Jamani ni duka gani ambalo ni maarufu lina hadhi ya kuuza simu original za Samsung? maana vishoka ni wengi

Bei za SAMSUNG S series_* hizi hapa chini 👇

📱S22 ULTRA 128G =850,000/=📌

📱S21 ultra FULL BOXED 📦 = 830,000/=

📱S21ultra (clean) 128GB = 750,000/=

📱S21 plain (clean) = 580,000/=

📱S21 plain (pin dot)= 550,000/=

📱S20 plus (dot) =480,000/=

📱S20 plain(dot ) = 420,000/=

📱S10 plus ( dot) = 480,000/=

📱S10 plain(dot) = 400,000/=

📱S10e 128Gb = 370,000/

📱S9 64GB( dot)=310,000/

📱S8.64GB (dot) = 300,000/=

Hizo zote ni simu mpya???
 
📌 Samsung Galaxy A25
✅ brand new full box
✅ bettery 50000mAh
✅ camera 50mp
✅ Network 🛜 5G
✅GB (128+8) Tsh 650,000//=
✅ GB (256+8) Tsh 700000//=

tunapatikana kariakoo aggrey plaza nyuma ya jengo la china plaza

Samsung A series zote hizi hapa 👇
__________________________
SAMSUNG BRAND NEW

✅A05 (4+64) Tsh 300,000//=
✅A05 (4+128) Tsh 340,000//=
✅A05s (4+64) Tsh 320,000//=
✅A05s (4+128) Tsh 360,000//=
✅A15 (4+128) Tsh 420,000//=
✅A15 (6+128) Tsh 460,000//=
✅A25 5G (8+128) Tsh 650,000//=
✅A25 5G (8+256) Tsh 700,000//=
✅A34 5G (6+128) TSH 700,000//=
✅A35 5G (8+128)Tsh 900,000//=
✅A35 5G (8+256) Tsh 970,000//=
✅A54 5G (8+128) Tsh 880,000//=bi
✅A54 5G (8+256) Tsh 970,000//=
✅A55 5G (8+128) Tsh 1,000,000//=
✅A55 5G (8+256) Tsh 1,080,000//=
Ngoja tuu nikabadili kioo sio kwa bei hizo...hyo A35 ndo imekua hivyo...
 
Bongo simu pekee ambayo unaweza amini kwa aslimia 90% imekuja na box NI Tecno,itel na infinix izo zengine ujanja mwingi
 
Bongo simu pekee ambayo unaweza amini kwa aslimia 90% imekuja na box NI Tecno,itel na infinix izo zengine ujanja mwingi
hata infinix na tecno ziko copy mkuu, haswa haya matoleo ya kuanzia 2023. Hizi ziko kwa wale jamaa wenye vikabati vya kioo kule kkoo haswa karibu na maduka ya jumla ya simu. Ingia mtaa wa masasi ndani...
 
Bei za SAMSUNG S series_* hizi hapa chini 👇

📱S22 ULTRA 128G =850,000/=📌

📱S21 ultra FULL BOXED 📦 = 830,000/=

📱S21ultra (clean) 128GB = 750,000/=

📱S21 plain (clean) = 580,000/=

📱S21 plain (pin dot)= 550,000/=

📱S20 plus (dot) =480,000/=

📱S20 plain(dot ) = 420,000/=

📱S10 plus ( dot) = 480,000/=

📱S10 plain(dot) = 400,000/=

📱S10e 128Gb = 370,000/

📱S9 64GB( dot)=310,000/

📱S8.64GB (dot) = 300,000/=
winga wewe, yani s8 tena ina dot uuze 300k bei ya s10
 
Kwasababu hatuna utaratibu wa kukagua au kujua kipi ni org kipi fake, 😂.. Mtu anafika dukan anasema anataka cm ya aina gan anatolewa wanakubaliana bei analipa na kuondoka, anasubiri kuwasha akifika nyumban🤣 wakati angeweza kukagua phone status palepale dukani akawa na uhakika nayo. 😂😂
Wewe unazjngumzia ambazo hazipo kwenye mabox ambazo hizo ndio unaweza kufanya hayo uliyoyaeleza. Mimi naongelea simu ambazo bado zipo kwenye mabox bado sio original.
 
Zanzibar wana electronic devices nzuri kuliko hata huku bara
Kule unakuta bidhaa inatoka UK,CANADA,USA nk

Ova
 
Back
Top Bottom