Je, atakuwa ananipenda?

tukiwa tunaongea face to face interest zinaonekana kwa 80%..kwa ananipenda..maana hata nikiwa wapi anifata mwenyw na kuniomba kampani ya lunch au break fast ,,mpaka apo nakuwa sielewi apo kama ananipenda au la
Mkienda huko Lunch inatumika hela ya nani?!

Kama inatumika hela yako basi huyo binti anapenda kwenda na wewe lunch ili akakuchune na hana mapenzi na wewe Na kama kila mtu anatumia hela yake basi huyo demu hakupendi kwa sababu wewe ni bahili.

Jiongeze mjini shule.
 
Sijui kwanini nimekua nina tabia mbaya sana. Kuna threads uandishi wake hua naona kama aliyeleta anagawa chai, basi hua nasoma profile ya mleta uzi kisha nahitimisha kua huyu kaja kufurahisha genge.

Mtu kakwambia ana boyfriend, hamuwasiliani hadi umtafute halafu unauliza swali la kisasa kama hili?
 
sasa kama HANIPENDI..kinachomfanya alalamike eti namchunia siku izi anamaana gani sasa?
Sikia mkuu hawa wanawake hujawaelewa vizuri, huyo anahitaji kushawishiwa sasa naomba namba yake halafu nitumie majina yako pm nitajifanya mimi kaka yako na umenilalamikia kwahiyo ndiyo nimempigia kumuweka sawa.
 
Sijui kwanini nimekua nina tabia mbaya sana. Kuna threads uandishi wake hua naona kama aliyeleta anagawa chai, basi hua nasoma profile ya mleta uzi kisha nahitimisha kua huyu kaja kufurahisha genge.

Mtu kakwambia ana boyfriend, hamuwasiliani hadi umtafute halafu unauliza swali la kisasa kama hili?
nauliza ivo kwasababu reactions zake naziona... maana yeye anapofanyia kazi huwa nakuja pale kuleta documents za office,,akiniona anafurai sana tofauti na wengne ninaokuwa nao pale
 
Kusuka au kunyoa hapo ni wewe.Mademu wa ivyo wapo sana.apo kwako ametega tu
Kiufupi ni kicheche ukitaka kuendelea nae kubali kuish kiboya.atakusimulia had stories za mabwana zake.
 
Au ndio penzi lako la kwanza maanake kwenye penzi la mwanzo mtu hata aelezwe huwa hasikii mpaka aumizwe mara mbili tatu ndio nae anakua fundi kweli mapenzi ni upofu.
 
Bingwa Huyo hqkupendi angekupenda ungeona mihangaiko yake juu ya wew isingepita hata Massa mawili angekurkia hewani,kifup ana jamaa huyo anpiga.
 
Hupendw na uspojiangalia very soon utaanNza na kuchunwa
 
Two weeks, ni nyingi Sana kwa mwanamke anaezuga, ,,,kama alizitimiza kala buyu tu, huyo haumo akilini mwake kabisa, Unaweza kuforce aka amua akubali, bt keep eyes and ears open! It can pose you to Negative effects !!!
 
Back
Top Bottom