Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Mara nyingi tunapoondokewa na wapendwa wetu ambao wametangulia mbele za haki huwa naonaga kuna misemo ya aina mbili ambayo watu huitumia katika kuonesha kuguswa na tukio la msiba.
Wengine husema marehemu apumzike mahali pema peponi na wengine husema marehemu apumzike panapostahili
Nini hasa utofauti wa hisi semi mbili na nini mtazamo wako juu ya hizi semi ?
Wengine husema marehemu apumzike mahali pema peponi na wengine husema marehemu apumzike panapostahili
Nini hasa utofauti wa hisi semi mbili na nini mtazamo wako juu ya hizi semi ?