fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 669
mshahara wa dhambi ni mauti!
Khaa!! Jinga kweli wewe. Kicheko kizuri ni kile ambacho huja mwisho wa gamenimecheka nusura nipaliwe !
khaa!! Nyie bado mnawashwa tu nyenye zenu mkisikia jina la zito. Uzalendo wa zito huwezi kuulinganisha na uzalendo wa dr mbowe au dr slaa. Dr lisu na dr mnyika walikuwa majembe zamani lakini sasa hivi nao wameolewa tu wanapelekeshwa kwa sababu ya ulevi. Zzk bado hakuna wa kumlinganisha nae kutoka katika genge la wahuniNajiuliza sana sana sana sipati majibu. Ni dhahiri mwanasiasa Zitho Z Kabwe alikuwa akipost chochote kinachohusiana na siasa wachangiaji walikuwa wengi tofauti na ilivyo sasa. Kuna post imewekwa hapa kuonesha mchango wake kwa bajeti inayojadiliwa sasa lakini siamini response iliyopo. Jamani ni kwa nini? Hata wale watetezi wake kutoka ccm hawaonekani kuchangia na kumpongeza kama ilivyo ada yao. Natoa rai tuendelee kuwa nae na tuendelee kumuunga mkono pale anapotoa hoja zenye maslahi kwa taifa. Au mnasemaje wadau?
Angalau wangechangia hili kurudisha huruma ya kufiwa.
Hakyanani usiombe ukachukiwa na wale waliokupenda, hebu jaribu kufuatilia Thread za mdada wa PM7 zipo hapa ndani. Yaani nimakombora tu yanapishana utafikiri tuko Bengazi ni shida sana
Kwa upande wa kamanda wangu Zitto kinacho mgharimu ni UMIMI umemtawala mno hata akiwa na jambo ambalo linahitaji umoja ktk kulishughulikia yeye anataka kuliwakilisha peke yake ili kununua sifa kwa Umma hiyo haifai ndio maana wenzake humzilia baadhi ya hoja azimalizr mwenyewe
Ukiondoa mapungufu hayo jamaa bado yuko vizuri anahitaji kutuliza kichwa ili ashughulikie baadhi ya mambo ikiwemo na mgogoro na viongozi wenzake ndani ya chama, Kikubwa alenge kupata amani na wenzie hata kama hatarudi au kurudishwa kundini basi wawe tayari kushirikiana kwa mambo yahusuyo Taifa ili kuimarisha nguvu ya upinzani hasa kwa wakati kama huu tunaojiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hapo mwakani
BACK TANGANYIKA
Bado anakimbizana kujaribu kila kitu ktk hii dunia ambayo kila single na album inachuja haraka sana.....ni ngumu sana kudeka, kujifanya mpinzani wa kweli bila kumuumiza mtawala halafu ukawin..
khaa!! Nyie bado mnawashwa tu nyenye zenu mkisikia jina la zito. Uzalendo wa zito huwezi kuulinganisha na uzalendo wa dr mbowe au dr slaa. Dr lisu na dr mnyika walikuwa majembe zamani lakini sasa hivi nao wameolewa tu wanapelekeshwa kwa sababu ya ulevi. Zzk bado hakuna wa kumlinganisha nae kutoka katika genge la wahuni
''Siwezi kukataa wala kukubali kama nipo ACT'' unatoa kauli za kipuuzi halafu watu waendelee kukuamini
Kajishushia heshma aliyojijengea kwa kipindi kirefu.Ni aghalabu kwa wanasiasa wenye mpango wa muda mrefu kuangukia pua kama yalivyo mkuta Mh.amejiharibia ndani mda mfupi sana.Pole Mh.
Chadema zitto ndio alikuwa anawapa airtime ndio maana hadi leo bado mnahangaika naye. Wapuuzi wakubwa nyie
Unafiki unakuwashaNajiuliza sana sana sana sipati majibu. Ni dhahiri mwanasiasa Zitho Z Kabwe alikuwa akipost chochote kinachohusiana na siasa wachangiaji walikuwa wengi tofauti na ilivyo sasa. Kuna post imewekwa hapa kuonesha mchango wake kwa bajeti inayojadiliwa sasa lakini siamini response iliyopo. Jamani ni kwa nini? Hata wale watetezi wake kutoka ccm hawaonekani kuchangia na kumpongeza kama ilivyo ada yao. Natoa rai tuendelee kuwa nae na tuendelee kumuunga mkono pale anapotoa hoja zenye maslahi kwa taifa. Au mnasemaje wadau?