Ni kweli suala la bandari ni muhimu sana.
Lakini tukumbuke tu kwamba rasilimali nyingi za nchi hii zinasimamiwa na wanaojiita 'wawekezaji' ambao hutumia fedha za watanzania kuendesha miradi ya watanzania. "Hii nchi imeliwa sana"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.