Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,601
Muhimu kufanyia utafitiZa kusikia, ongeza na zako
Muhimu kufanyia utafitiZa kusikia, ongeza na zako
Wana zuoni Wana sema, USI amini kwa kuambiwa, vizuri uone kwa machoMuhimu kufanyia utafiti
😀😀Kwani sahivi saa ngapi? Maana huu usingizi nahisi ni saa 9 usiku😢financial services uki reply hii comment saa hii, naku nunulia bucket ya kfc 😃😃
Hivi huwa unalala saa ngapi wewe ? Kha😀financial services hata Kama ni weekend, ndo ukorome Kama chura wa jangwani 😆 😆
Saa saa 7 na nusu😀😀Kwani sahivi saa ngapi? Maana huu usingizi nahisi ni saa 9 usiku😢
Ngoja niisome kiswahili saa 7:30 usiku eeh, ndiyo maana nna usingizi mwingi😀Saa saa 7 na nusu
Eeeh endelea kulalaNgoja niisome kiswahili saa 7:30 usiku eeh, ndiyo maana nna usingizi mwingi😀
Roho mbaya umeanza lini mkuu, niendelee kulala nikose pesa nife 😀Eeeh endelea kulala
Hahahahaha..si umesema una usingizi mzito ? Sasa kama una usingizi na leo jpili , lala tuRoho mbaya umeanza lini mkuu, niendelee kulala nikose pesa nife 😀
muda ni ule ule mbona😃Hivi huwa unalala saa ngapi wewe ? Kha😀
una tafuta visingizio😃, ndo ime Isha hiyo😂😀😀Kwani sahivi saa ngapi? Maana huu usingizi nahisi ni saa 9 usiku😢
Mzee hayo mazoezi isijee kuwa ni juu ya mtu😃Good morning Mkuu 🤝
Muda huo nilikuwa nimeamka tayari kufanya morning walk, maana Profesa Janabi anatusisitiza Wazee kufanya mazoezi walau Kila Siku japo ya kutembea 🏋️
Vinginevyo hatutaifaidi pension yetu 🙌
Hahaha, Kuna mzee ali Sema samaki mtulivu, hakamatwi kirahisiNiko kiduka cha mangi na zimua , kuna mdada kaja kavaa dela tu ndani hakuna kitu..dah kaamsha mashetani yote