Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,061
Safi sana na ndo inavotakiwa japo kuna sehemu lazima uwe highSijawahi kuaibika sehem mbaya siku zote niko low-key huwa sina tabia za ujuaji au kupenda kuoekana kwenye crowd , yani hata niwe nafaham kitu na nione kuna mtu analeta ujuaji huwa simrekebishi na mimi namsikiliza alafu nafata mishe zangu