Jeshi la Polisi linamshikilia 'James Delicious' kwa amri ya Naibu Waziri Kigwangalla

Mimi sijui kama ni operation zidi ya mashoga kujitangaza hadharani(mitandaoni)lakini kama ni yakukomesha ushoga ni ngumu kupata ushahidi wa uhakika wa wahusika ulio kamilika.
Mfano Saudi Arabia nchi ya kiislam adhabu ya ushoga ni kukatwa shingo, lakini ilishindwa kukomesha tabia hiyo , sababu wahusika wanafanyana kwa siri kubwa.
 
Jana tumeonekana BBC kisa Ney kukamatwa kwa kuexercise freedom of speech.

Ninavyojua ni kosa kukamatwa ukifanya mambo ya kishoga, yaani hata kama unafanya ili uonekane una kosa ni lazima uwepo ushahidi wa kuonesha unafanya hayo matendo mfano ukutwe gest unaegeshwa.
Ugumu huja hapo kwakua ni ngumu kujua kama huyu mtu sasa hivi yupo gest anaegeshwa niende nikamkamate.

Akienda mahakamani anaweza akajitetea kua yeye ni attention seeker hivyo hufanya hivyo mtandaoni ili kupata followers na wala siyo shoga kwakua hamjamkamata akifanya hivyo.

On a positive side, tutaonekana BBC tena angalau sasa hivi sheria inatubeba.
Atapimwa marinda
 
View attachment 487825

Habari za hivi punde ni kwamba kijana maarufu mtandaoni na hapa jijini Dar, 'James Delicious' anashikiliwa na kituo cha polisi Osterbay toka Jumamosi kwa amri ya Kigwangalla.

Ikumbukwe kuwa Waziri Kigwangalla akiwa Bungeni aliamuru kukamatwa kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaojiuza mitandaoni na kumtaja James akitaka akamatwe mara moja.

Rejea uzi huu >>>DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious

Mpaka sasa anahojiwa na ametaja list ya wapenzi wake zaidi ya 100 ikiwemo viongozi wakubwa wa nchi.

Swali: Je, Kigwangalla atawaja hadharani?
Ataje tuu au ndio itaejiseti yenyewe na kuwa kama ya vyeti feki sirkali!!
 
I don't understand how a person can hate someone for choosing to sleep with the same sex... How
does who someone decideds to sleep with effect your life... this is sooo pathetic it's gross!!! Put that energy into something else... like world hunger or saving humans another way! Really will your God
really be proud of you for torturing someone for being Gay??? Ughhh Idiots!!!
Our laws says 30 yrs in jail for gays so we just fulfill our obligation
 
I don't understand how a person can hate someone for choosing to sleep with the same sex... How
does who someone decideds to sleep with effect your life... this is sooo pathetic it's gross!!! Put that energy into something else... like world hunger or saving humans another way! Really will your God
really be proud of you for torturing someone for being Gay??? Ughhh Idiots!!!
Mazee haupo bongo nini?
 
View attachment 487825

Habari za hivi punde ni kwamba kijana maarufu mtandaoni na hapa jijini Dar, 'James Delicious' anashikiliwa na kituo cha polisi Osterbay toka Jumamosi kwa amri ya Kigwangalla.

Ikumbukwe kuwa Waziri Kigwangalla akiwa Bungeni aliamuru kukamatwa kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wanaojiuza mitandaoni na kumtaja James akitaka akamatwe mara moja.

Rejea uzi huu >>>DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious

Mpaka sasa anahojiwa na ametaja list ya wapenzi wake zaidi ya 100 ikiwemo viongozi wakubwa wa nchi.

Swali: Je, Kigwangalla atawaja hadharani?
Jamani hii social problem kuliko jinai
 
Mkuu utasubiri list mpaka basi, coz serikali imejifunza kitu katika rist ya watu wa madawa ya kulevya athari yake, kwa hili sio rahisi kutokea
 
Back
Top Bottom