Israel kushindwa kuimaliza Gaza na kuikalia hadi siku ya leo, angeingia vitani na Ukraine angetoboa?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,228
2,069
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa JF.

Hii thread ipo katika mfumo wa swali, swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.

Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha. Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.

Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.

Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.

Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?

Maswali ni mengi. Lakini swali la msingi linabaki kuwa. Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano
 
Hamas angekiwa na asilimia 10 tu ya silaha alizo nazo Ukraine ,sasa hivi wangekuwa Telaviv wana kunywa kahawa na akina Netanyau wangekuwa wamesha kimbilia Marekani.
Hamas ana miliki home made weapons ambazo sio silaha nzito hata kidogo ana miundombinu dhaifu ya intelijensia kwenye kupata taarifa ikilinganishwa na Ukraine ambaye anapewa intelligence na NATO.Lakini bado Israel ameshindwa kumaliza hii vita ndo hapo kunapozua maswali mengi kuhusu uimara wake
 
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa if.
Hii thread ipo katika mfumo wa swali,swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.
Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha.Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.
Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.
Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?
Maswali ni mengi.
Lakini swali la msingi linabaki kuwa.Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano
You are thinking of impossibilities
 
Hata Urusi akitaka ana weza kuigeuza Ukraine kichwa chini miguu juu ndani ya nusu saa tu hivyo hoja yako haina mashiko.
Huyu putin alieiteka mpaka kivu akatolewa nduki kabaki na mikoa iliyojitenga kitambo na ukraine au yupo mwingine
 
Kwanza ukrain ina nguvu kijeshi kuliko israel. Kama kimapigano kati ya israel na ukraine basi yule atakayeingia kwenye nchi ya mwenzie ndiye atakayeshindwa. Yani mwenyeji ndo mshindi
 
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa JF.

Hii thread ipo katika mfumo wa swali, swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.

Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha. Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.

Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.

Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.

Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?

Maswali ni mengi. Lakini swali la msingi linabaki kuwa. Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano
sasa wewe mwanasesere mmoja wa gongolamboto huko kipi ulichoweza? kweli leo mtu mwenye akili timamu anakuja kusema Israel imewashindwa Hamas? wakati wamekamatwa hadi wanatembezwa na chupi tupu wanaume wazima?
 
Kushinda Vita hakutegemei uwezo au Ubora wa Silaha au Ukubwa wa nchi, ni self-determination ya wapiganaji.
Hamas wanaisumbua Israel na Mshirika wake US kwa sababu ya self-dertemination waliyonayo! Ndiyo maana Hamas wameishangaza dunia kwa kuishambulia Israel na kuteka wanajeshi, nchi ambayo ina logistic zote za kiinteligensia na silaha bora.
Bila hapo US kutia mkono wake Israel ilishapoteza mwelekeo!
Kwa Russia na Ukraine ni tofauti kidogo! Naweza kusema wanajeshi wa Russia wako self-determined, achilia mbali kwamba walishakamilisha op yao ya kui de-militarize na de-nazify Ukraine, kwa sasa iko self determined kupigana na NATO kwenye uwanja wa vita!
Ni ukweli usiopingika bila US na Washirika wake kutia mkono wake pale, Ukraine regime ingekuwa tayari imesha collapse na ku surrender!
Hayo ni maoni yangu!
 
Mbona husemi hata huyo Russia alitakiwa ameshaifuta Ukraine ila ameshindwa.

Kimsingi Russia hiyo vita pia ameshashindwa na imeleta mdororo wa kiuchumi.

Tukija kwenye kesi ya Hamas hao strategy yao ni kujificha nyuma ya raia we hujiulizi casualities nyingi zimekua ni raia wasio na silaha kuliko hao Hamas?

Hamas wanajificha kwenye hospital, shule, vituo vya kulea wasiojiweza,karibia na ofisi za mashirika ya kimataifa.

Hivyo kushambulia hizo sehemu ni kinyume na sheria za haki za binadamu na miongozo ya haki za binadamu kimataifa.
 
Hamas angekiwa na asilimia 10 tu ya silaha alizo nazo Ukraine ,sasa hivi wangekuwa Telaviv wana kunywa kahawa na akina Netanyau wangekuwa wamesha kimbilia Marekani.
kabisa aisee...wale wana wangepewa chopa 3 tu na vifaru vi2 saa hizi IDF wote wangekua kolokoni wanajambiana...
 
Mbona husemi hata huyo Russia alitakiwa ameshaifuta Ukraine ila ameshindwa.

Kimsingi Russia hiyo vita pia ameshashindwa na imeleta mdororo wa kiuchumi.

Tukija kwenye kesi ya Hamas hao strategy yao ni kujificha nyuma ya raia we hujiulizi casualities nyingi zimekua ni raia wasio na silaha kuliko hao Hamas?

Hamas wanajificha kwenye hospital, shule, vituo vya kulea wasiojiweza,karibia na ofisi za mashirika ya kimataifa.

Hivyo kushambulia hizo sehemu ni kinyume na sheria za haki za binadamu na miongozo ya haki za binadamu kimataifa.
Ntakujibu kuanzia chini nikielekea kule juu sawa MKUU
Israhell haijawahi kuheshimu sheria za kimataifa nandio maana jela zake za watu wazima zimejaa watoto mpaka wamiaka 12 kuja chini
Israhel hao hao washaripua makanisa misikiti shule hospital ngapi hapo ghaza haya wanaheshimu sheria ipi ya kimataifa unayoisema wewe
Russia ipi yenye mdororo wa kiuchumi kijana hem fuatilia haya majambo vyema ndio unaweza ukaelewa
Russia hana mdororo wakiuchumi kuwazidi hao matajiri walokua wanamuekea vikwazo
Yaani Russia ukimlinganisha na walomuekea vikwazo basi Russia ndio yupo vyema
Mwisho hakuna sehem Russia aliutangazia ulimwengu kama anataka kuifuta ukraine kama ipo tafadhali tunaomba utuleteee
Russia aloyatangazia ulimwengu ni kuchukua DON BASS( Luhansk na Donetsk) Kherson na Zaporinhze nakuyaunganisha na RF naha yote kwa asilimia 90 kayakamilisha bado kupata full udhibiti wa maeneo hayo
Russia pia alitangaza de militarization kwa ukraine na hili tayar kaishalifanikisha maana bila msaada tokea nje ukraine haiwezi kusimama hata mwezi mbele ya Russia
Alitangaza na de nazify
Russia taifa teule
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Hamas ana miliki home made weapons ambazo sio silaha nzito hata kidogo ana miundombinu dhaifu ya intelijensia kwenye kupata taarifa ikilinganishwa na Ukraine ambaye anapewa intelligence na NATO.Lakini bado Israel ameshindwa kumaliza hii vita ndo hapo kunapozua maswali mengi kuhusu uimara wake
Hamas silaha anazo tumia anajitengenezea yeye mwenye kwa teknolojia dhahifu ndo maana watu wanashangazwa na kuutilia mashaka uwezo wa jeshi la Israel, na kutambua kuwa nguvu na weledi wa Israel ulikuwa umejikita kwenye propaganda kuliko uhalisia.
 
Habari wana jukwaa hili la kimataifa.Ni moja ya platform nzuri sana hapa JF.

Hii thread ipo katika mfumo wa swali, swali ambalo litazua mjadala ndani yake kila mmoja anaweza kueleza vile anavyoweza ili kulijibu hilo swali.

Mods naomba huu uzi usiunganishwe na nyuzi zingine kwa maana hazifanani hata kidogo.

Ikiwa inakaribia kutimia miaka miwili tangu mgogoro Urusi na Ukraine uanze tumeshuhudia mengi sana katika huu mgogoro lakini kubwa ni kuona Urusi bado anaendelea kupambana kutimiza malengo yake ya military operation aliyoianzisha. Kwa wale pro Nato wamesema mengi sana ambayo siwezi kuandika hapa lakini kubwa kuliko yote ni Udhaifu wa Rusia katika operation hiyo.

Russia anapambana na nchi kubwa sana ulaya ambayo ina silaha nzito alizorithi kutoka Soviet lakini pia back up kubwa anayopewa kutoka nchi za Ulaya na Marekani.

Lakini Urusi bado anaendelea kupambana licha ya vikwazo alivyowekewa.

Kwa upande mwingine pale middle east kumezuka vita nyingine baina ya Israel na Hamas (from Gaza) ambayo inakaribia kutimia miezi 3 sasa tangu ianze, ikumbukwe Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas na sio oparesheni kama kule Urusi hivyo Israel aliingia na nguvu zake zote.

Wengi wetu tuliamini kwa uwezo wa IDF na uwezo wa MOSSAD kwa upande wa intelijensia tulitegemea Israel angemalizana na Hamas ndani ya siku 4 lakini naona imekuwa tofauti.Israel imekuwa inasifiwa sana hapa jukwaani kwa ubora wake katika mbinu na silaha alizokuwa nazo za kisasa.

Tumeona Israel ikingiza Air force yake Gaza na kutoka kadri anavyotaka, Swali kujiuliza Hamas wangekuwa na Ulinzi wa anga kama alivyo Ukraine angeweza kuingia na kutoka?

Maswali ni mengi. Lakini swali la msingi linabaki kuwa. Kama Israel angeingia vitani na Ukraine angeweza kutoboa kwa kuzingatia performance anayoionyesha pale Gaza(Kaeneo kadogo kama wilaya ya kigamboni).
Karibuni kwa majadiliano
Ona mwenzenu huyo huko Turkiye

View: https://x.com/visegrad24/status/1734566904629428292?s=20
 
Back
Top Bottom