Je, KWESE wameinunua TV 1? wanaleta ving'amuzi lini?

Hao Kwese sport inaonekana wamejipanga sana kwenye mambo ya michezo coz siku hizi hata ukifungua website ya Espnfc.com lazima itaku direct kwenda Kwese sport
 
TCRA wafike mahali nchi iwe na kingamuzi kimoja tu. Makampuni yote yaweke channel zao humo. Si kitu Kigeni inafanyika huko duniani. Ukilipia chochote unapata channel zake
 
TCRA wafike mahali nchi iwe na kingamuzi kimoja tu. Makampuni yote yaweke channel zao humo. Si kitu Kigeni inafanyika huko duniani. Ukilipia chochote unapata channel zake

AU nchi tu ikaribishe samsung na wengine watengeneze hizo smart TV tu hapahapa
na tupunguze kodi kwenye internet au tufanye investment zaidi...fiber au satelite yetu wenyewe....ving'amuzi vitakuwa outdated tu vyenyewe
 
Hii Kwese inaboa kweli, hamna vipindi vingine kila saa mpira tu.

Mambo ya kijamii tutayajua sa ngapi
 
Kuna kwese kids,kwese inc,kwese action,kwese movie 1,2 & 3,kwese know, kwese stories na kwese info pia kuna hizo nyingine kama espn n.k
 
Hapa ndo utaona raha ya ushindani wa kibiashara. Ni muda muafaka dstv wapate mshindani wa kweli nimeona wana kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
 
Hapa ndo utaona raha ya ushindani wa kibiashara. Ni muda muafaka dstv wapate mshindani wa kweli nimeona wana kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
.

Kwese Wana package zao sio mbaya ila hawana package cheap zaidi ya dstv bomba,pia hawatakuwa na Kibali cha EPL wao wana leseni ya free to air match moja tu sawa na alielipia Dstv access anavyoona match 1 kila weekend.So bado hawana msaada.
 
TCRA wafike mahali nchi iwe na kingamuzi kimoja tu. Makampuni yote yaweke channel zao humo. Si kitu Kigeni inafanyika huko duniani. Ukilipia chochote unapata channel zake
Ushindani WA biashara Ni nzuri Sana asikuambie mti, ndo maendeleo yenyewe hayo
 
Ushindani WA biashara Ni nzuri Sana asikuambie mti, ndo maendeleo yenyewe hayo
Kwa hili hapana. Nchi nyingi wana kisimbuzi kimoja tu. Kila mtoa huduma anaweka channel zake humo na usipolipia inakata automatically.

Sasa Hivi mtu naweza kuwa na visimbuzi vya StarTimes, Azam, Zuku, TIN, Continental, DSTV na sasa inakuja KWESE. Nyumba moja vyote hivyo vya kazi gani kama si kuongeza gharama kwa mteja?

TCRA inaweza kabisa kuwa muda, labda mwaka mmoja wakae pamoja waje na kimoja au kampuni moja nje ya wao ifanye kazi hiyo
 
Kwenye page yake ya facebook MR.STRIVE(mliki wa kwesetv)ametangaza atakuwa na kongamano la vijana na ujasiliamali pale diamond jubilee dsm tarehe 12/7. Naamini safari yake dar pamoja na mambo mengine ndo mwanzo wa ujio wa kwesetv na ving'amuzi vyake.Hope atatufurahisha sisi wapenda mpira tulioshndwana na dstv.
 
Kwenye page yake ya facebook MR.STRIVE(mliki wa kwesetv)ametangaza atakuwa na kongamano la vijana na ujasiliamali pale diamond jubilee dsm tarehe 12/7. Naamini safari yake dar pamoja na mambo mengine ndo mwanzo wa ujio wa kwesetv na ving'amuzi vyake.Hope atatufurahisha sisi wapenda mpira tulioshndwana na dstv.
Link please?
 
Back
Top Bottom