Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,919
- 8,657
Afu akila ban atakuja kulalamika na ID nyingineAiseeeeeeeee!!
Afu akila ban atakuja kulalamika na ID nyingineAiseeeeeeeee!!
Replacement Plan😅Replacement...
Replacement...
Replacement my best.
Non Sense ... Focus on Ur lane ...Nakuelewa sana tu mrembo
It takes a minute to get crush on someone, and hour to like someone and day to love someone, but it's takes a lifetime to forget someone.
Kushindwa kwako Ni kunatokana na wewe kuiruhusu akili yako kumfikilia.Thank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi👏
Sasa kama yeye ndo tatizo?Pole utampata aliyebora kwako inshallah
hali unayopitia ndo hali niliyonayo mimi kwa sasaThank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi
Mzee mwezangu unahitaji mambo matatuHabari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Kweli kabisaHii kitu kama haijakutokea unachukulia simple ila kama ilishawahi kukuta ndo utajua maumivu yake pole its take year but uweza kuondoa picture yake kwa moyo na hongera pia watu kama ninyi ni wachache kwenye dunia ya sasa kumpenda mtu kiasi hiyoo
Walahi napendaga vitu kuumana Kama hivi..🤣Hahaha time is the best healer. Ila wewe inaonesha unajiendekeza shoo.... Ukikubali kutokea kwenye uvungu wa moyo wako kwamba he's no longer yours hakika utamsahau.
Mimi ilikuwa nikiona Brevis tu moyo unapiga paaa, asubuhi nikienda mishe mishe lazima nipite njia inayopita kazini kwake + anapoishi. Can you imagine that faken situation i had? Ila nilijiruhusu kumsahau and now I'm all good. Hata nikimkumbuka ni kwa uzuri sio kama zamani nikimkumbuka nakabwa kooni na uchungu. 😂
Mpendwa kuna mkamilifu kwenye mahusiano kila mmoja ana mapungufu yake tunavumilianaSasa kama yeye ndo tatizo?
Aangalie tabia yake
Kama ni mbofumbofu watu haturudi nyuma
Kwa ushaur zaid njoo pm.Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Huwa mnapasha kiporooo..?Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Jiandae na spana namba 10 braza 😂😂😂 inaonekana unatembelea uzi ulioloana! Ila unajipa moyo tuPole sana mkuu,binafsi sijawahi kukumbana na hiyo changamoto japo napitia wakati mgumu na mpenzi wangu...
Busara isipotumika huenda yakanifika yaliyokufika....maana huyu mtoto wa kichaga nampenda kupita maelezo.
Wahuni mmeumizwa sana na mapenzi 😂😂😂Usitumie nguvu nyingi kumsahau..
Kwa sababu kwa kufanya hivyo itakufanya uzidi kumkumbuka..
Ishi maisha ya kawaida huku ukijipa thamani zaidi na kujipenda..
Muda huponya kila kitu..
I've been there..😂😂 sikuwahi kufikiri kutoa machozi kwa ajili ya mtoto wa mtu, but i did..
Lakini leo, hata aje ajitolee mahari siwezi mchukua kama mke wangu.
Wakati unamtingishia kiberiti ulijua hataondoka 😂😂😂???Aah siwezi mwambia itakua kama namlazimisha hivi nilidhani mwenyewe tu kama kweli na upendo kwangu angeweza kurudi.🙄
Babe nakuita lakini😍Ni kweli dear kiuhalisia ni ngumu mno kutokana na mazoea na good moments you had together