Iwapo hela za kufanya kila kitu kwenye nchi anatoa Rais, Kodi zetu zinaenda wapi?

hitler2006

JF-Expert Member
Sep 1, 2014
489
454
Nimekua nikijiuliza sana kila naposikia kauli za watendaji na viongozi wetu.

Utasikia mama katuletea hela kwaajili ya mradi huu.

Nabaki na maswali nijuavyo Serikali hujiendesha kwa kodi za wananchi, grants lakini pia magawio kutoka mashirika yake lakini pia mikopo ambayo hulipwa badaye na wananchi kwa njia mbalimbali.

Serikali inakusanya kodi
Serikali inafanya makadirio ya bajeti yake.

Makadirio hayo yanapelekwa bungeni na kupitishwa kuwa budget. Sasa kimsingi bunge ndo hupitisha mgawanyo wa fedha.

Sasa huu uchawa wa mama katupatia pesa, mama kafanya natuaminisha kuwa nyie hamfanyi kazi.

Na kodi zetu tunazolipa mutuambie zinaenda wapi?
 
Ndiyo maelekezo waliyopoewa na chama chao kwamba kila wakisimama lazima wamsifie Mama Kizimkazi.
Mleta mada asijitoe skill

Ukweli anaujua ila anakuja hapa kututega tu

Bila ya Serikali kuamua chini ya katiba hii kiraka hakuna mihimili mingine inaweza fanya

Awamu nyingine kabla ya JPM upuuzi huu haukuwepo

Ila tangia JPM Hadi Leo ngonjera ni Ile ile


Mleta mada aidha afunike kombe au anyamaze
 
Mama ndio tajiri namba moja na pia philanthropist mkubwa kuliko wote Tanzania. Hutaki jinyonge
 
Back
Top Bottom