Je, haitoshi kusema Rais Samia ameshindwa kuwa bora sababu ya huduma mbovu ya umeme?

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
762
484
Sijui ila kwa akili zangu naweza kusema kuwa kama sekta muhimu na mhimili wa maendeleo ya Tanzania TANESCO kushindwa kufikisha malengo ya wananchi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, je, sekta nyingine zina hali gani?

Binafsi akili yangu inanituma kusema Rais Samia ameshindwa kwani TANESCO ni mfano wa shirika ambalo linasumbua sana ustawi wa maendelo ila naweza kusema nina asilimia 100 kuwa mashirika mengine pia ni mabovu kuliko TANESCO.
1725366084740.jpeg
Pia soma: Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Hekima na Busara ni pale itakapofika mahala na kusema hii sio level yangu siwezi, si vyema kuajiri jopo la machawa kusifiwa tu kutwa kucha ili hali hilo la kusifiwa hatulioni.
 
Sijui ila kwa akili zangu naweza kusema kuwa kama sekta muhimu na mhimili wa maendeleo ya Tanzania TANESCO kushindwa kufikisha malengo ya wananchi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, je, sekta nyingine zina hali gani?

Binafsi akili yangu inanituma kusema Rais Samia ameshindwa kwani TANESCO ni mfano wa shirika ambalo linasumbua sana ustawi wa maendelo ila naweza kusema nina asilimia 100 kuwa mashirika mengine pia ni mabovu kuliko TANESCO.
Pia soma: Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Hekima na Busara ni pale itakapofika mahala na kusema hii sio level yangu siwezi, si vyema kuajiri jopo la machawa kusifiwa tu kutwa kucha ili hali hilo la kusifiwa hatulioni.
Za siku nyingi dogo!
 
Sijui ila kwa akili zangu naweza kusema kuwa kama sekta muhimu na mhimili wa maendeleo ya Tanzania TANESCO kushindwa kufikisha malengo ya wananchi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, je, sekta nyingine zina hali gani?

Binafsi akili yangu inanituma kusema Rais Samia ameshindwa kwani TANESCO ni mfano wa shirika ambalo linasumbua sana ustawi wa maendelo ila naweza kusema nina asilimia 100 kuwa mashirika mengine pia ni mabovu kuliko TANESCO.
Pia soma: Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Hekima na Busara ni pale itakapofika mahala na kusema hii sio level yangu siwezi, si vyema kuajiri jopo la machawa kusifiwa tu kutwa kucha ili hali hilo la kusifiwa hatulioni.

Imekuwaje tena? Ukweli una tabia mbaya sana. Hakuna anayeweza kuuzima. Kuna dalili nyingi mashirika ya umma yana changamoto za kiuendeshaji.
Hata Rais amesema juzi kati kuwa inatakiwa yabadilike. Kinachonishangaza ni kuwa wanaoleta shida ya utekelezaji huwa hawaguswi na uwajibikaji.
Kwanini wanaachwa hata kama walichofanya ni kinyume na walichotakiwa kutekeleza? Bila kuwajibishana, mashirika ya umma yatakuwa sehemu za wachache kula bila kujari kesho yake itakuwaje
 
Tanesco ina Waziri,naibu waziri, mkurugezi na wakuu wa kila kona hapo kila mmoja na ufisadi wake.

Rais Samia kateuwa waziri asimamie hii wizara kwanini mnampa lawana yeye tu?.
 
Back
Top Bottom