Jinsi tunavyoibiwa petrol station

Mimi nawaambiaga tu weka full huku nikihakikisha inaanza kusoma kwenye zero baada ya hapo nasinzia nakuja kuamshwa wameshajaza...nafuta kilometers kuanzia zero zikifika 390km naenda tena...ole wao isifike 390km wananijua maana gauge ilishakufa
Ha ha ha,lakini kuna factors nyingi zinazosababisha fuel consuption kuwa tofauti na mazoea,moja wapo ni foleni ya muda mrefu na pia mwendo wa kutumia gear kubwa yaani below 30km/h.
Pia acceleration inayopelekea speed ya above 90km/h, labda uwe na speed yako maalum na unajua hukai foleni.
 
Ha ha ha,lakini kuna factors nyingi zinazosababisha fuel consuption kuwa tofauti na mazoea,moja wapo ni foleni ya muda mrefu na pia mwendo wa kutumia gear kubwa yaani below 30km/h.
Pia acceleration inayopelekea speed ya above 90km/h, labda uwe na speed yako maalum na unajua hukai foleni.
Mkuu hapo ndio nimeweka na hizo factors zingine...ila ikifika 390 ndo naenda kujazilia tena ila wese linakuwemo kiasi
 
Hushikeshike pump, set kuanzia zero na huwache ijae nyenyewe,ukishika shika pump nakumaidi coz ndio wizi huo
 
Dawa yao ni kujenga ka shell kadogo nyumbani kwako! Angalau ukichimbia katenk ka Lita 10000 Lt unatumia hadi unasahau!
Ni suala la bajeti tu!
Tenga eneo la nyumba yako iwe mfano Wa yard! Chimbia tank chini, nunua pump zile ndogo funga Kwa matumizi yako! Yakiisha unajaza tu!
Yanini kujipa stress na mafuta ambayo hujui ubora wake?
FAIDA ZA KUJAZA GARI FULL TANK
1. Mafuta hayatumiki sana, kinachotumika sana hapo ni gas inayokuwa generated ndani ya tank..tofauti ni kwamba mtu anayeweka mafuta ya kibaba yanapofika ndani ya tank yanasambaa na kuisha mapema tofauti na aliyejaza full tank.
2. Uhakika Wa safari ni mkubwa
3. Unaepuka uwezekano Wa pump kufuta uchafu uliochini unaweza leta madhala kwenye injini.n.k
MADHALA YA MAFUTA MACHAFU KWENYE GARI
1. Injini kufa mapema.
2. Petrol filters kuziba au kutoa uchafu.
3. Gari kuanza kumisi na kupoteza nguvu.
4. Gari kutoa moshi mwingi
5. Gari kuzima au kutetemeka.
6. Service za Mara Kwa mara
Kwa maelezo zaidi Jinsi ya kufanya mafuta yako yasiishe haraka hata Mara mbili zaidi ni PM nikupe dawa ya kudilute
Hujui unachoongea!
 
Ndivyo ilivyo,ila wametutafuna sana.
Asee mi wamenifilisi basi..
Mwaka wa tano huu ila kuanzia Leo ni dumu kwa kwenda mbele...

Hivi sheli wanakubali ushushe dumu ukiwa na gari hapo hapo?
 
Scientifically tunashauriwa kuweka mafuta ya gari alfajiri sana,

Kwa sababu mafuta yalipopigwa na baridi usiku mzima yanasinyaa na kuwa na ujazo mdogo zaidi, so ukiweka asbh unapata mafuta ya letsay lita 5 ila unapokuwa unayatumia mchana kipindi jua linapokuwa kali au kutokana na kutanuka kwa sbb ya joto la gari yanakuwa na ujazo mkubwa zaidi (ingawa sio sana).

Effect hii inaonekana kwa dhahiri kwa wale wasafiri wa masafa ya mbali ambao wanaweka mafuta asbh saana na wanakwenda safari ndefu
 
Kiukweli imenikuta pale mwenge mpakani niliweka mafuta ya elfu 20 kwakawaida huwa najua wapi gauge huwa inafikia. Siku hiyo mshale haukupanda nilipouliza nikaambiwa utapanda badae, nimeenda mpaka home haupandi.

Sasa nikaja kujua sababu huwa nikijaza mafuta 20 kwa routes zangu huwa natumia siku mbili ila siku ile nikaishiwa mafuta siku ya pili kabla sijafikia ata robo ya trip. Nikaamua kuwafuata na bahati nzuri nikamkuta jamaa aliyeniuzia kumpiga mkwara akasema eti pump nilikuwa mbovu, nikwambia nitawaripoti kwa euwra, wakasema labda ilitokea shida.

Watu wa shell ni wapuuzi sana, ni wezi sana.
ushahama mwanza umekwenda jiji la bashite mbona hujatuaga huuku
 
anawaza nini, watumbuliwe kwa sababu gani ? Kama unaibiwa to a taarifa Polisi sasa ewura na wakala wa Vipimo waje kukaa hapo shell au ndio wanaopima? Cha msingi kama unatilia shaka kituo toa taarifa kwa mamlaka hizo wachukuwe hatua wao sio malaika wa kuota kuwa kituo Fulani kinaiba, vinginevyo ukigundua tabia kama hizo hama kituo watakosa Wateja watajirekebisha
napita tu
Naona umetetea Sana au nikutokana na jina hilo unalotumia(metrology)???
 
Back
Top Bottom