Jinsi wanaume dhaifu walivyoharibu utaratibu wa kiafrika

Habari jamii forum

Hapo mwanzo Mungu alimuumba Adam,huu ni sehemu wa mstari kutoka kitabu cha mwanzo ikionesha mwanaume ndiye kiumbe wa mwanzo na ndiye mwenye mamlaka ya kutawala ulimwengu.

Malalamiko ya wanaume wengi kunyanyaswa ni mengi,vilio na kukosa kujiamini ni kwingi

Lakini Kasi ya wanawake kutaka Uhuru wao nayo ni kubwa si mijini si vijijini,hali ya dharau na kujiamini Kwa mwanamke imeshika kasi.

Lakini hata yoooote kabla hatujalaumu utawala wa kimagharibi kama wengi tunavyodhani je Mwanaume wa kiafrika upo na misingi ileile au ndiyo

Ukikuta meseji unalia,
Mwanamke asipopokea simu unalia,
Ukiguswa Tu kidogo unalia,
Huna mipango,huna chochote cha kujifanya mwanamke ajivunie kuwa na wewe.

Miaka nenda Rudi mwanaume ni mtawala ,ni kiongozi anaheshimika na familia na kuogopwa ikibidi,
Mwanaume akiongea Kwa ukali familia nzima inatetemeka inajua Leo Baba kavurugwa.

Lakini siku hizi mwanaume Hana nguvu ,nyumba si yake,kila kitu ni cha mwanamke,analea watoto si wake na hajui hapo ndipo mwanamke anahisi anaishi na houseboy tu na si mume.

Ni jambo la aibu na lisilovumilika mtu kuishi ukweni au sehemu anapomiliki mwanamke,watu wa hivi ndiyo waliotoa pasi mbovu na sasa ni kama tunaelemewa,mamlaka yetu yananajisiwa Kwa kigezo cha usawa ndipo tulipofeli

Dunia ilikosea na kukosea kumpa mamlaka mwanamke,Dunia hazijawahi kuwa na chief mwanamke mababu zetu waliishi kwenye empire zao kukiwa hakuna mtawala wa kike .

Myself sijawahi kufurahishwa wala kufagilia maamuzi yeyote kutoka Kwa jinsia Ke ,hata nyumbani kwangu naishi Kwa misingi ya nguvu na nishatoa onyo mtu yeyote atakaye taka usawa nyumbani kwangu hakika ataonja jiwe la Moto (kwanza anaanzaje)

Ipo siku isiyo na jina heshima yetu itarudi hata Kwa kutumia nguvu.
Acha uwongo ndugu.

Mwanaume gani huyo eti akikuta meseji analia, wa wapi?
 
Huyo aliyekua anaumba mwanaume kiumbe cha kutawala dunia, yeye alikaa wapi? 😹

Tena umenikumbusha kuna kibuyu mmoja kanipigia analalamika nimemchunia msg zake sijibu 🤣😹
 
Kiukwel kwasasa vimama vingi sana vimetawala nyumba,mpaka wageni wa baba wanaogopa kukanyaga kwa ndugu zao wa kiume

Kutokana na upole wangu huu,nimeamua kukaa singo maana nikioa tu lazima mwanamke atake kunipanda kichwan
Ukiacha ugumu utapata mke wa kumpanda wewe kichwani 😹😹

Btw hivi mliishia wapi na yule mdada mwenye story yake ya kuteseka?? Usinambie ulimkosa na swagger zote zile ulizomuimbisha..!! 🤣😹
 
Hiki tuite kikao cha wanaume

kuna kundi lingine la wanaume wenye kuwa na ID mbili moja ya jinsia ya kike na nyingine ya kiume hili kundi linatuangusha sana
 
Habari jamii forum

Hapo mwanzo Mungu alimuumba Adam,huu ni sehemu wa mstari kutoka kitabu cha mwanzo ikionesha mwanaume ndiye kiumbe wa mwanzo na ndiye mwenye mamlaka ya kutawala ulimwengu.

Malalamiko ya wanaume wengi kunyanyaswa ni mengi,vilio na kukosa kujiamini ni kwingi

Lakini Kasi ya wanawake kutaka Uhuru wao nayo ni kubwa si mijini si vijijini,hali ya dharau na kujiamini Kwa mwanamke imeshika kasi.

Lakini hata yoooote kabla hatujalaumu utawala wa kimagharibi kama wengi tunavyodhani je Mwanaume wa kiafrika upo na misingi ileile au ndiyo

Ukikuta meseji unalia,
Mwanamke asipopokea simu unalia,
Ukiguswa Tu kidogo unalia,
Huna mipango,huna chochote cha kujifanya mwanamke ajivunie kuwa na wewe.

Miaka nenda Rudi mwanaume ni mtawala ,ni kiongozi anaheshimika na familia na kuogopwa ikibidi,
Mwanaume akiongea Kwa ukali familia nzima inatetemeka inajua Leo Baba kavurugwa.

Lakini siku hizi mwanaume Hana nguvu ,nyumba si yake,kila kitu ni cha mwanamke,analea watoto si wake na hajui hapo ndipo mwanamke anahisi anaishi na houseboy tu na si mume.

Ni jambo la aibu na lisilovumilika mtu kuishi ukweni au sehemu anapomiliki mwanamke,watu wa hivi ndiyo waliotoa pasi mbovu na sasa ni kama tunaelemewa,mamlaka yetu yananajisiwa Kwa kigezo cha usawa ndipo tulipofeli

Dunia ilikosea na kukosea kumpa mamlaka mwanamke,Dunia hazijawahi kuwa na chief mwanamke mababu zetu waliishi kwenye empire zao kukiwa hakuna mtawala wa kike .

Myself sijawahi kufurahishwa wala kufagilia maamuzi yeyote kutoka Kwa jinsia Ke ,hata nyumbani kwangu naishi Kwa misingi ya nguvu na nishatoa onyo mtu yeyote atakaye taka usawa nyumbani kwangu hakika ataonja jiwe la Moto (kwanza anaanzaje)

Ipo siku isiyo na jina heshima yetu itarudi hata Kwa kutumia nguvu.
Wamama wanaza watoto wakiume wanakuwa mashonga kwa tamaa zao.
 
Hiki tuite kikao cha wanaume

kuna kundi lingine la wanaume wenye kuwa na ID mbili moja ya jinsia ya kike na nyingine ya kiume hili kundi linatuangusha sana
Halafu hivi mwanaume unawezaje kuwa na IDs ya kike, serious,Una feel ukitongozwa huko PM? Maajabu haya
 
Huyo aliyekua anaumba mwanaume kiumbe cha kutawala dunia, yeye alikaa wapi? 😹

Tena umenikumbusha kuna kibuyu mmoja kanipigia analalamika nimemchunia msg zake sijibu 🤣😹
Hicho kibuyu ipo siku kitajitambua
 
Ukiacha ugumu utapata mke wa kumpanda wewe kichwani 😹😹

Btw hivi mliishia wapi na yule mdada mwenye story yake ya kuteseka?? Usinambie ulimkosa na swagger zote zile ulizomuimbisha..!! 🤣😹
Jana umeandikiwa uzi ukapotea kama haupo,nenda kwenye uzi wako kwanza
 
Back
Top Bottom