Jamaa kamuacha manzi yake kisa kakuta condom kwenye mkoba wa demu

Kwan zimekuwa bastola au bunduki ndo niogope kutembea nazo,lakn nikikukuta NAyo wew nikae kimya sio,wakati chini ya uvungun Bosi limejaa, kuishi na mwanaume kunahitaj uvumilivu
bint wa kirombo unabahati sijawa mm ndio mwenyekiti(mmewako) ila ungenieleza vizuri unazipata wapi kazini tu haitoshi kunishawishi
 
eeh warembo wamejaa tela mujini hapa wewe cha msingi ukiwa na ndalama wajiokotea tena unaweza ukawa na papuchi for each day of the week

wacha kama unaokota nyanya buguruni vile...ila jua kuna magonjwa usishangae una nyota ya kale kaugonjwa kale teh:D:D
 
Back
Top Bottom