rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,701
- 42,579
Acha utani mkuu duuh...!!Kuna jamaa alikua na pick-up akamgonga mtu alikua anavuka tena kwenye zebra, ile paaaaah mtu aliegongwa akarushwa juu kisha akaja kutua ndani ya bodi ya ile gari, sasa dereva yeye hakuona kuwa aliegongwa katumbukia kwenye bodi ya gari, na kwa kuwa ilikua usiku dereva hakunotice kitu yeye akaamua kuchukua maamuzi ya kukimbia...