Je ni sawa gazeti kupewa pesa na serikali ya nchi nyingine (IPPMEDIA-CHINA)?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
7,818
10,842
Kwenye gazeti la ippmedia sehemu ya Features kila toleo ni lazima waandike vitu vya kusifia China na propaganda za serikali ya China. Sasa je gazeti hilihilo hitapataje uhuru wa kuandika habari mbaya za China?

 
Lakini kumbuka, hakuna combo cha Habari kilicho huru ...

Ni mwendo wa affiliation tu.

Azam Media....Turkey
 
Back
Top Bottom