Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,560
- 1,545
Hakuna unene usiopungua ,ukiacha kula wanga na sukari utaona maajabuUnene mwingine ni asili Wala sio kula, tunajubana wapi hatupungui...
Hakuna unene usiopungua ,ukiacha kula wanga na sukari utaona maajabuUnene mwingine ni asili Wala sio kula, tunajubana wapi hatupungui...
Haha muhimu uwe na flat tummy ili kishape kionekane vizuri myAiseeeh!!! Mie kuhara hapana jamani🙆🙆
Ngoja kwanza tuweke kikao cha dharura na hiki kitambi tuone tunafanyaje.Haha muhimu uwe na flat tummy ili kishape kionekane vizuri my
😅😅😅 Fanya hivyo utanoga sana wallai. Hujui tu yaani 😜😜Ngoja kwanza tuweke kikao cha dharura na hiki kitambi tuone tunafanyaje.
Unene wa asili? There is no such thing.Unene mwingine ni asili Wala sio kula, tunajubana wapi hatupungui...
fungua kwa kutumia web viewHivi ndo hayo hayo ya kupaka? Natumia app Pic haifunguki
Is this a question or statement?Unaharisha kizungu tumbo haliumi...
Kuharisha kwake balaa.Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Hakika sipendi unene, ila ndio ivyo unakujaga tu wenyewe.
Ila uzuri mimi sina kitambi ila ndo hivyo nimeongezeka uzito.
Ili kupunguza uzito basi hutumia mafuta ya mnyonyo nakunywa kijiko kimoja kwa wiki mara mbili nalamba na ndimu na baada ya muda nakunywa maji vuguvugu.
Sasa huu mziki nilianza nao jana jamani niliharisha ila haikuwa sana.
Nilivyo mbishi nikaamka nao tena nikanywa tena leo aisee nimeharisha mara nyingi.
Ikumbukwe kuwa ukinywa haya mafuta usitoke kwenda mahali ukae ndani.
Usisahau pia kunywa maji kwa wingi ila ya uvuguvugu ili uchafu utoke.
Na ukitaka kukata kunywa maji baridi...
Sasa hapa najipa wiki 2 tu narudia kamwili kangu kazuri...
Hata kama hupunguzi uzito unaweza ukawa unakunywa kwa kusafisha tumbo
NB: kama unajua unamatatizo ya kupungukiwa maji au unamagonjwa makubwa usinywe...
Nitaleta mrejesho
vijiko viwili at once alafu unywe supu au uji hapo hapo wacha wee usitoke karibu na choo kwa muda wa masaa mawili + yaani fanya siku ambayo sio ya safari maana utaaibika. Na ukienda sio kwa sauti hiyo mara 𝐏𝐚𝐫𝐚𝐜𝐡𝐚𝐜𝐡𝐚𝐚𝐚𝐚, 𝐜𝐡𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢, 𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚, 𝐩𝐮𝐮𝐮𝐡! 𝐩𝐮𝐮𝐮𝐡!𝐩𝐮𝐮𝐮𝐮𝐡! 𝐩𝐰𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚! 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐤𝐢𝐢𝐟𝐮 𝐤𝐢𝐢𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮. 𝐍𝐣𝐨𝐨 𝐏𝐌 𝐧𝐤𝐮𝐚𝐦𝐛𝐢𝐞Kijiko ni kimoja tu...
Kwa wiki mara 2
𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐚 𝐩𝐢𝐜𝐡𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐣𝐮𝐮, 𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐢 𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐧𝐲𝐰𝐞𝐥𝐞 𝐩𝐢𝐚 𝐡𝐮𝐭𝐢𝐛𝐮 𝐡𝐚𝐝𝐢 𝐮𝐩𝐚𝐫𝐚Haya mafuta ya mnyonyo yapo ya aina nyingi, Kuna ya nywele pia, hivyo inabidi uende pharmacy ndio yanauzwa haya ya kunywa...
vijiko viwili at once alafu unywe supu au uji hapo hapo wacha wee usitoke karibu na choo kwa muda wa masaa mawili + yaani fanya siku ambayo sio ya safari maana utaaibika. Na ukienda sio kwa sauti hiyo mara 𝐏𝐚𝐫𝐚𝐜𝐡𝐚𝐜𝐡𝐚𝐚𝐚𝐚, 𝐜𝐡𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢𝐢, 𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚𝐩𝐚𝐫𝐚, 𝐩𝐮𝐮𝐮𝐡! 𝐩𝐮𝐮𝐮𝐡!𝐩𝐮𝐮𝐮𝐮𝐡! 𝐩𝐰𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚! 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐩𝐫𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐤𝐢𝐢𝐟𝐮 𝐤𝐢𝐢𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮 𝐭𝐨𝐨𝐟𝐮. 𝐍𝐣𝐨𝐨 𝐏𝐌 𝐧𝐤𝐮𝐚𝐦𝐛𝐢𝐞
Hadi umecheka njoo PMwe kweli unajua balaa lake
kama ni statement (declarative sentence) haina majibuStatement