Je, hii ni hotuba ya mwisho ya Mpina?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
14,818
17,112
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
 
Nmesoma Kichwa habari tu.

Mtoa mada If you don't know what to do ,speak less !!.....itakusaidia kuficha Ujinga wako masikioni Kwa werevu.



Nadhan Kuna haja ya JF , iwe inapina ubora wa akili za watu kupitia maandiko Yao.

Andiko kama hili, linaonyesha mtoa mada ni mjinga wa kiwango Cha juu .
 
ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge. kuna kitu amehisi, mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara..

hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu. hapo nampongeza sana kijitibu...

ana kiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea,
lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo, asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi...

muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanaya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa...
nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge...

kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni kambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda...

aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara. naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:
mimi nipo nasubir mwanaume atakayesimama kupinga hoja za mpina, wale wengine wote ni mbwa koko wanaobweka wanapomuona boss wao🤣🤣 akitokea mwanaume upande wa pili huko kuja kujibu zile hoja nshtue mkuuu
 
ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge. kuna kitu amehisi, mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara..

hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu. hapo nampongeza sana kijitibu...

ana kiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea,
lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo, asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi...

muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanaya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa...
nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge...

kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda...

aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara. naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:
Hakuna ulichobakiza. Hasira hasara. Anaendelea tu kukosea. Chadema wanampotosha saanaaaaa.
 
Nmesoma Kichwa habari tu.

Mtoa mada If you don't know what to do ,speak less !!.....itakusaidia kuficha Ujinga wako masikioni Kwa werevu.



Nadhan Kuna haja ya JF , iwe inapina ubora wa akili za watu kupitia maandiko Yao.

Andiko kama hili, linaonyesha mtoa mada ni mjinga wa kiwango Cha juu .
ndio maana uko kichwa maji,

kumbe umesoma kichwa tu :pedroP:
 
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Bado yupo sana Bungeni
 
Petro alipomkana Yesu mara 3 Watu wakajua Ule ndio mwisho wake

Lakini Yesu alipofufuka akaagiza " Waambieni Wanafunzi wangu PAMOJA na PETRO tukutane Galilaya"

Nawatakieni Dominica Njema 😀😀
kwamba atabakizwa galilaya mpotoshaji huyu:pedroP:
 
Unaweza kuwa na hoja lakini unachanganya mambo.

Mbunge kukiri kukosea ni jambo moja, nayeye haendi mahakamani kupeleka malalamiko yake kuhusu adhabu ya kufungiwa vikao 15.

Hoja yake ya msingi na kinachompeleka mahakamani ni jinsi utoaji wa vibali vya sukari ulivyoendeshwa. Hapo inamaana uchunguzi ufanyike wa mwenendo mzima wa zoezi lilivyoendeshwa.

Hiyo ya kukiri kukosea ndio anatumikia adhabu kuwa nje ya bunge Kwa huo muda.
 
bunge la wananchi kule space sio?
Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.

Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi moyoni kwa muda mrefu, kwa unyonge na masikitiko makubwa anafunguka, akiwa na sura ya hofu, na lugha ya mwili iliyopoteza matuamaini kabisa. Kutoa ya moyoni atapata ahueni na nafuu kubwa na kuepukana na msongo wa mawazo uliomzonga kwa muda mrefu, hapo nampongeza sana kijitibu.

Anakiri mwenyewe kwa kinywa chake kukosea, lakini hapo hapo anadaia hana makosa, ameonewa na anakwebda mahakamani :pedroP:
hii sio dalili nzuri mentally, yafaa kiongozi huyo asaidiwe mapema mambo yasiharibike zaidi.

Muungwana anajaribu kuelekeza bunge na spika jinsi ya kufanya kazi na majukumu yao, anasahau taasisi ile nyeti inawajibika na kutekeleza kazi na majukumu yake kwa mujibu wa sheria na kanuni za bunge, lakini pia kulingana na inavyoonekana inavyofaa. Nadhani kuna changamoto ya kuzifahamu maana na madhumuni ya kanuni za bunge.

Kukiri kukosea na kisha kwenda kwenye vyombo vya kutoa haki, ni jambo zuri sana, na kurahisishia vyombo hivyo kufanya kazi kwa urahisi sana na kuhitimisha na bila kupoteza muda.

Aidha ikiwa ndio hotuba na mkutano wako wa mwisho ukiwa kama mbunge anae tumikia adhabu ya bunge, nakutakia siasa njema sana kwenye plaforms nyingine humu nchini, ntakumisi sana kwenye korido za bunge tulikokua tukipishana sana mara kwa mara, naamini tutakutana mahali pengine na mawazo mengine:pulpTRAVOLTA:

Soma===>>> Mpina: Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kunituhumu na kunihukumu hakipo!
Nadhani kuliko kuja na vichekesho vya namna hii, tungejadili kwa kina suala la bei ya sukari hapa nchini. Nchi jirani, hata wanaopitisha sukari hapa nchini bei zao ziko chini kabisa. Baadhi ya hizi nchi bei ni around elfu 2, huku kuna majizi yanalangua sukari elfu 4. Hapa unalingalia Bunge na Spika wake, gafla zinakuja kumbukumbu za Samwel Sita na Bunge lake la viwango. Tuna safari ndefu kwa kweli.
 
Back
Top Bottom