Je, ukiona picha za Instagram za girlfriend/boyfriend wako akioa au kuolewa—utafanyaje?

Strong and Fearless

JF-Expert Member
Apr 24, 2017
872
2,114
Tuseme upo kwenye Instagram zako unascroll tu kawaida, halafu ghafla unakutana na picha za pre-wedding au harusi ya mtu ambaye bado ni girlfriend/boyfriend wako—yaani hamkuachana rasmi, hamkujua mmemalizana vipi, lakini yeye anaendelea na maisha kama vile haukuwepo.
Na picha zimepostiwa saa chache zilizopita, fresh kabisa.
Unaona ana tabasamu kubwa, ameongozana na mtu mwingine kabisa ambaye hujawahi kumuona, na caption ni zile za “Forever with you”, “My one and only”, “Can’t wait to spend the rest of my life with you.”

Wewe ungefanyaje?
• Ungetuma message?
• Ungefuta namba zote?
• Ungeangalia kwa utulivu tu na kuendelea na maisha?
• Ungejichunguza kama ulipuuzwa au alikuwa na mtu mwingine muda wote?

Jamani, hivi kweli watu wanaweza kukuacha bila kusema neno, halafu baadae unakutana na mambo yao makubwa kwenye mitandao?
wana Jamii, hebu tupeane maoni. Hili linatokea kwa wengi, lakini watu wanabaki kimya kwa sababu ya aibu au maumivu ya ndani.
IMG_1932.jpeg
 
yaani hamkuachana rasmi, hamkujua mmemalizana vipi, lakini yeye anaendelea na maisha kama vile haukuwepo.
Kama mlikua na situation ya kutoeleweka kama hii uloandika hapa..hizo picha zitakusaidia kufunga ukurasa rasmi na kumove on kiroho safi.
Nb: Kuumia hakukwepeki..utaumia sana sana kama ulimpenda kwa dhati lakn at least hutaidanganya nafsi kwamba bado una nafasi kwake.
 
Tuseme upo kwenye Instagram zako unascroll tu kawaida, halafu ghafla unakutana na picha za pre-wedding au harusi ya mtu ambaye bado ni girlfriend/boyfriend wako—yaani hamkuachana rasmi, hamkujua mmemalizana vipi, lakini yeye anaendelea na maisha kama vile haukuwepo.
Na picha zimepostiwa saa chache zilizopita, fresh kabisa.
Unaona ana tabasamu kubwa, ameongozana na mtu mwingine kabisa ambaye hujawahi kumuona, na caption ni zile za “Forever with you”, “My one and only”, “Can’t wait to spend the rest of my life with you.”

Wewe ungefanyaje?
• Ungetuma message?
• Ungefuta namba zote?
• Ungeangalia kwa utulivu tu na kuendelea na maisha?
• Ungejichunguza kama ulipuuzwa au alikuwa na mtu mwingine muda wote?

Jamani, hivi kweli watu wanaweza kukuacha bila kusema neno, halafu baadae unakutana na mambo yao makubwa kwenye mitandao?
wana Jamii, hebu tupeane maoni. Hili linatokea kwa wengi, lakini watu wanabaki kimya kwa sababu ya aibu au maumivu ya ndani.View attachment 3312286
naweka nyimbo ya kalapina mstari wa mbele
 
Tuseme upo kwenye Instagram zako unascroll tu kawaida, halafu ghafla unakutana na picha za pre-wedding au harusi ya mtu ambaye bado ni girlfriend/boyfriend wako—yaani hamkuachana rasmi, hamkujua mmemalizana vipi, lakini yeye anaendelea na maisha kama vile haukuwepo.
Na picha zimepostiwa saa chache zilizopita, fresh kabisa.
Unaona ana tabasamu kubwa, ameongozana na mtu mwingine kabisa ambaye hujawahi kumuona, na caption ni zile za “Forever with you”, “My one and only”, “Can’t wait to spend the rest of my life with you.”

Wewe ungefanyaje?
• Ungetuma message?
• Ungefuta namba zote?
• Ungeangalia kwa utulivu tu na kuendelea na maisha?
• Ungejichunguza kama ulipuuzwa au alikuwa na mtu mwingine muda wote?

Jamani, hivi kweli watu wanaweza kukuacha bila kusema neno, halafu baadae unakutana na mambo yao makubwa kwenye mitandao?
wana Jamii, hebu tupeane maoni. Hili linatokea kwa wengi, lakini watu wanabaki kimya kwa sababu ya aibu au maumivu ya ndani.View attachment 3312286
Acha waoane
 
NI true story imemtkea rafik yangu wa karibu kabisa mwezi huu wa 4, jamaa aimruhusu mpenz wake aawasalmu wazazi huk uchagan Dec 2024 walikuwa hawaja oana lakini wanaish pamoja klla sik Shem anamsumbua jamaa kuhusu kwenda kujitambulisha kutkana na kuyumba kwa uchum ratiba wakawa wanaihaurisha Mara kwa Mara sasa binti kaenda kwao wakazozana kidg binti akasusa kasema sirudi jamaa akajua masihara adi mwezi wa 3 Shem hajarud ikabidi tukae kamat ya ufund tumpigie Sim dah Shem akaniambia Mimi sirudi huko nmeshavalushwa Pete na mwezi ujao naolewa dah jamaa ilimuuma Sana kujakushtuka picha is hapo mtandani dah ne ivo Tena
Back to topic nampigia sim kwa namna nyingine ili numnferm au Kama meniumiza Sana ninanaweza kumuagiza mtu ampgie ii acmferm mana siku iz Photoshop nyingi au mambo ya cantent au drama au mambo ya Ai akikomferm kama ni yeye bas inatosha huna haha ya kumuuliza maswal mengi Kuna sku mtakutana mtauluzana tu
 
Back to topic nampigia sim kwa namna nyingine ili numnferm au Kama meniumiza Sana ninanaweza kumuagiza mtu ampgie ii acmferm mana siku iz Photoshop nyingi au mambo ya cantent au drama au mambo ya Ai akikomferm kama ni yeye bas inatosha huna haha ya kumuuliza maswal mengi Kuna sku mtakutana mtauluzana tu
Hayo maneno niliyoyakoleza yana maana gani mkuu? I am just curious 😳
 
Kama mlikua na situation ya kutoeleweka kama hii uloandika hapa..hizo picha zitakusaidia kufunga ukurasa rasmi na kumove on kiroho safi.
Nb: Kuumia hakukwepeki..utaumia sana sana kama ulimpenda kwa dhati lakn at least hutaidanganya nafsi kwamba bado una nafasi kwake.
Umeongea ukweli mtupu. Inaumiza, lakini inasaidia. Ni kama penzi linajizika lenyewe rasmi.
 
Mi niliona wasap status nikalike nikakausha zikapita siku nikampa hongera then akajifunguwa nikampa hongera pia then now nikiitaka inaletwa naipiga fresh tu
 
Back
Top Bottom