Hili nalo nenoooUnaweza wafanya CCM wakubali matokeo Zanzibar? Au CUF wakubali kushiriki uchaguzi?
Kwanini yasilinganishwe?Umeanza lini na umeruka mara ngapi? Usilinganishe aliyoyafanya Yesu Kristu na mambo yafanywayo na wanadamu.
Concentrate ndugu na mafanikio utayaona, usichoke kujaribuNiliwahi kufanya hiyo namba 1 na 2 kilichonikuta ni mkono kufa ngazi....lakni baadaye ulirudi katika hali yake.
Mkuu acha viroba kwanza usije ukapotelea anganiMi na hivi viroba vyangu nitaweza kweli.
Mi na hivi viroba vyangu nitaweza kweli.
itabidi uchague moja ...Mi na hivi viroba vyangu nitaweza kweli.
hakuna ugumu wowote ndugu, ila ukiwa na nia, matumaini na imani utafanikiwa tu .Hilo zoezi mbona gumu sana.
ndio nimeweza ... .. .Kuhusu uzoefu ni upi unaoutaka wewe ?
You don't believe that? Why?Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
nashukuru ndugu kwa mchango na maoni yakoRudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
ndugu Moral H, sio kweli kwamba ukiota unapaa angani ni uchawi na Kama ndio hivyo hata yesu kupaa kwake ni uchawi pia, hivyo basi Kuhusu kupaa hakuna uhusiano na uchawi .Bennie. Mimi mara nyingi sana huwa naota napaa angani. Naweza kuota simba ananifukuza akinikaribia tu napaa angani ananikosa. Kila nikiota nafukuzwa na kitu basi huwa napaa angani. Hii kitu inanisumbua sana najiuliza inamaana gani? Kuota napaa sipendi maana mie so mchawi na wanaopaa ni wachawi tu. Does anyone has a clue about this?
kwa sababu hiki ni kizazi kinachopenda kuhubiriwa habari za pesa ... ni kizazi kinachoamini kile tu kinachoona kwa macho, na hakitaweza kuamini Kama Kuna ulimwengu mwingine zaidi ya huu ...na hakitaki kuamka.You don't believe that? Why?
Hii dunia imejaa mambo Sana hasa ukiwa Na imani, hata kuongea Na yesu pia Ni rahisi sanakwa sababu hiki ni kizazi kinachopenda kuhubiriwa habari za pesa ... ni kizazi kinachoamini kile tu kinachoona kwa macho, na hakitaweza kuamini Kama Kuna ulimwengu mwingine zaidi ya huu ...na hakitaki kuamka.
yes ... na bila kuamini huwezi kufanya kipya chochote zaidi ya yaleyale uliyoyakuta yanafanywa siku zote.Hii dunia imejaa mambo Sana hasa ukiwa Na imani, hata kuongea Na yesu pia Ni rahisi sana
Achana nao wasioamini, kalagabahoyes ... na bila kuamini huwezi kufanya kipya chochote zaidi ya yaleyale uliyoyakuta yanafanywa siku zote.