Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 61,151
- 107,218
Mkuu sioni mahakama ya kutoa hukumu ya haki, utashangaa jaji mkuu atakutana na spika, kisha utatoka uamuzi wa kipuuzi sana. Mpina huwa anasikia maamuzi ya mizengwe na unaweza kukuta anasema mahakama zinatenda haki, acha aende safari hii akajionee mubashara.Unaweza kuwa na hoja lakini unachanganya mambo.
Mbunge kukiri kukosea ni jambo moja, nayeye haendi mahakamani kupeleka malalamiko yake kuhusu adhabu ya kufungiwa vikao 15.
Hoja yake ya msingi na kinachompeleka mahakamani ni jinsi utoaji wa vibali vya sukari ulivyoendeshwa. Hapo inamaana uchunguzi ufanyike wa mwenendo mzima wa zoezi lilivyoendeshwa.
Hiyo ya kukiri kukosea ndio anatumikia adhabu kuwa nje ya bunge Kwa huo muda.