Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Pole sana kwa hisia kali za kutesa namna hiyo coz kwa binadam wa kawaida lazima ufeel hivo uukiachwa but ikiacha huez feel kitu hko but nnacho kushauri mkubalie huyo bwana anaekutongoza saivi afu mpe moyo wako akutunzie i guarantee that ni week 2 tu utapona lakini ukibaki unamuwaza afu masela wengine unawachomolea nje sababu ya huyo jamaa mmoja My Friend utatutukana wanaume wote kwa kosa la kwako pekeako la kusubiri meli airport
 
Thank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi👏
Kushindwa kwako Ni kunatokana na wewe kuiruhusu akili yako kumfikilia.

Kwa lugha rahisi unajiendekeza tu.Sioni kwann ushindwe kama una nia thabiti ya kumsahau utamsahau tu.

Futa Picha zote zinamuhusu,mawasiliano na chochote ambacho ukikiona utakumbuka uwepo wake. Then jikeep busy uwe home ama ofisini.

Tafuta kampani,usiruhusu kukaa peke yako kwa muda mrefu otherwise uwe umelala.

Inashangaza na kuumiza dunia yote hii yenye watu bilioni na kitu unasumbuka na kiumbe mmoja ambaye madhaifu yake binafsi yanakukosesha raha.

Mwisho kabisa Sali sana, Kuna tumaini la kweli ukiwa karibu na Mungu.
 
Habari wakuu!

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Mzee mwezangu unahitaji mambo matatu
1. Maombi
2. Muda
3. Mtu wa kukufanya usahau
I went through the same shit, bt am over it, saiv ht akinivulia sishtuki...
Ila pole sana best.. that's the way of life.
 
Hahaha time is the best healer. Ila wewe inaonesha unajiendekeza shoo.... Ukikubali kutokea kwenye uvungu wa moyo wako kwamba he's no longer yours hakika utamsahau.

Mimi ilikuwa nikiona Brevis tu moyo unapiga paaa, asubuhi nikienda mishe mishe lazima nipite njia inayopita kazini kwake + anapoishi. Can you imagine that faken situation i had? Ila nilijiruhusu kumsahau and now I'm all good. Hata nikimkumbuka ni kwa uzuri sio kama zamani nikimkumbuka nakabwa kooni na uchungu. 😂
Walahi napendaga vitu kuumana Kama hivi..🤣
 
Habari wakuu!

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Kwa ushaur zaid njoo pm.
 
Habari wakuu!

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu
Huwa mnapasha kiporooo..?
 
Pole sana mkuu,binafsi sijawahi kukumbana na hiyo changamoto japo napitia wakati mgumu na mpenzi wangu...
Busara isipotumika huenda yakanifika yaliyokufika....maana huyu mtoto wa kichaga nampenda kupita maelezo.
Jiandae na spana namba 10 braza 😂😂😂 inaonekana unatembelea uzi ulioloana! Ila unajipa moyo tu
 
Usitumie nguvu nyingi kumsahau..

Kwa sababu kwa kufanya hivyo itakufanya uzidi kumkumbuka..

Ishi maisha ya kawaida huku ukijipa thamani zaidi na kujipenda..

Muda huponya kila kitu..

I've been there..😂😂 sikuwahi kufikiri kutoa machozi kwa ajili ya mtoto wa mtu, but i did..

Lakini leo, hata aje ajitolee mahari siwezi mchukua kama mke wangu.
Wahuni mmeumizwa sana na mapenzi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom