Janga la Kitaifa: Watu Waliofeli Kwenye Ndoa Wamejivuka Koti la Ualimu, Wanaelimisha Watu Kuhusu Ndoa ni Hatari Kwa Taifa la Tanzania

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,510
11,322
Shalom,

Sina mengi zaidi kichwa Cha habari kinajieleza, mamlaka husika ikiwemo wizara yenye dhamana ipate kulitizama hili swala.

Vilaza wengi wanaodanga na machangu, waliofeli kwenye Ndoa, mibaba mihuni tu inayonyandua mademu hovyo tu imegeukia hio fursa kuelimisha kuhusu Ndoa, mijitu imefeli inakomaa kujifanya inajua.

Hizi maada za makungwi na mafaza wa kuhusu Ndoa zimulikwe waache mara Moja,

Mada za ndoa zifundishwe na watu waliomo kwenye ndoa zilizo hai na imara na zifundishwe na watu wenye sifa mfano mashekhe na wachungaji na mapadre, maaskofu.

Kwenye hili la ndoa hao manabii wa uchwara wote wapigwe marufuku kubwa na nzito sana.

Ndoa ni eneo nyeti tusiache vibaka wakavamia hili eneo msingi katika ujenzi wa Taifa baadae itakuwa majuto.

Nawasilisha kwa mjadala zaidi

Wadiz
 
Shalom,

Sina mengi zaidi kichwa Cha habari kinajieleza, mamlaka husika ikiwemo wizara yenye dhamana ipate kulitizama hili swala.

Vilaza wengi wanaodanga na machangu, waliofeli kwenye Ndoa, mibaba mihuni tu inayonyandua mademu hovyo tu imegeukia hio fursa kuelimisha kuhusu Ndoa, mijitu imefeli inakomaa kujifanya inajua.

Hizi maada za makungwi na mafaza wa kuhusu Ndoa zimulikwe waache mara Moja,

Mada za ndoa zifundishwe na watu waliomo kwenye ndoa zilizo hai na imara na zifundishwe na watu wenye sifa mfano mashekhe na wachungaji na mapadre, maaskofu.

Kwenye hili la ndoa hao manabii wa uchwara wote wapigwe marufuku kubwa na nzito sana.

Ndoa ni eneo nyeti tusiache vibaka wakavamia hili eneo msingi katika ujenzi wa Taifa baadae itakuwa majuto.

Nawasilisha kwa mjadala zaidi

Wadiz
Kwa mfano nani na nani?Usipowaorodhesha wewe utakuwa kibaka tu.
 
Shalom,

Sina mengi zaidi kichwa Cha habari kinajieleza, mamlaka husika ikiwemo wizara yenye dhamana ipate kulitizama hili swala.

Vilaza wengi wanaodanga na machangu, waliofeli kwenye Ndoa, mibaba mihuni tu inayonyandua mademu hovyo tu imegeukia hio fursa kuelimisha kuhusu Ndoa, mijitu imefeli inakomaa kujifanya inajua.

Hizi maada za makungwi na mafaza wa kuhusu Ndoa zimulikwe waache mara Moja,

Mada za ndoa zifundishwe na watu waliomo kwenye ndoa zilizo hai na imara na zifundishwe na watu wenye sifa mfano mashekhe na wachungaji na mapadre, maaskofu.

Kwenye hili la ndoa hao manabii wa uchwara wote wapigwe marufuku kubwa na nzito sana.

Ndoa ni eneo nyeti tusiache vibaka wakavamia hili eneo msingi katika ujenzi wa Taifa baadae itakuwa majuto.

Nawasilisha kwa mjadala zaidi

Wadiz
Kama ni kupiga marufuku basi wewe unatakiwa kupigwa marufuku kutoa maoni yako na sio hao unaotaka wapigwe marufuku.

Katiba yetu inamruhusu kila mmoja kutoa naoni yake na hakuna anayelazimishwa kufuata mani/ ushauri wa mtu mwingine. Hili la watu kama nyinyi kujiona mna milki ya kutoa maoni lakini wengine hawana sio nzuri.

Ndoa inahusisha wawili na kila mmoja anaweza kumuacha mwingine hivyo ndoa inapovunjika kosa linaweza kuwa la mmoja sio wawili.
 
Mapadre na Maaskofu pia hawajaoa. Kuhusu kunyandua hovyo sote tajua ukweli.

Mashekh na Wachungaji nao ni wanadamu kamili wanyanduaji wakubwa!

Kwa hiyo acha mtu atumie kipaji chake kupata chakula.

Ndoa ndoano
 
Mi nadhani dreva aliyeangusha gari ndo anatakiwa awe mwalimu wa madreva. Maana atatuambia na makosa aliyoyafanya mpaka gari lake likaanguka. Maumivu anayoyapata sasa kutokana na ajari na fedheha anayoipata kwa lawama za ndugu wa marehemu wa abilia aliowauwa katika ajari. Sasa wewe hujaangusha gari utatuambia nini kuhusu maumivu ya ajari na uendeshaji makini?
 
Mi nadhani dreva aliyeangusha gari ndo anatakiwa awe mwalimu wa madreva. Maana atatuambia na makosa aliyoyafanya mpaka gari lake likaanguka. Maumivu anayoyapata sasa kutokana na ajari na fedheha anayoipata kwa lawama za ndugu wa marehemu wa abilia aliowauwa katika ajari. Sasa wewe hujaangusha gari utatuambia nini kuhusu maumivu ya ajari na uendeshaji makini?
Daah umetisha mwamba kwamba kufeli ni kujua kufeli na kufaulu ni kujua kufauru au sio?🤣🤣🤣
 
Kwanza mwanaume kuongelea ongelea Ndoa naona kama ni ushoga,hizo mambo za Ndoa ni fantasy za mademu,sisi tupo tofauti,mm Toka nikiwa mdogo fantasy zangu ni magari makali sijahi waza eti siku nimevaa suti na manzi ndani ya shela.
 
Ndoa yenyewe ni utapeli mkuu kwahiyo waache walioona fursa waitumie ipasavyo wajinga ndo waliwao siku zote
KATAA NDOA
KATAA NDOA
TUNZA FURAHA YAKO
 
Wapumbavu tu hao labda waende wakawashauri baba zao na mama zao,mtu alioa kwa kuangalia sura matako na kukatikiwa mauno akaangukia kwa wavuta shisha washinda makasino na walevi wengine wakiangalia six pack na urefu waje leo kuniambia habari za madhaifu ya ndoa?

Misingi ya ndoa haijengwi kwa kuzingatia tamaa za miili kwa sisi kizazi cha 80s kurudi nyuma baba zetu walipewa mama zetu wakiwa hawajui kama wako shaped or shapeless yaani walikuwa wanaamka asubuhi wanaambiwa leo twende ukachukue mke wakifika taratibu zinafuatwa anarudi na mkewe nyumbani maisha yanaendelea na ndiyo hao leo wanazeeka pamoja lakini sisi tulioamua kujichagulia ndoa zinatushinda.

Wengi wanaofeli kwenye maisha ya ndoa ni wale walioingia kwa kuzingatia matamanio ya miili yao na akili zao,mwanaume anaoa akilini anawaza mkewe aje amsomeshee wanae,mke anaolewa akilini anawaza kuishi maisha ya series za kifilipino life likifika kwenye reality wanaanza kutukanana,oaneni kwa malengo ya kuanzisha kitu endelevu (family) siyo kwa ajili ya matamanio ya muda mfupi.
 
Ni hatari sana marriage dropouts ndio wamegeuka kuwa ndio motivational speakers wa masuala ya ndoa na wanapewa airtime ya kutosha, mbaya zaidi wanaubiri jinsi gani maisha yao baada ya ndoa ni bora kuliko awali huku wakijaribu kuwashawi na wengine.
 
Ni kama viongozi wadini tu wanafundisha tuwe wema huku wao wanachangamoto..
Huku wakituacha namsemo usifuate matendo
 
Kwanza mwanaume kuongelea ongelea Ndoa naona kama ni ushoga,hizo mambo za Ndoa ni fantasy za mademu,sisi tupo tofauti,mm Toka nikiwa mdogo fantasy zangu ni magari makali sijahi waza eti siku nimevaa suti na manzi ndani ya shela.
umeshajisusa yaani tokea kitamboza.
 
Back
Top Bottom