Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,293
- 80,432
Hahahahaha..uzuri fegi situmii kabisa..sijahonga nimemnunulia mayai manne na pepsi take away...Hahahaha, Umeona Sasa, hela ya fegi ume honga. Hahahaha hahaha
Hahahahaha..uzuri fegi situmii kabisa..sijahonga nimemnunulia mayai manne na pepsi take away...Hahahaha, Umeona Sasa, hela ya fegi ume honga. Hahahaha hahaha
Aisee mkubwa ukiwa waziri au muidhinishaji wa fedha za kampuni, SI uta filisi kambi. HahahahaHahahahaha..uzuri fegi situmii kabisa..sijahonga nimemnunulia mayai manne na pepsi take away...
Hahahahaha..basi mie ni mtu mmoja wa kufuata kanuni na sheria tena usije kujaribu kupindisha kitu kwangu hutoamini....haya matumizi ni petty cash vichenji vya jana usiku ...situmii nje ya bajetiAisee mkubwa ukiwa waziri au muidhinishaji wa fedha za kampuni, SI uta filisi kambi. Hahahaha
Hapo safi, mi naamini uki weza kuji tathimini wewe Kama wewe, basi ita kupa muongozo nzuri wa kutathimini vitu vingine.Hahahahaha..basi mie ni mtu mmoja wa kufuata kanuni na sheria tena usije kujaribu kupindisha kitu kwangu hutoamini....haya matumizi ni petty cash vichenji vya jana usiku ...situmii nje ya bajeti
Hahahahaha Mkuu mimi nisome tu ila ili ule hela yangu kama ni mshikaji basi uwe na akili sana na uwe una mambo mengi kichwani na kama ni binti dah inabidi awe mpole mno ..maana kama sina bajeti yako ujue hupati kitu hata kama nina 1m mfukoniHapo safi, mi naamini uki weza kuji tathimini wewe Kama wewe, basi ita kupa muongozo nzuri wa kutathimini vitu vingine.
Japo sio wote wanao weza Hilo, Kuna Jamaa ni mzuri wa kutathimini vingine, ila sio yeye . Hahaha.
Na Kuna mwingine mzuri wa kutathimini vyote, au kuji tathimini yeye tu.
Hahaha, sawa mkuu.Hahahahaha Mkuu mimi nisome tu ila ili ule hela yangu kama ni mshikaji basi uwe na akili sana na uwe una mambo mengi kichwani na kama ni binti dah inabidi awe mpole mno ..maana kama sina bajeti yako ujue hupati kitu hata kama nina 1m mfukoni
Iko hivyo mkuu so kuna muda watu wananiona mbahili sana..na kuna muda watu wanaona natumia hela vibaya , kumbe hawajui yote hayo yako ktkt bajeti na mipangoHahaha, sawa mkuu.
Kuhusu kuitwa mbahili nime itwa Sana, ilaa hao hao wanao niita hivyo wana appreciate sheria zangu.Iko hivyo mkuu so kuna muda watu wananiona mbahili sana..na kuna muda watu wanaona natumia hela vibaya , kumbe hawajui yote hayo yako ktkt bajeti na mipango
Ewaa umesema vzrKuhusu kuitwa mbahili nime itwa Sana, ilaa hao hao wanao niita hivyo wana appreciate sheria zangu.
Sometimes tuna furahi Kama watafutaji, Muda mwingine ni ngumu kumeza mpaka mtu ana sema SI utoe kioo.
sometimes tuna sapotiana kwenye harakati, hili ndo napenda zaidi.
Kwani misosi IPO tu, ila harakati ndo Zina tupa ugali.
Kwa Uzee huu, Sina huo uwezo πMzee hayo mazoezi isijee kuwa ni juu ya mtuπ
Miaka 5 mfululizo nilikua nafanya mazoezi ya ushindani kutafuta nafasi ya first eleven bila kupumzika ..kwa sasa nashtua tu misuliKwa Uzee huu, Sina huo uwezo π
Profesa Janabi anatushauri Kwa Mwaka tufanye mara 1 tu kutokana na Umri wetu π€
Hongera MkuuMiaka 5 mfululizo nilikua nafanya mazoezi ya ushindani kutafuta nafasi ya first eleven bila kupumzika ..kwa sasa nashtua tu misuli
Huyo anayenunua dildo ni malaya kakubuhuuHongera Mkuu
Mazoezi ni muhimu sana kujenga afya zetu pamoja na kuimarisha afya za nyumba
Wanawake wetu wamekuwa wakilalamika kutokana na Sisi Wanaume kushindwa kuwapa "dozi" stahili hadi kuishia kununua madildo ili kusolve mahitaji yao ya kimwili π
Namjua aliyekufanyia haya manyanyaso namjua ππππππ€£π€£π€£Niko kiduka cha mangi na zimua , kuna mdada kaja kavaa dela tu ndani hakuna kitu..dah kaamsha mashetani yote
Odo so vizuri ulivyomfanyie yule kaka pale kwa Mangi. ok tell me Ulimuachaje na zile ultimatum now or neverππππππ€£π€£π€£π€£ππππππ€£π€£π€£
Hahahahaha nani huyo alinifanyia vile .mwambie sio vzrNamjua aliyekufanyia haya manyanyaso namjua ππππππ€£π€£π€£
Odo so vizuri ulivyomfanyie yule kaka pale kwa Mangi. ok tell me Ulimuachaje na zile ultimatum now or neverππππππ€£π€£π€£
Hahaha, Ume elewa mazoezi ya mzee mwenzio lakini, hahaaMiaka 5 mfululizo nilikua nafanya mazoezi ya ushindani kutafuta nafasi ya first eleven bila kupumzika ..kwa sasa nashtua tu misuli
Hahahaha, hahahahaHuyo anayenunua dildo ni malaya kakubuhuu
Mzee acha uhuni basi, we si uli nambia Niki oa ni full dozi Kama wewe unavyo fanya ππKwa Uzee huu, Sina huo uwezo π
Profesa Janabi anatushauri Kwa Mwaka tufanye mara 1 tu kutokana na Umri wetu π€
Anasema upo slow slowwwww hadi umekeraaa ππππHahahahaha nani huyo alinifanyia vile .mwambie sio vzr
Hahahahaha..mimi niko slow ? Aisee asije kujaribuAnasema upo slow slowwwww hadi umekeraaa ππππ