Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 993
- 2,285
Kitendo cha Jeshi la Polisi kuzuia waandishi wa habari kutozungumza na wanasiasa huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, vyombo vya habari na ni uvunjifu wa demokrasia na sio maelekezo ya katiba ya nchi ni uhalifu wa kutumia silaha.
Waziri wa Ulinzi na kamanda mkuu wa jeshi la polisi wanapaswa kujiuzulu na kushtakiwa kwa kushindwa kuongoza jeshi kwa miongozo ya kisheria tuliyo iweka.
Katiba yetu inatupa ruhusa kila mtanzania anayohaki ya kuzungumza mda wowote saa yoyote hakuna sehemu wanaposema tusizungumze kwenye mikutano ya nishati, lakini pia katiba yetu inawapa uhuru vyombo vya habari kuzungumza mda wowowte na saa yoyote haisemi wasizungumze kwenye mikutano ya nishati.
Waziri wa Ulinzi na kamanda mkuu wa jeshi la polisi wanapaswa kujiuzulu na kushtakiwa kwa kushindwa kuongoza jeshi kwa miongozo ya kisheria tuliyo iweka.
Katiba yetu inatupa ruhusa kila mtanzania anayohaki ya kuzungumza mda wowote saa yoyote hakuna sehemu wanaposema tusizungumze kwenye mikutano ya nishati, lakini pia katiba yetu inawapa uhuru vyombo vya habari kuzungumza mda wowowte na saa yoyote haisemi wasizungumze kwenye mikutano ya nishati.