Jipange tafuta pesa kisha pitia Syprus, Greece, Hungary, Bulgaria. Then stay there for not less a year, kisha utaomba resdent permit(RP) then utaweza ingia UK kiutamuutamu na kupiga life. Nina jamaa yangu yupo Reeds but naogopa kukuconnect nae maana nikishawahi kufanya wema huo kisha jamaa akamuibia mshikaji vitu kibao akala kona to Wales but jamaa alimkamata after 3months.
NOTE:Maisha ya UK ni very tight so Jipange.
Reeds iko sehemu gani UK mkuu?
 
A group of European Countries that have abolished border controls against each other...sasa hapo list ya hizo nchi
ndio wabidi uzicheck.

For America i think ndio maana wanasema ni rahisi kidogo kuingia states kupitia Canada cz boarder controls between Canada & US kidogo ziko loose kuliko useme utoke directly from Bongo to US.

Uzuri wa JF bana ni mgodi unaotembea unaweza pata maujanja humu huto amini.....Binafsi nikiona issue zinabuma kitaa lazma nije humu kwa ma Alhaj. Tehe
Senior Boss,
Nimependa ufafanuzi wako wa maisha ya Ughaibuni hapo juu. Nimeishi nchi mojawapo ya Scandinavia, kwa miaka kadhaa, infact maisha kule ni magumu kama hufanyi kazi, na kama ulivyosema, pesa nyingi unazopata zinaishia kwenye malipo kadhaa ya bili za nyumba, internet, maji na umeme. Ila ni kuzuri sana, na vijana wa bongo wapo kibao ambao wametumia Plan B kufika kule (njia zisizo rasmi), hasa ndoa.
 
Senior Boss,
Nimependa ufafanuzi wako wa maisha ya Ughaibuni hapo juu. Nimeishi nchi mojawapo ya Scandinavia, kwa miaka kadhaa, infact maisha kule ni magumu kama hufanyi kazi, na kama ulivyosema, pesa nyingi unazopata zinaishia kwenye malipo kadhaa ya bili za nyumba, internet, maji na umeme. Ila ni kuzuri sana, na vijana wa bongo wapo kibao ambao wametumia Plan B kufika kule (njia zisizo rasmi), hasa ndoa.
That is Correct.

To be honest namshukuru Mungu nimeishi both US & UK i kno those places well. Nchi za watu ni kuzuri sanaaa nd very addictive despite haya ma expenses na ajira zao mtu ukishazoea kule kurudi bongo ngumu sanaa labda uwe una akili flan ya ziada sanaa au that una malengo ya uhakika.

Pamoja na ma timbwili yote kule watu wakienda hawarudi...mfano ma doctor, nurses, engineers wana make hela ya ukweli tu alaf umwambie mtu aje kuajiriwa muhimbili umpe million kwa mwezi watu hawakuelewi.

Inshort as a professional kule kuzuri sanaa kupata mtaji. As for me nikiotea 5 year work visa....kuna vitu flan navi aim nikiviotea tu. Umaskini naupiga chini for life ni way on another level.

Im just patiently searching for the missing pieces in my puzzle and its DONE.
 
Mkuu chase your dream
It will takes some times ila
ukiamini utafika pale

mifano ya watu wa Nigeria wanashangaza kila sekunde unapokutana nao Sipo ughaibuni ila nilipo tu nakutana nao
Wana spirit ya ajabu na confidence ambayo nashindwa kuielezea hawa jamaa ni washenzi sana kuna wakati na mimi hua najifanya mnaigeria ili niweze kupata baadhi ya vitu kwa haraka japo lafudhi yao inanishinda kidogo

usifunje sheria tu lakini hawa jamaa wanatengeneza ndoa fake ,magonjwa fake,familia fake na sababu fake kibao na wanaingia kupiga kazi sana na kwenye mzigo wapo smart balaa ni akili flani ambazo wao wana imani kali sana juu yake

Na sio hizo tu zipo njia nyingi mpaka unaweza kuchoka kwa jinsi hawa jamaa wanavyopenya kwenye hizi nchi zenye sheria kali za Visa na kisheria wanakua hawajazivunja

Sisi bado hatujapata changamoto nyingi za kimaisha kupambanua uwezo wetu wa kufikiri masuala ya kupitia Eastern Europe inawezekana sana ila kwa wenzetu hii ni janja za kiuoga na kupoteza muda wako maisha yanaweza kukupiga sana hapo katikati na usitamani kwenda mbele wala kurudi nyuma
 
Back
Top Bottom