Jifunze siri ya kutenda miujiza (Mfano kutembea juu ya maji, kupaa angani n. k)

usingizi wangu wa kudownload nkimaliza naulistore ndo nalala kuota sijui mara ya mwisho lini huko kupretend naota kumbe sioti nikiamka tu naanze tena kudownload usingizi duuh...:(:(:(
ngumu kumesa...!!
 
Bennie. Mimi mara nyingi sana huwa naota napaa angani. Naweza kuota simba ananifukuza akinikaribia tu napaa angani ananikosa. Kila nikiota nafukuzwa na kitu basi huwa napaa angani. Hii kitu inanisumbua sana najiuliza inamaana gani? Kuota napaa sipendi maana mie so mchawi na wanaopaa ni wachawi tu. Does anyone has a clue about this?
 
Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
Rudia zoezi lako huku mtu anakurekodi
uje utuoneshe hapa ili tukuamini
nashukuru ndugu kwa mchango na maoni yako
ila Kuhusu kujirekodi na kuwatumia ili muamini sitaweza kufanya hivyo... maana hili jambo halina ulazima wa kufanya, na hakuna atakaye hukumiwa kwa kutokufanya.
 
Bennie. Mimi mara nyingi sana huwa naota napaa angani. Naweza kuota simba ananifukuza akinikaribia tu napaa angani ananikosa. Kila nikiota nafukuzwa na kitu basi huwa napaa angani. Hii kitu inanisumbua sana najiuliza inamaana gani? Kuota napaa sipendi maana mie so mchawi na wanaopaa ni wachawi tu. Does anyone has a clue about this?
ndugu Moral H, sio kweli kwamba ukiota unapaa angani ni uchawi na Kama ndio hivyo hata yesu kupaa kwake ni uchawi pia, hivyo basi Kuhusu kupaa hakuna uhusiano na uchawi .
 
You don't believe that? Why?
kwa sababu hiki ni kizazi kinachopenda kuhubiriwa habari za pesa ... ni kizazi kinachoamini kile tu kinachoona kwa macho, na hakitaweza kuamini Kama Kuna ulimwengu mwingine zaidi ya huu ...na hakitaki kuamka.
 
kwa sababu hiki ni kizazi kinachopenda kuhubiriwa habari za pesa ... ni kizazi kinachoamini kile tu kinachoona kwa macho, na hakitaweza kuamini Kama Kuna ulimwengu mwingine zaidi ya huu ...na hakitaki kuamka.
Hii dunia imejaa mambo Sana hasa ukiwa Na imani, hata kuongea Na yesu pia Ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom