Je, ni kwanini JPM hajapiga marufuku uagizaji wa mitumba?

Rais Magufuli aige mfano wa Rwanda ili ku-boost viwanda vya ndani vilivyokufa
 
Kuna kiwanda cha textile kinazinduliwa sehemu, je, kita survive na hali hii ya uagizaji mitunba?
 
...hivyo viwanda vya nguo vilivyopo vilikuwa vinatengeneza vitambaa aina ya merekani vigumu kweli, viatu kulikuwa na asante mpare,
it were only khanga made in standards.
We jino la mamba umesema ahsante Mpare nimemkumbuka Mshana Jr check huyo mpare hapa enzi zile za kiwanda cha Bora shoes na kwa Kenya Bata shoes alivyokwenda msiba wa wachaga wakaanza kucheka badala ya kulia walivyomuona
 

Attachments

  • Mpare.PNG
    Mpare.PNG
    115.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom