Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
The benefit of being verified please?
Hahaha, nimecheka sana Mkuu, yaani nyuzi zako mwenyewe unaziita hazina tijaaisee!, Mkuu
😂 😂Hii offer imekuja kipindi hiki ambacho kuna tunaopinga chanjo na JF kupitia ukurasa wake wa FB wanaipigia chapuo sana
unganisha DOTS........![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Faida ya kuwa verified ni nini?Poleni sana.
Hakuna aliyewalazimisha. Hao unaoona wako Verified hawakombwa bali waliomba wenyewe.
Sisi tunaitikia hitaji lao kwa kuweka utaratibu rafiki. Tunatambua wapo wengi wasiotaka kuwa verified, nao ni haki yao!
Msitie shaka, unavyoamua kuwa JF ndivyo utavyohudumiwa
Ukishazipata hizo tulinganishe disadvantages zake tuone mzani unalalia wapi.The benefit of being verified please?
Taja tena faida au umuhimu wa kila point/hoja uliyotoa hapo.kwa maoni yangu
1.kila mtu atajiheshimu zaidi na atawaheshimu wenzake.
2. itapunguza ban kwa sababu kila mmoja ataepuka kutumia lugha zisizo faa.
3. tutafahamiana zaidi.
4. tutaaminiana zaidi ktk kupeana michongo/fursa.
n.k
kabla hujachangia mjadala wowote naamini kila mtu atajitafakari kwanza kama anaweza kuchangia kuliko ilivyo sasa kila mmoja anakurupuka tu!
sio lazima kila mjadala kila mtu achangie, unaweza ukafuatilia tu na ukapata faida na ikakusaidia sana.
Hahahah, aagh wapi, kuwa verified ni kujilimit, mtu inabidi uteme nyongo bhana 😂😂😂😂
Faida ni kupata bichwa kubwa na kujisikia bora kuliko wengine hata kama wanakuzidi hoja na maarifa jukwaani 😂😂The benefit of being verified please?
We angalia mtu kama Pasco na mwanakijiji topic zao ni zile za kuibia mpaka uwe na jicho la tatu ndipo utagundua kapigwa mtu, vinginevyo hawawezi kupiga misumari ya nguvu hasa!.Hahahah, aagh wapi, kuwa verified ni kujilimit, mtu inabidi uteme nyongo bhana 😂😂😂😂
Mkuu Melo inachukua wastani wa siku ngapi mtu kuwa verified?, maana naona bado nipo 'pending'Wakuu,
Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified.
Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi wa kina.
Kwa wanaotaka kuwa verified, utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:
Utabonyeza (ukiwa kwenye web browser) sehemu imeandikwa Account, kisha fuata utaratibu huu:
View attachment 1897917
Utabonyeza "Request Verification Badge". Utaweza kuona sehemu inakuja na eneo la kuweka ujumbe wa kuwasiliana nasi ukiambatanisha na copy ya ID inayothibitisha majina unayotaka yawe verified ni yako
View attachment 1897898
Ukishatuma request, vumilia kidogo kwani itakuwa processed na ikiwa ina changamoto progress itaonekana kwako baada ya sisi kuwasiliana nawe kuhusu ombi lako.
Profile yako au ya mdau mwingine, ukipeleka cursor itaonyesha maandishi haya (mfano):
View attachment 1898044
ILANI:
1) Kwa waliokuwa verified awali, huna ulazima wa kufanya mchakato huu, lakini ikikupendeza kujaribu - UNAKARIBISHWA
2) Unaweza kuwa verified ukiwa na ID yako ya JF (not a real name) endapo tutajiridhisha kuwa ID ni mtu tunayefahamiana naye na maudhui ya akaunti yake hayashushi hadhi ya badge husika; mfano wa waliokuwa verified kwa IDs kawaida ni Bujibuji na Madame B.
Wanachama ambao ni VERIFIED wataonekana hapa: Verified Members
NB: Napokea requests nyingi za kubadili majina, tafadhali fanya hivyo mwenyewe kwa kutembelea https://www.jamiiforums.com/account/username
Asante
Ombi langu lipo pendingNaam, badili jina mwenyewe kupitia hii link: https://www.jamiiforums.com/account/account-details
Wewe una utani na boss wa JF😅😅Mkuu na sisi Wahaya kwa nini tusiwe na exception identity? By the way karibu hapa Kitunda nina dumu la rubisi, njoo tupige moja mbili
Sanaa MkuuMaxence Melo Ombi linakaa pending mno
Sasa hii si itakua Facebook au Instagram? Ukimfahamu mtu atataka kutuma mapicha weekend alikua wapi.kwa maoni yangu
1.kila mtu atajiheshimu zaidi na atawaheshimu wenzake.
2. itapunguza ban kwa sababu kila mmoja ataepuka kutumia lugha zisizo faa.
3. tutafahamiana zaidi.
4. tutaaminiana zaidi ktk kupeana michongo/fursa.
n.k
kabla hujachangia mjadala wowote naamini kila mtu atajitafakari kwanza kama anaweza kuchangia kuliko ilivyo sasa kila mmoja anakurupuka tu!
sio lazima kila mjadala kila mtu achangie, unaweza ukafuatilia tu na ukapata faida na ikakusaidia sana.
Nasubiri kwa hamuSasa hii si itakua Facebook au Instagram? Ukimfahamu mtu atataka kutuma mapicha weekend alikua wapi.
Mkuu Maxence Melo, tunashukuru kwa hili. Hoja kuu mezani kwa sasa ni katiba mpya ya Jukwaa la Wakubwa, mchakato unaanza lini?