Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

clinician

JF-Expert Member
Mar 5, 2014
2,137
5,082
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?

Usijali Apr 24 hata vyura watakuwapo!
 
Pesa imeshatembea humu JF
IMG_1196.jpeg
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Hata mimi kipindi najiunga mara ya Kwanza kupitia user nyingine ilikuwa ni nzuri Sana sanaaaa now haipo hiyo.
 
Kama wewe binafsi huchangii kuilisha jf hayo maarifa, habari na burudani nani atafanya hivyo?
Humu mi naona ukileta nyuzi zako utapata negative comments sana. Nishaona watu wanaleta simulizi wanaishia kutukanwa mpaka mtu anaacha. Kuna jukwaa watu wanatafuta wapenzi anakutana na dhihaka anaamua kufuta uzi.
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Wanafuta nyuzi....kumfurahisha bwana Abdul na Mama yake sasa unategemea nini ? .... hivyo kuwafanya watu makini kupunguza madini na kutokutoa mada za maana tena.
 
Wanafuta nyuzi....kumfurahisha bwana Abdul na Mama yake sasa unategemea nini ? .... hivyo kuwafanya watu makini kupunguza madini na kutokutoa mada za maana tena.
Kuna mdau hapo juu katuma comment kama hii kimafumbo, lakini mbona hata simulizi nzuri nzuri kama za Kina Lara 1, The bold, Konda msafi mzee wa Khumbu hatuzipati? nazo zinafutwa? hata majukwaa ya Elimu ya Fedha ukienda maana za maana hazina wachangiaji.
 
Hiyo sahii mkuu,hakuna tena la maana,me nilijitoa mwaka Jana sikuwaza Kama nitarudi tena,.Ila shemeji yenu(tumeoana ofcoz) ambae ni memba,kanishawishi Sana nirudi JF,Jana ndio nikafungua account mpya..and trust me tangu nimeingia najaribu kuperuzi kila jukwaa naona ushubwada tu..wtf
 
Humu mi naona ukileta nyuzi zako utapata negative comments sana. Nishaona watu wanaleta simulizi wanaishia kutukanwa mpaka mtu anaacha. Kuna jukwaa watu wanatafuta wapenzi anakutana na dhihaka anaamua kufuta uzi.
Hawapo siriazi na wanachokifanya/tafuta, huwezi kuacha kupambania mambo yako kisa umekatishwa tamaa au umekosolewa plus dhihaka, binadam wa hivyo wapo tu kikubwa focus kutimiza malengo yako. Humu beba kinachokujenga hayo mengine achana nayo.
 
Back
Top Bottom