Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

CKALU

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
282
247
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
 
1727423304372.jpg
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni

Haya si ndiyo yale mambo yetu yasiyokuwa faida?

Ulipenda kupata tarehe zikusaidie nini?
 
Hana hoja hapo muulize swali dogo tu je alishawahi kuisoma bibilia ya kiarabu.
Jibu maswali mzee nitakuelewa vizuri ,ukiniambia kuhusu kusoma biblia ya kiarabu utanifanya niamini tu kuwa Allah ni neno la kiarabu ila sio jina la Mungu..yaani ni sawa uniambie ushawahi kusoma biblia ya kizungu ambayo yesu anaitwa JESUS.
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
Mada haiwezi kuwa nzuri kama mwanzishaji wake hana anachokijua. Ni vizuri kufanya rejea kadhaa za vitabu kabla hujaanzisha mjadala. La sivyo utajibiwa kama ulivyoanzisha mada yako .
 
Sio tu Muhammad hakuwa Muislam hadi alipofikisha miaka 4o.ukweli ni kwamba Muhammad maisha yake yote hakuwa Muislam hadi anakufa.
Allah alimwambia yeye awe wa kwanza katika kuslimu jamaa akapiga kimya,badala yake akamsilimisha mke wake.
Mke ndiye akawa Muislam wa kwanza,Muhammad hadi anakufa hakuwai slim kama Allah alivyomuamru.
Uenda jamaa alijua uislam ni changa la macho,akachomoa kuslim.
 
Kwetu yapo yanaitwa mafumbo ya Imani.

Yaani dogma.

Hayo kwa vile hatuwezi kuwa na majibu na hata tukiwa nayo hakuna athari tulikubaliana kwenda kumwuliza mwenye majibu take huko huko mbinguni aliko tutakapofika.

Au wewe hukupata kusikia uwepo maswali kama hayo?
Na hapa ndio tatizo lilipo..kwa nini mfungwe kiasi hicho,nini kinafichwa..mbona wakristo wao wameambiwa na yesu tafuteni muijue kweli na hiyo kweli itawaweka huru.
 
Sio tu Muhammad hakuwa Muislam hadi alipofikisha miaka 4o.ukweli ni kwamba Muhammad maisha yake yote hakuwa Muislam hadi anakufa.
Allah alimwambia yeye awe wa kwanza katika kuslimu jamaa akapiga kimya,badala yake akamsilimisha mke wake.
Mke ndiye akawa Muislam wa kwanza,Muhammad hadi anakufa hakuwai slim kama Allah alivyomuamru.
Uenda jamaa alijua uislam ni changa la macho,akachomoa kuslim.
Duuh kumbee
 
Na hapa ndio tatizo lilipo..kwa nini mfungwe kiasi hicho,nini kinafichwa..mbona wakristo wao wameambiwa na yesu tafuteni muijue kweli na hiyo kweli itawaweka huru.

Mafumbo ya imani na hizi dogma Unajua zinafunzwa wapi?

Baba paroko johnthebaptist hebu kutana na huyu ndugu kutokea machaka ya wapi sijui.

Tangu lini mafumbo ya Imani na dogma na kuuliza mbinguni yakahusianishwa na anakotaka kutielekeza?
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
Allah ni neno la kiarabu likimaanisha mungu, hiyo ni sawa na kuuliza mungu alikuwapi kipindi watu hawaongei kiswahili, Mungu aliyemtuma Muhamad ndiye aliyemtuma ibrahim, Musa, Yesu na Yakobo na mitume wengine. Quran kufanana na vitabu vingine ni sawa sababu aliyevileta kwa binadamu ni mmoja. Na kuhusu Mungu kuruhusu vitabu vyengine kuchakachuliwa ni miongoni mwa mipango yake ili alete kitabu cha mwisho kwa viumbe wa mwisho . Na kama vile watu wa zamani wakifanya makosa wanapigwa tukio hapo hapo ila sisi kizazi cha mwisho tumeachwa
 
Back
Top Bottom