Kwakweli kabaniaInsider leo umezibania sana hizi episodes aisee
roho nzuri wakati anawachanga kama karata,Hivi wanawake wenzangu huyu insider mwenye roho nzur hivi naacbaje kimpa penzi??
Au ni Mimi tu ? najisikia hivi
ugentle ni kazi kwelikweli, ni bora kua kitombi tu...
Kama ungelimpenda mmoja wao wala hizo sababu zisingelikuwepo amini nakwambia,kuna baadhi ya marafiki hawafai kuwa wapenzi wacha wabakie kwenye hiyo hiyo nafasi ya urafiki ni salama na nzuri zaid
I insistKuteseka sio adhabu ni matokeo.
Unajiskia kweli au basi, maana nikiendelea wasije kusema nimesaidia kuwatangazia azam biashara yao burudani kwa wote, au Kilimanjaro lager kiburudisho cha taifaroho nzuri wakati anawachanga kama karata,
mnaongea tu kwa vile ni simulizi
Nimekuelewa Budah..unatisha Baharia.Mkuu kama tulianza pamoja nilisema story itabase kwa watu waliokuwa na impact kwangu, sijataka kugusia maisha yangu binafsi.
Kwa upande wa marafiki wa chuo nilikuwa nao wachache sana kama Aggy nilimwongelea, na pia kuna mmoja nitamgusia mbele kidogo. Hawa ndo walikuwa partners wangu, marafiki zangu wengi walikuwa niliosoma nao Advance na olevel ila hawa wa chuo wengi ni wanafiki tu.
Tyna - Tumekua naye japo alikuwa ni rafiki wa dada yangu.
Aggy- Tumesoma wote Olevel mpaka chuo
Dav- Huyu tumepiga wote Advance mpaka chuo alikuwa anasoma Finance utamkuta mbele.
Sijataka kuweka maisha yangu binafsi kwenye hii story ila marafiki ninao napia wa Taasisi X kuna moja nilimgusia alikwenda Europe kusoma kwasasa yuko Canada.
Kwa upande wa chuo hakunaga rafiki na mimi nilikuwa mtu wa mambo yangu. Pia nina zile sifa za “ANTI-SOCIAL.”