Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 285
- 889
Nataka kujua hili kwani mwezi huu wa 6 mwanzoni mlitangaza nafasi za kazi ikiwemo nafasi ya msimamizi wa maudhui (Content manager), Mimi nilijaribu kuomba hii nafasi lakini sikupata mrejesho wowote na muda umeshapita
Nilitaka kufahamu kwamba mlishaita watu kwenye usaili ama mmeshawapa ajira
Au na nyie mpo kama taasisi nyingine kwamba bila mchongo (connection) hutoboi au mlikuwa na watu wenu maalumu, nilitamani kupata feedback yoyote kuhusiana na hili jambo
Naombeni majibu hapa, kwa afya na ustawi wa JF
Nilitaka kufahamu kwamba mlishaita watu kwenye usaili ama mmeshawapa ajira
Au na nyie mpo kama taasisi nyingine kwamba bila mchongo (connection) hutoboi au mlikuwa na watu wenu maalumu, nilitamani kupata feedback yoyote kuhusiana na hili jambo
Naombeni majibu hapa, kwa afya na ustawi wa JF