Jaji Othman Chande astaafu, Magufuli amteua Jaji Prof. Ibrahim Juma kukaimu

Ni mjadala huru na ninakiri Sifahamu lolote lile, hivyo sina maslahi katika mjadala huu.

November/ December 2016: Hakuna Kesi za mafisadi hivyo ni indicator nzuri kuwa lengo limefanikiwa. Maneno kama hayo yalitolewa na Mwakyembe na pengine yalikua backed up na Mzee Chande. Maana hakupinga, kwahio walikubaliana kutoka kwa statement kama hio???? Je ilimpendeza Mteuzi Mkuu???

January 2017; Professor Palamagamba ( Gwiji wa Sheria) anateuliwa kuwa Mbunge, ili iweje??? Sijajua, halafu wadadisi wanasema kuwa huenda kukawa na Mabadiliko kwenye Baraza!!! Huenda baadhi wakaachwa! Ni akina nani? Je ni kweli Baraza laweza kuwa reshuffled??

February?????
Raisi hana mamlaka kisheria ya kumtumbua Jaji Mkuu.Kama ilivyo kwa Gavana.Mzee Othman Kaamua tu kuondoka zake!
 
Ameifanyia nn Tz?
Au akizeeka ndio anakuja kuifanyia kazi nchi?

Kwanza alipaswa asitaafu!!

Sheria mbovu zipo yy alikuwepo! Rufaa za ajabu ajabu, kufutwa kwa kesi za wizi na mauaji, wizi wa kura, wahusika wote wa EPA, RICHMOND, IPTL hakuna aliye jela, NEC + ZEC kuto mtangaza Maalim Seif kama Rais wa Zanzibar, Mchakato mbovu wa Rasmu ya Katiba, Rushwa, ufisadi yy yupo!!
JPM ana kiuka haki, sheria na Katibu yupo wala hata hapanui mdomo wake kumkosoa!!

Tz nzr itakuja karne ya 22 iwapo wazee wote wa 40yrs to 100yr watakufa ni waoga sn!!
That is too much demanding!, mtu ameteuliwa jana tuu, hata ofisini hajakanyaga unaanza ku demand amefanya nini?!. This is too much!.

Ambaye angepaswa kuulizwa amefanya nini ni aliyemaliza na sio anayekuja!. Kwa anayekuja tunachoweza kuweka ni track record yake tuu ya alikopita, kwangu mimi reference yangu kwa mtu huyu ni alipokuwa Dean wangu pale FoL, UDSM.

Paskali
 
Mimi mashaka yangu ni ukakasi unaojitokeza. Tangu lini kukawa na Kaimu Jaji Mkuu? Hivi tunaweza kuwa na Kaimu Rais? Kaimu Spika? Naibu Spika sawa. Makamu wa Rais sawa. Na rais anapokuwa hayupo, huyu anaweza kuwa Kaimu Rais bila kutangaza kuwa sasa tuna Kaimu Rais. Kaimu Jaji Mkuu? Kwani Jaji Mkuu ameenda safari au anaumwa. Kwa ujinga wangu ni ama tuna Jaji Mkuu au hatuna, lakini Kaimu jaji Mkuu?! Wasomi nieleweshe.

Rais ameshauriwa vizuri hapa? Kustaafu ni dharula? Hawakujua kuwa Jaji Mkuu anastaafu? Sasa itakuwaje endapo Rais atakuja kuteua mtu mwingine asiye Prof Ibrahim? Na kama ni kumteua yeye baadaye kwa nini wamkaimishe sasa?

Sinema haziishi
Hongera kwa kujitambua kuwa wewe ni Mjinga lakini vyema usingejifanya mjuwaji na Ushauri ungeuliza maswali au ungefanya tafiti halafu ukikosa ndio uulize maswali

Sasa Ukweli Kwa Mujibu wa Sheria kabla Jaji Mkuu kuthibitishwa Hatua ya kwanza anatakiwa kukaimishwa kwa Muda maalum baada ya hapo Anathibitishwa kuwa Jaji Mkuu au pia kama Rais anakuwa hajarizika nae anaweza kumteuwa mwengine akaimu halafu Amthibitishe Na huu uteuzi sio kwamba Raisi amemtowa alipo mtowa bali ni Tume ya Majaji imependekeza Majina yasiopungua 3 Mh Rais Akateuwa mmoja wao
 
Mimi mashaka yangu ni ukakasi unaojitokeza. Tangu lini kukawa na Kaimu Jaji Mkuu?
Katiba inaruhusu kuwa na Kaimu Jaji Mkuu kwahiyo issue iwe ni je, huyo Ibrahim ana sifa za kushika hiyo nafasi?

Lakini sifa pendwa ya uprofeseri tayari anayo labda hizo zingine!!!!
 
Kwa nini akaimu. Ina maana Othuman Chande kastaafu ghafla hivyo haikuwa imetayarishwa nani wa kumrithi?
According to Katiba, ikitokea Kiti cha Jaji Mkuu kinakuwa wazi, Rais anaweza kuteua Kaimu Jaji Mkuu hadi pale atakapopatikana Jaji Mkuu!!

Kwahiyo kikatiba hakuna kosa labda hoja iwe, kama suala ni kustaafu kwa kawaida; kulikuwa na sababu ya kuteua Kaimu Jaji Mkuu badala ya kufanya uteuzi wa Jaji Mkuu moja kwa moja!!! That's one but two, huyo Profesa ana sifa za wazi na zisizo wazi kumwezesha kushika one of the top post nchini?

Anyway, I will assume vijana wa kazi hawajamaliza kazi ya vetting!!!!
 
Nimecheeeeeeeeeeeeeeeeka, sina mbavu....Hizi ni Enzi za wasomi...usomi sasa unalipa...ukisoma na kupata PhD na ikiwa na umri muafaka na kuitendea haki PhD yako (unajiweza kitaaluma, mwadilifu, mchapa kazi, huropoki ovyo, na wala siyo mwanaharakati na pia wewe ni mzalendo) ni lazima upate nafasi, hakuna ubishi kwa hili.....
++kada Wa ccm.
 
Nimecheeeeeeeeeeeeeeeeka, sina mbavu....Hizi ni Enzi za wasomi...usomi sasa unalipa...ukisoma na kupata PhD na ikiwa na umri muafaka na kuitendea haki PhD yako (unajiweza kitaaluma, mwadilifu, mchapa kazi, huropoki ovyo, na wala siyo mwanaharakati na pia wewe ni mzalendo) ni lazima upate nafasi, hakuna ubishi kwa hili.....
Amfrei Slow slow sifa zote hizo anazo
 
Mimi mashaka yangu ni ukakasi unaojitokeza. Tangu lini kukawa na Kaimu Jaji Mkuu? Hivi tunaweza kuwa na Kaimu Rais? Kaimu Spika? Naibu Spika sawa. Makamu wa Rais sawa. Na rais anapokuwa hayupo, huyu anaweza kuwa Kaimu Rais bila kutangaza kuwa sasa tuna Kaimu Rais. Kaimu Jaji Mkuu? Kwani Jaji Mkuu ameenda safari au anaumwa. Kwa ujinga wangu ni ama tuna Jaji Mkuu au hatuna, lakini Kaimu jaji Mkuu?! Wasomi nieleweshe.

Rais ameshauriwa vizuri hapa? Kustaafu ni dharula? Hawakujua kuwa Jaji Mkuu anastaafu? Sasa itakuwaje endapo Rais atakuja kuteua mtu mwingine asiye Prof Ibrahim? Na kama ni kumteua yeye baadaye kwa nini wamkaimishe sasa?

Sinema haziishi

nimeisoma Katiba na mamlaka hayo ya kuteua Kaimu anayo Mkuu wa nchi. Ibara ya 118 (2) na 118 (4) (a) na (c) ikisomwa pamoja na Ibara ya 116 (1) inayotoa tafsiri ya Jaji Mkuu kuwa ni pamoja na Kaimu Jaji Mkuu ni dhahiri Rais ana mamlaka hayo ya kuteua Kaimu mpaka atakapoteuliwa Jaji Mkuu.
 
Kanuni ya ushahidi ni the one who allege, must prove! .

Paskali
Am of the same concern and am aware of that doctrine ..."Onus Probandi"

But it's got an exception to the same, not such much strict.

Whose burden then where there is public interests?!

Kwenye Post kubwa kama hizi kwa wazungu ukipewa kashifa kama hizi unajitoa mwenyewe kupisha uchunguzi. Wameweza wazungu sio Miafrika!
 
Nilikuwa mwanafunzi UDSM Fol wakati Dr. Ibrahim Juma akiwa Dean, hivyo namjua fika ni mtu wa haki bin haki!. Uprofesa hautolewi kwa kuteuliwa na rais bali ni academic excellence and he deserves! .

Paskali
NI kweli mkuu. Huwezi pata udaktari au uprofesa kwa kuunga. Watu hawatambui hilo. Wajaribu kuchukua hizo PhD. Tena Kama hao maprofesa muwe mnawaonea huruma. Kazi wanazofanya za utafiti ni nyingi na ngumu sana. Tatizo wanasiasa hawaamui kwa kufata tafiti bali mihemuwe.
 

be5c16317187d44e81705089cf655e6e.jpg
frances nyalali 1977-2000 ndiye wa muda mrefu zaidi....
 
Back
Top Bottom