Ukiona hivyo ujue kua watanzania wengi ni wazembe na hawataki kufuata sheria za bara barani!Sasa PRA ndio inajaribu kuziba gap la bandari....ndio maana wanatakiwa kukamua kamuaa kila kituu kinachopita mbele yao! Target wafike mil 100 kwa siku.......watagawa hizo machine Tanzania nzima kazi iwe moja tu hadi tu park magari wataanzisha kodi ya parking hata ndani ya fence.......maana hakuna vyanzo vipya ubunifu umeishia kwa Mipango.....na Prof Faru Maghembe (Utalii)
ulitenda kosa hukutenda????Mimi majuzi tu nilipigwa faini kwa siku tatu mfululizo. Lakini siku ya tatu nilitoa kwa hasira mpaka yule askari akaniomba radhi na kuniambia siyo matakwa yao bali ni agizo kutoka hewani na wanatakiwa kukaa na kitabu cha Notification kwa siku tatu tu, huwezi unabadilishwa Idara .
Tutaendelea kuumizwa sana
Tuwe wa kweli utawala wa sheria haupo.Hatuongozwi na katiba yeyote ni maamuzi tu binafsi, tutafute muafaka kila idara itende kazi zakeulitenda kosa hukutenda????
Ukiona hivyo ujue kua watanzania wengi ni wazembe na hawataki kufuata sheria za bara barani!
mkuu rekebisha kiswahili sio kizuri wakifanyaje?wakikazana watawazidi TRA
Mimi majuzi tu nilipigwa faini kwa siku tatu mfululizo. Lakini siku ya tatu nilitoa kwa hasira mpaka yule askari akaniomba radhi na kuniambia siyo matakwa yao bali ni agizo kutoka hewani na wanatakiwa kukaa na kitabu cha Notification kwa siku tatu tu, huwezi unabadilishwa Idara .
Tutaendelea kuumizwa sana
Police Revenue Authority
Sasa haya mapato yanainfluence vip uchumi wa nchi? Kama tunajitekenya fulan hv unatoa pesa mfuko wa kulia unaweka wa kushoto..... Sawa penati zipo na ziiendeleeee sio kwa kukomoana lkn pia TRA na police wagundue adhabu productive na vyanzoo vingine vya mapato ambavyo vitastimulate uchumi wa nchiKama tukiendelea hivyo hakutokuwa na ulima ya kukopa na kuwa ombaomba.
Hongera kwa ubunifu huo
Kwangu mimi napongeza maana upumbavu ulizidi kwa madereva
Aisee! Hili jina umelipatia hasa. Kuanzia sasa tuanze kuwaita PRA. Ninaamini wakiendelea kukaza buti tutapata fedha ya kununulia ndege nyingine.Police Revenue Authority
hata mimi aisee,halafu kosa lenyewe sasa....kwakweli nilimlaani sana kimoyomoyo kuwa ipo siku yatamkuta zaidi ya hiyo 30k yangu.halafu linakupa risiti huku linachekacheka....aargh!Kuna ka 30k changu wiki hii, nimeumia zaidi kuona hii taarifa
Augustine Moshi, oh my god ..... .. how are you? Aiseee mkuu nakukubali sana tangu mwanzo wa hii Forum (Jambo) habari za siku nyingi? Sijaona michango yako kwa muda mrefu aisee. Natumaini upo salama sana dah! God bless and have a wonderful day. Good to see you mate.Safi sana. Watu wameanza kuendesha magari kwa heshima barabaran.
Ila kuna kosa moja kubwa linalosababisha vifo ambalo polisi hawaonekani kulishughulikia bado. Ni kupita gari lililopo mbele yako sehemu isiyoruhusiwa. Hili kosa hutendwa sana kwenye barabara za nje ya mji na kila unaposikia basi limegongana uso kwa uso na lori huwa ni sababu hiyo. Don't overtake where the midline is bold