Hizo tozo zote huingia mfuko mkuu wa hazina ila nje ya mapato ya kodi yanayokusanywa TRAHivi hiyo oesa huwa i aelekea serikali kuu!!?
Ahsante mkuuHizo tozo zote huingia mfuko mkuu wa hazina ila nje ya mapato ya kodi yanayokusanywa TRA
Tangu zamani zilikuwa zinakusanywa sema huyu jamaa Magu kuiba hela ya serikali ni kama kwwnda kuunganisha vikojoleo na msichana mwenye skendo ya ngoma mtaani bila kondom
Wewe km hutaki kukamuliwa tii Sheria bila shuruti tu.Sasa PRA ndio inajaribu kuziba gap la bandari....ndio maana wanatakiwa kukamua kamuaa kila kituu kinachopita mbele yao! Target wafike mil 100 kwa siku.......watagawa hizo machine Tanzania nzima kazi iwe moja tu hadi tu park magari wataanzisha kodi ya parking hata ndani ya fence.......maana hakuna vyanzo vipya ubunifu umeishia kwa Mipango.....na Prof Faru Maghembe (Utalii)