Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,777
- 8,281
hawa askari jeshi nouma inahitajika kampeni ya miezi 6 mpaka mwaka kuwaangamiza wote na wala hawanaga dawa maalumu iliyothibitika kuwaangamiza 7bu ukitumia dawa ya aina moja kwa muda mrefu baadhi hufa ila wengine huzimia na wakizinduka hiyo dawa wanakuwa washaifanyia utafiti ktk maabara zao so wanakuja ANTVIRUS yao so hta ukiwaanyunzia tena hawafi na hata kuzimia hawazimii tena
sasa wewe unatakiwa ufanye kampeni ya kuwaangamiza tu ukisikia dawa hii tumia ile tumia kama hvyo mafuta tumia sijui mtu kakwambia mchanganyiko gan tumia tu ila hakikisha kampeni ya mwaka nzima ndo wanaweza kuisha lk ttzo moja unaweza ukawamaliza wote kumbe kuna siku ulimbeba mmoja ulipoenda kwenye gheto la mshkaji wako ukamuaacha sasa siku unaenda kule wanezaliana una mbeba tena unamrudisha gheto mwendo mdundo wanaanza tena 7bu hawa wapumbavu wanaweza kukausha hta miezi 6 wakifanya tafiti zao araf siku ghafla wanaibuka yaan ni noma sana
yaan huyu kiumbe ana uwezo wa kukaa hata mwaka nzima bila kura na akadunda fresh
yaan wanasayansi mabingwa wa dunia wamemvulia kofia ndo mana huko UGANDA jeshi limeamua kupambana na kunguni na zana za kivita za KIBAOLOJIA na KIKEMIA
sasa wewe unatakiwa ufanye kampeni ya kuwaangamiza tu ukisikia dawa hii tumia ile tumia kama hvyo mafuta tumia sijui mtu kakwambia mchanganyiko gan tumia tu ila hakikisha kampeni ya mwaka nzima ndo wanaweza kuisha lk ttzo moja unaweza ukawamaliza wote kumbe kuna siku ulimbeba mmoja ulipoenda kwenye gheto la mshkaji wako ukamuaacha sasa siku unaenda kule wanezaliana una mbeba tena unamrudisha gheto mwendo mdundo wanaanza tena 7bu hawa wapumbavu wanaweza kukausha hta miezi 6 wakifanya tafiti zao araf siku ghafla wanaibuka yaan ni noma sana
yaan huyu kiumbe ana uwezo wa kukaa hata mwaka nzima bila kura na akadunda fresh
yaan wanasayansi mabingwa wa dunia wamemvulia kofia ndo mana huko UGANDA jeshi limeamua kupambana na kunguni na zana za kivita za KIBAOLOJIA na KIKEMIA