Jamvi la Habari lawakalia kooni viongozi CWT

Lanlady

JF-Expert Member
Feb 27, 2019
1,493
4,966
Inawezekana ikawa ni mbinu ya kugawanya na kutawala (divide and rule)?

Ni nani wako nyuma ya hii vita?

20230621_074603.jpg
 
Hawa CWT wanaweza kusubiri, tunahangaika kwanza na issue ya bandari.
Ni kweli suala la bandari ni muhimu sana.
Lakini tukumbuke tu kwamba rasilimali nyingi za nchi hii zinasimamiwa na wanaojiita 'wawekezaji' ambao hutumia fedha za watanzania kuendesha miradi ya watanzania. "Hii nchi imeliwa sana"
 
Back
Top Bottom