The Chosen One
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 3,579
- 17,011
- Thread starter
- #21
Mkuu hii itakuwa kushindana sasaMAMA WA HIVYO MPE NAFASI AKUTAFUTIE MCHUMBA YEYE AFU UANZE KUWAKOSOA NA WEWEEEE
Mkuu hii itakuwa kushindana sasaMAMA WA HIVYO MPE NAFASI AKUTAFUTIE MCHUMBA YEYE AFU UANZE KUWAKOSOA NA WEWEEEE
Inawezekana, mtoto wa kiume utachaguliwaje wa kuoa? Usipopigania ukipendacho, basi baki kutaka sukari ukisubiri kupewa chumviTatzo anakaa na mama ake
Ndoa inahitaji baraka za wazaziInawezekana, mtoto wa kiume utachaguliwaje wa kuoa? Usipopigania ukipendacho, basi baki kutaka sukari ukisubiri kupewa chumvi
Sawa mkuu umesomekaSometimes wako sawa kabisa. Mwambie ajipe muda wa kutafakari zaidi na zaidi.
Kweli mkuuUmri unasogea na uzee unakukalibia mkuu inabidi uoe bana mana mdogo ako nisije oa nikaonekana nadharau
mhhhh kazi ipo hapo! wanaume wa dizain hii (watoto wa mama) na km hafanyi wala hana maamuzi yyte mpaka amshirikishe mamake bas ni mtihani! hawanaga msimamo wanaume wa hivi haki vile ni sheeda! wafanye sana maombi...wamshirikishe Mungu kwa hiliMkuu jamaa kalelewa na mama pekee,kasomeshwa na mama,ndo anakaa na mama hata akioa lazima mke aje akae na mama ake
Hapa kweli maombi yanahitaji mkuu tena ya kufungamhhhh kazi ipo hapo! wanaume wa dizain hii (watoto wa mama) na km hafanyi wala hana maamuzi yyte mpaka amshirikishe mamake bas ni mtihani! hawanaga msimamo wanaume wa hivi haki vile ni sheeda! wafanye sana maombi...wamshirikishe Mungu kwa hili
ohoooo ni sheeeda! nayajua hayo mamboHapa kweli maombi yanahitaji mkuu tena ya kufunga
ushari wako tafadhali
Vp mkuu umeoa laknohoooo ni sheeeda! nayajua hayo mambo
Kwani ye alichaguliwa mmeHuwezi jua mama ameona nini, mitihani ya ndoa si mchezo ndio maana unatanguliziwa cheti kabla ya paper.
Wanasemaga mapenzi ni ya wawili wapendanaoSometimes wazazi wanaona mbali sana...
Nyie mnaweza msione, lakini wao washayaona... Unaweza ukamchukia mzazi leo...
Ila kesho nawe ukawa mzazi, ukachukiwa na mwanao/wanaoa, kwa jambo kama hilo hilo,..
Tabia Kama za Joseverest (tabia za kimtogole kwimba)!!??Kuna kisa kama hiki kilitokea jamaa ni wa kule kwetu Kwamtogole mtoto wa usuani yaani mama wa binti angekuwa na uwezo wa kifuta uhusiano lakini kulikuwa na mjukuu tayari. Mama alikuwa hataki mtoto aende Kwamtogole kwa baba yake eti atafundishwa tabia mbaya
Huwa mama itakua ujanani alikua ngariba mana mpnz ya mtoto wke yeye kuingilia ni kosa aache watu wafanya yaoSalama jamani kama uzi unavyojieleza hapo kuna rafiki yangu wa kike kapata mchumba na wanamtoto mmoja hadi saivi mipango ya ndoa wanayotoka siku nyingi Ila tatzo ni mama wa mchumba wake(mama mkwe) hamtaki na hanasababu ya msingi zaidi ya hamuendani,binti mbaya,mara anatabia mbaya na zingine tu za ajabu ajabu na wameshindwa kufanya mipgango ya ndoa coz itakuwa ndoa ya ajabu mama mzazi anasema hata kwa mtutu hawatapata baraka zake labda wafunge akishatoka dunian ila kwa upande wa wazazi wa binti walikuwa tayari kwa ndo ila sasa nao hawataki wanasema hawataki binti yao hakateseke bure ila binti na jamaa wanapendana sanaa tu Naomba kuwauliza wazazi hasa kina mama ni wakwe wa aina gani mnawataka Maoni na ushauri unaruhusiwa kwa ajili ya huyu rafiki yangu kipenzi
Labda mkuu itakuwaHuwa mama itakua ujanani alikua ngariba mana mpnz ya mtoto wke yeye kuingilia ni kosa aache watu wafanya yao
zpoje mkuuTabia Kama za Joseverest (tabia za kimtogole kwimba)!!??