Innocent Killer (The Revenge)

STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 11

SONGA NAYO............
Mjira ya saa 2 za usiku tax ilikuwa inapaki maeneo ya Mbagala kwa Zizi Ally, alishuka Jason na kulipia pesa kwa huyo dereva na kumshukuru kwa kumfikisha salama, hakusahau kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa kuweza kumfikisha salama ndani ya hilo eneo, aliitoa simu yake na kuangalia kwa umakini aliangalia namba ya nyumba ambayo alikuwa ameelekezwa akatingisha kichwa kuonyesha kwamba alikuwa anakubaliana na hicho kitu. Mbele yake apalikuwa na uwanja mkubwa wa uwazi ambao kuna watu wengi sana walikuwa wanacheza Baikoko hawana hata muda, wadada walikuwa wamevaa kanga moja moja tu huku wanamwagiwa maji halafu wanaendelea kuonyesha kile walicho pewa na mama zao, ilikuwa ni full kukata viuno huki vijana kibao wakiwa wanawashika shika wanawake hao kama namna ya kufurahi wala hao wanawake hawakuwa wakileta ubishi wowote.

“Hey mama shura ana laana, anavyolikata utasema hana mwana”
“Mimi ni nani mpaka nibishe bwana, siwezi kula mifupa na naiona nyama”

Ni sauti moja ya kijana ambaye alikuwa anawaimbisha wanawake hao na walikuwa wanakata viuno kwa kumfuatisha yeye hali iliyo pelekea hali ya sehemu za mbele za vipensi kutuna sana kwa hisia ambazo walikuwa wanazipata kutokana na kuyashuhudia maungo ya ndani ya wanawake hao. Jason alibaki anashangaa tu baada ya kuona hiyo hali hakuwahi kuyaishi maisha kama hayo hata wakati akiwa ni mdogo aliishi maisha ya kawaida sana ila hakuwahi kukutana na vitu kama hivyo.

“Kaka kwa usiku mmoja ninunulie chipsi tu nakupa kila unacho kihitaji hata ukitaka kuruka kiunzi ni wewe tu handsome boy” akiwa ameduwaa na hali ya hapo alishtuka kuna mwanamke anamshika shika, kutokana na mavazi yake na sura yake yenye mvuto ulio kithiri vilifanya yeye awe tofauti hilo eneo hivyo dada huyo ambaye kwa mwonekano alikuwa ni mzuri sana ni kwa vile tu alikosa matunzo mazuri ndiyo maana hakuwa katika mwonekano nadhifu sana, Jason alishangaa mwanamke kama huyo alitakiwa kuwa shule kama sio ofisini kufanya kazi basi hata awe kwake akiwa na familia yake cha ajabu alihitaji kutoa mapenzi tena akisema kwamba yupo tayari kutoa sehemu zote mbili kama mwanaume huyo angetaka kikubwa tu amnunulie chipsi, hakuelewa kama ni njaa ndiyo ilikuwa tatizo kwa mwanamke huyo au ni mambo ya uswahilini ambayo yeye hakuyazoea kabisa.

Basi alimvuta mpaka pembeni kidogo na hilo eneo
“Unaitwa nani?”
“Nayra”
“Huku ndiyo nyumbani?”
“Ndiyo ni nyumba kumi tu kutoka hapa unafika nyumbani”
“Una miaka mingapi?”
“24”
“Una elimu gani?”
“Nimemaliza chuo mwaka jana”
“Sasa mwanamke msomi kama wewe kwanini unajidhalilisha namna hiyo kuhitaji kulala na mwanaume kisa chipsi? Au kuna tatizo” swali hilo lilimfanya mwanamke huyo aanze kulia, mwanaume alihisi huenda lazima kutakuwa na tatizo sio bure.

“Ok una simu?” mwanaume aliuliza baada ya kuona mwanamke huyo anaendelea kulia
“Hapana” Jason alijiuliza mara mbili mbili kisha akazamisha mkono wake mfukoni, alitoa simu moja ambayo haikutumika sana na ilikuwa simu ya bei ghali mno

“Samahani sana nimetembea na simu mbili tu hapa na hii nimeitumia kidogo lakini inaweza kukufaa, tumia hii simu siku ukipata muda naomba unipigie” aliongea baada ya kuandika namba yake kwenye kioo huku akiwa anamkabidhi hiyo simu mrembo huyo ambaye alikuwa na vigezo vya mwanamke mzuri sana ila huenda ni matatizo ambayo alikuwa anayapitia maisha magumu ndiyo yalimfanya kuwa wa kawaida ila licha la kuvaa dera lililo choka ndani ya hilo dera lilikuwa likitikisika sana kuonekana lilibeba mali ambayo ilienda shule haswa. Binti huyo alipiga magoti huku akiwa analia na kumshukuru sana Jason na alishukuru mno MUNGU kumletea mtu huyo kwa wakati huo kwani hali ilikuwa si hali, mwanaume alimnyanyua na kumsimamisha.

“Usipende kuwapigia pigia magoti wanadamu wenzako hiyo ni ishara moja mbaya sana unaweza ukaishia kutumika sana, nimekuja huku namtafuta afisa mmoja wa polisi ambaye anaitwa Bakari Zalimo sijui kama utakuwa unamfahamu na unapajua kwake?” swali lake liliitikiwa na dada huyo kwa kutingisha kichwa chake kuonyesha kukubali hicho kitu basi mwanaume alimuomba dada huyo ampeleke huko hakuwa na hiyana alitangulia mbele na mwanaume akawa anafuata nyuma huku akishuhudia mitetemo ambayo ilikuwa ndani ya dera, mawazo yake hayakuwa kabisa hapo lakini alijikuta anasikitika tu kwa binti mzuri kama huyo kuhitaji kuutoa mwili wake kisa chipsi.

“Una muda gani unaishi huku?”
“Nimezaliwa huku ila nilikuwa naondoka tu wakati wa Kwenda kusoma na nikimaliza au likizo nilikuwa narudi huku huku”
“Huyu askari unamjuaje?”
“Huyu ni mtu maarufu sana huku hata ukimuita mtoto mdogo anakupeleka” wakiwa wanaendelea na maongezi hayo huku wakiendelea kutembea aneo ambalo halikuwa na uwazi mkubwa sana walisikia Kigoma kikipigwa hiki kilikuwa tofauti na kule ambako walikuwa wanacheza Baikoko walisikia sauti kali ya kijana ambaye alikuwa ana furaha sana.

“Nai naona umeokota dodo kwenye mpera umemtoa wapi leo mtu wa Masaki huyo?” hali hiyo ilimfanya Nayra acheke sana huku akimnyooshea mkono kijana huyo kumpa hai wala hakumjibu na ndo ilikuwa mara ya kwanza Jason analiona tabasamu la binti huyo alijikuta naye anatabsamu, kulikuwa na kiza sana lakini mwanga wa taa za nyumba ulimfanya aone vyema namna mashavu ya Nayra yalivyokuwa yanabonyea pale anapokuwa anacheka.

“Usimjali yule ni vijana wa mtaani hapa huwa wanapenda kunitania sana”
“Wala usijali ni vizuri sana kama unaishi na watu kwa upendo sana namna hii” waliendelea na maongezi wakati huo walikuwa wanakunja kona moja na Nayra akasimama baada ya kutembea hatua kama kumi, alijongea kidogo na kugonga geti moja jeusi hapo kwa nguvu

“Ndiyo hapa tumefika” alivyo maliza tu kuongea geti lilifunguliwa na alikuja kufungua mwanaume mmoja ambaye alikuwa ndani ya vest nyeupe

“Bila shaka wewe ndiye ASP Bakari” Jason aliuliza
“Ndiyo nikusaidie nini?” ASP aliuliza huku akiwa anamwangalia Nayra ambaye aliishia kumsalimia

“Shikamoo”
“Marhaba Nayra asante kwa kuniletea mgeni” Jason hakuhitaji kusubiri sana aliingiza mkono kwenye mfuko wake akatoa kibunda cha pesa na kumkabidhi binti huyo pesa zote ambazo zilimfanya abaki kama amepigwa na butwaa, ikabidi Jason amshtue

“Ukipata tatizo lolote nitafute kwa simu kama ukishindwa basi uje hapa umtafute huyu ASP atakukutanisha na mimi" maneno hayo yalimfanya binti huyo aanze kulia tena, hapo siyo maneno ambayo yalikuwa yanamliza bali ni hizo pesa ambazo yeye alipewa, ASP Bakari Zalimo alimuonyesha ishara binti huyo aende kisha yeye alimkaribisha mgeni ndani huku Jason akiishia kusikitika tu.

“Sijui nikusaidie nini?” ASP aliuliza wakati wamekaa kwenye kibaraza ambapo palikuwa na hewa safi sana
“Mbona ASP mzima unaishi maisha ya hovyo kama haya na una kazi nzuri tu shida nini mpaka umekuja kujichimbia maeneo kama haya?” swali la Jason lilimfanya ASP Bakari amshangae sana wakati huo yeye alikuwa anaendelea kuangaza maeneo ya hiyo nyumba

“Nadhani ni vyema zaidi kama ukijitambulisha kwanza wewe ni nani?”
“Ooooooh kichwa kina mambo mengi sana, mimi ni mdogo wake na jaji mkuu Markvelous Japhary ambaye ameuawa siku ya jana nadhani una hizo taarifa?”
“Yes, taarifa ninazo lakini kusema wewe ndiye mdogo wake na jaji mkuu sina hizo taarifa nasikia tu ana mdogo wake ila simjui hivyo sio rahisi sana kukuamini ndugu yangu nadhani kama ni shida ya kiofiosi inabidi usubiri mpaka kesho tukutane ofisini”

“Unavyo ongea kiwepesi hivyo unatakiwa kujua kwamba huko niliko toka nimepoteza muda wangu mpaka kufika eneo la mbali kama huku, mimi sio mjinga kuja kukufuata wewe huku kama sina ishu za mhimu mpaka uniambie kwamba nije ofisini kwani mimi sijui kama kuna ofisi? Hapa nimeelekezwa na IGP ndiyo maana sijahangaika sana kuweza kufika” aliongea huku akitoa picha ambayo alikuwa na kaka yake pamoja na familia yake na kumpatia Asp Bakari Zalimo ambaye aliishia kuitazama kwa umakini sana.

“Hiyo ni familia yangu ya pekee na ndiyo ambayo nilikuwa nimebakiwa nayo kwenye maisha yangu lakini nayo bila huruma imepotezwa na watu ambao sijui walikuwa na lengo gani, IGP amenielekeza kwamba wewe ndiye mtu ambaye ulikuwa wa kwanza Kwenda pale na team yako baada ya tukio kutokea sasa nahitaji unipe ABC ya kila kilicho tokea pale lakini kabla ya hilo naomba taarifa za huyo binti ambaye amenileta hapa” Asp alimtazama sana Jason alikuwa anaongea naye kiwepesi mno alielewa ni dharau za watu ambao ndugu zao ni watu wenye vyeo vikubwa au wenye maisha mazuri sana, aliitoa simu yake na kumpigia IGP ili athibitishe kama ni kweli huyo mtu alikuja kupitia yeye kwa sababu taarifa ambazo alikuwa anazihitaji zilikuwa ni nyeti sana ingekuwa ni mbaya na hatari kama angejichanganya kumpatia mtu ambaye alikuwa hahusiki kabisa na taarifa hizo.

“Msikilize na umpatie kila anacho kihitaji” ilikuwa ni sauti nzito ambayo ilisikika upande wa pili baada tu ya kuipokea simu hiyo na kisha simu ikakatwa kabla yeye mpigaji hajajibu chochote kile ni wazi IGP baada ya kupigiwa simu na huyo kijana wake alijua kwamba lazima alikuwa amekutana na Jason ndiyo maana hakuhitaji mambo mengi sana, Jason hakuwa na shaka alimsubiria mtu huyo amalize kutuliza huo wasi wasi wake huku akiwa makini sana kuiangalia saa yake ya mkononi, Asp alihema kwa nguvu sana na kuufungua mdomo wake.

“Kwanza nianze kwa kusema pole sana ndugu yangu kwa yote ambayo yamekupata najua ni ngumu sana kuyavumilia lakini siku zote wanaume tumezaliwa ili kuzivaa changamoto na hauna namna zaidi ya kukabiliana nazo ndiyo njia pekee ya kuzitatua. Kuhusu huyo binti ni binti mmoja ambaye ni mstaarabu sana japo sina taarifa zake nyingi sana maana anajulikana sana hii mitaa kwa ucheshi wake na adabu zake lakini ni binti ambaye anatokea kwenye familia yenye maisha magumu sana kwa kinacho daiwa kwamba baba yake mzazi huruma zake za kuhitaji kusaidia saidia sana ndugu zake zilimponza wakaishia kumtapeli mali zote alizokuwa nazo hali hiyo ilipelekea yeye kuugua ukichaa na hicho kilipelekea hata mkewe kupata matatizo ya moyo na presha zisizo isha na binti ndiye mkubwa kwao hivyo yeye ndiye anaye tegemewa na wazazi wake wote wawili pamoja na wadogo zake. Alifanikiwa kumaliza elimu ya chuo lakini nasikia kwenye kupata kazi ameshindwa kupata kwa sababu wanaume wengi huwa wanamuomba mwili wake ili wampee kazi ila hajawahi kuruhusu hicho kitu kwa sababu ni binti ambaye amelelewa kwenye maadili bora sana kwa taarifa ambazo ninazo” maelezo ya Asp yalimuacha Jason njia panda kwa sababu huyo binti sio muda ametoka kumuomba chipsi tu ili alale naye sasa kivipi akubali kutoa mwili kwa chipsi halafu akatae kutoa mwili ili apate kazi, alihisi huenda kuna tatizo kubwa sana nyuma ya huyo binti ambalo anapitia, aliamua kuiweka hiyo kiporo ili alifuatilie kwa umakini.

Asp alijikohoza kidogo ili kumpa ABC ya tukio ambalo yeye ndiye alikuwa askari kwa kwanza kufika akiwa na vijana wake baada ya mheshimiwa jaji mkuu wa Tanzania Markvelous Japhary kuweza kuuawa.

11 naweka nukta hapa tukutane sehemu ya 12.

Bux the storyteller.
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 11

SONGA NAYO............
Mjira ya saa 2 za usiku tax ilikuwa inapaki maeneo ya Mbagala kwa Zizi Ally, alishuka Jason na kulipia pesa kwa huyo dereva na kumshukuru kwa kumfikisha salama, hakusahau kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa kuweza kumfikisha salama ndani ya hilo eneo, aliitoa simu yake na kuangalia kwa umakini aliangalia namba ya nyumba ambayo alikuwa ameelekezwa akatingisha kichwa kuonyesha kwamba alikuwa anakubaliana na hicho kitu. Mbele yake apalikuwa na uwanja mkubwa wa uwazi ambao kuna watu wengi sana walikuwa wanacheza Baikoko hawana hata muda, wadada walikuwa wamevaa kanga moja moja tu huku wanamwagiwa maji halafu wanaendelea kuonyesha kile walicho pewa na mama zao, ilikuwa ni full kukata viuno huki vijana kibao wakiwa wanawashika shika wanawake hao kama namna ya kufurahi wala hao wanawake hawakuwa wakileta ubishi wowote.

“Hey mama shura ana laana, anavyolikata utasema hana mwana”
“Mimi ni nani mpaka nibishe bwana, siwezi kula mifupa na naiona nyama”

Ni sauti moja ya kijana ambaye alikuwa anawaimbisha wanawake hao na walikuwa wanakata viuno kwa kumfuatisha yeye hali iliyo pelekea hali ya sehemu za mbele za vipensi kutuna sana kwa hisia ambazo walikuwa wanazipata kutokana na kuyashuhudia maungo ya ndani ya wanawake hao. Jason alibaki anashangaa tu baada ya kuona hiyo hali hakuwahi kuyaishi maisha kama hayo hata wakati akiwa ni mdogo aliishi maisha ya kawaida sana ila hakuwahi kukutana na vitu kama hivyo.

“Kaka kwa usiku mmoja ninunulie chipsi tu nakupa kila unacho kihitaji hata ukitaka kuruka kiunzi ni wewe tu handsome boy” akiwa ameduwaa na hali ya hapo alishtuka kuna mwanamke anamshika shika, kutokana na mavazi yake na sura yake yenye mvuto ulio kithiri vilifanya yeye awe tofauti hilo eneo hivyo dada huyo ambaye kwa mwonekano alikuwa ni mzuri sana ni kwa vile tu alikosa matunzo mazuri ndiyo maana hakuwa katika mwonekano nadhifu sana, Jason alishangaa mwanamke kama huyo alitakiwa kuwa shule kama sio ofisini kufanya kazi basi hata awe kwake akiwa na familia yake cha ajabu alihitaji kutoa mapenzi tena akisema kwamba yupo tayari kutoa sehemu zote mbili kama mwanaume huyo angetaka kikubwa tu amnunulie chipsi, hakuelewa kama ni njaa ndiyo ilikuwa tatizo kwa mwanamke huyo au ni mambo ya uswahilini ambayo yeye hakuyazoea kabisa.

Basi alimvuta mpaka pembeni kidogo na hilo eneo
“Unaitwa nani?”
“Nayra”
“Huku ndiyo nyumbani?”
“Ndiyo ni nyumba kumi tu kutoka hapa unafika nyumbani”
“Una miaka mingapi?”
“24”
“Una elimu gani?”
“Nimemaliza chuo mwaka jana”
“Sasa mwanamke msomi kama wewe kwanini unajidhalilisha namna hiyo kuhitaji kulala na mwanaume kisa chipsi? Au kuna tatizo” swali hilo lilimfanya mwanamke huyo aanze kulia, mwanaume alihisi huenda lazima kutakuwa na tatizo sio bure.

“Ok una simu?” mwanaume aliuliza baada ya kuona mwanamke huyo anaendelea kulia
“Hapana” Jason alijiuliza mara mbili mbili kisha akazamisha mkono wake mfukoni, alitoa simu moja ambayo haikutumika sana na ilikuwa simu ya bei ghali mno

“Samahani sana nimetembea na simu mbili tu hapa na hii nimeitumia kidogo lakini inaweza kukufaa, tumia hii simu siku ukipata muda naomba unipigie” aliongea baada ya kuandika namba yake kwenye kioo huku akiwa anamkabidhi hiyo simu mrembo huyo ambaye alikuwa na vigezo vya mwanamke mzuri sana ila huenda ni matatizo ambayo alikuwa anayapitia maisha magumu ndiyo yalimfanya kuwa wa kawaida ila licha la kuvaa dera lililo choka ndani ya hilo dera lilikuwa likitikisika sana kuonekana lilibeba mali ambayo ilienda shule haswa. Binti huyo alipiga magoti huku akiwa analia na kumshukuru sana Jason na alishukuru mno MUNGU kumletea mtu huyo kwa wakati huo kwani hali ilikuwa si hali, mwanaume alimnyanyua na kumsimamisha.

“Usipende kuwapigia pigia magoti wanadamu wenzako hiyo ni ishara moja mbaya sana unaweza ukaishia kutumika sana, nimekuja huku namtafuta afisa mmoja wa polisi ambaye anaitwa Bakari Zalimo sijui kama utakuwa unamfahamu na unapajua kwake?” swali lake liliitikiwa na dada huyo kwa kutingisha kichwa chake kuonyesha kukubali hicho kitu basi mwanaume alimuomba dada huyo ampeleke huko hakuwa na hiyana alitangulia mbele na mwanaume akawa anafuata nyuma huku akishuhudia mitetemo ambayo ilikuwa ndani ya dera, mawazo yake hayakuwa kabisa hapo lakini alijikuta anasikitika tu kwa binti mzuri kama huyo kuhitaji kuutoa mwili wake kisa chipsi.

“Una muda gani unaishi huku?”
“Nimezaliwa huku ila nilikuwa naondoka tu wakati wa Kwenda kusoma na nikimaliza au likizo nilikuwa narudi huku huku”
“Huyu askari unamjuaje?”
“Huyu ni mtu maarufu sana huku hata ukimuita mtoto mdogo anakupeleka” wakiwa wanaendelea na maongezi hayo huku wakiendelea kutembea aneo ambalo halikuwa na uwazi mkubwa sana walisikia Kigoma kikipigwa hiki kilikuwa tofauti na kule ambako walikuwa wanacheza Baikoko walisikia sauti kali ya kijana ambaye alikuwa ana furaha sana.

“Nai naona umeokota dodo kwenye mpera umemtoa wapi leo mtu wa Masaki huyo?” hali hiyo ilimfanya Nayra acheke sana huku akimnyooshea mkono kijana huyo kumpa hai wala hakumjibu na ndo ilikuwa mara ya kwanza Jason analiona tabasamu la binti huyo alijikuta naye anatabsamu, kulikuwa na kiza sana lakini mwanga wa taa za nyumba ulimfanya aone vyema namna mashavu ya Nayra yalivyokuwa yanabonyea pale anapokuwa anacheka.

“Usimjali yule ni vijana wa mtaani hapa huwa wanapenda kunitania sana”
“Wala usijali ni vizuri sana kama unaishi na watu kwa upendo sana namna hii” waliendelea na maongezi wakati huo walikuwa wanakunja kona moja na Nayra akasimama baada ya kutembea hatua kama kumi, alijongea kidogo na kugonga geti moja jeusi hapo kwa nguvu

“Ndiyo hapa tumefika” alivyo maliza tu kuongea geti lilifunguliwa na alikuja kufungua mwanaume mmoja ambaye alikuwa ndani ya vest nyeupe

“Bila shaka wewe ndiye ASP Bakari” Jason aliuliza
“Ndiyo nikusaidie nini?” ASP aliuliza huku akiwa anamwangalia Nayra ambaye aliishia kumsalimia

“Shikamoo”
“Marhaba Nayra asante kwa kuniletea mgeni” Jason hakuhitaji kusubiri sana aliingiza mkono kwenye mfuko wake akatoa kibunda cha pesa na kumkabidhi binti huyo pesa zote ambazo zilimfanya abaki kama amepigwa na butwaa, ikabidi Jason amshtue

“Ukipata tatizo lolote nitafute kwa simu kama ukishindwa basi uje hapa umtafute huyu ASP atakukutanisha na mimi" maneno hayo yalimfanya binti huyo aanze kulia tena, hapo siyo maneno ambayo yalikuwa yanamliza bali ni hizo pesa ambazo yeye alipewa, ASP Bakari Zalimo alimuonyesha ishara binti huyo aende kisha yeye alimkaribisha mgeni ndani huku Jason akiishia kusikitika tu.

“Sijui nikusaidie nini?” ASP aliuliza wakati wamekaa kwenye kibaraza ambapo palikuwa na hewa safi sana
“Mbona ASP mzima unaishi maisha ya hovyo kama haya na una kazi nzuri tu shida nini mpaka umekuja kujichimbia maeneo kama haya?” swali la Jason lilimfanya ASP Bakari amshangae sana wakati huo yeye alikuwa anaendelea kuangaza maeneo ya hiyo nyumba

“Nadhani ni vyema zaidi kama ukijitambulisha kwanza wewe ni nani?”
“Ooooooh kichwa kina mambo mengi sana, mimi ni mdogo wake na jaji mkuu Markvelous Japhary ambaye ameuawa siku ya jana nadhani una hizo taarifa?”
“Yes, taarifa ninazo lakini kusema wewe ndiye mdogo wake na jaji mkuu sina hizo taarifa nasikia tu ana mdogo wake ila simjui hivyo sio rahisi sana kukuamini ndugu yangu nadhani kama ni shida ya kiofiosi inabidi usubiri mpaka kesho tukutane ofisini”

“Unavyo ongea kiwepesi hivyo unatakiwa kujua kwamba huko niliko toka nimepoteza muda wangu mpaka kufika eneo la mbali kama huku, mimi sio mjinga kuja kukufuata wewe huku kama sina ishu za mhimu mpaka uniambie kwamba nije ofisini kwani mimi sijui kama kuna ofisi? Hapa nimeelekezwa na IGP ndiyo maana sijahangaika sana kuweza kufika” aliongea huku akitoa picha ambayo alikuwa na kaka yake pamoja na familia yake na kumpatia Asp Bakari Zalimo ambaye aliishia kuitazama kwa umakini sana.

“Hiyo ni familia yangu ya pekee na ndiyo ambayo nilikuwa nimebakiwa nayo kwenye maisha yangu lakini nayo bila huruma imepotezwa na watu ambao sijui walikuwa na lengo gani, IGP amenielekeza kwamba wewe ndiye mtu ambaye ulikuwa wa kwanza Kwenda pale na team yako baada ya tukio kutokea sasa nahitaji unipe ABC ya kila kilicho tokea pale lakini kabla ya hilo naomba taarifa za huyo binti ambaye amenileta hapa” Asp alimtazama sana Jason alikuwa anaongea naye kiwepesi mno alielewa ni dharau za watu ambao ndugu zao ni watu wenye vyeo vikubwa au wenye maisha mazuri sana, aliitoa simu yake na kumpigia IGP ili athibitishe kama ni kweli huyo mtu alikuja kupitia yeye kwa sababu taarifa ambazo alikuwa anazihitaji zilikuwa ni nyeti sana ingekuwa ni mbaya na hatari kama angejichanganya kumpatia mtu ambaye alikuwa hahusiki kabisa na taarifa hizo.

“Msikilize na umpatie kila anacho kihitaji” ilikuwa ni sauti nzito ambayo ilisikika upande wa pili baada tu ya kuipokea simu hiyo na kisha simu ikakatwa kabla yeye mpigaji hajajibu chochote kile ni wazi IGP baada ya kupigiwa simu na huyo kijana wake alijua kwamba lazima alikuwa amekutana na Jason ndiyo maana hakuhitaji mambo mengi sana, Jason hakuwa na shaka alimsubiria mtu huyo amalize kutuliza huo wasi wasi wake huku akiwa makini sana kuiangalia saa yake ya mkononi, Asp alihema kwa nguvu sana na kuufungua mdomo wake.

“Kwanza nianze kwa kusema pole sana ndugu yangu kwa yote ambayo yamekupata najua ni ngumu sana kuyavumilia lakini siku zote wanaume tumezaliwa ili kuzivaa changamoto na hauna namna zaidi ya kukabiliana nazo ndiyo njia pekee ya kuzitatua. Kuhusu huyo binti ni binti mmoja ambaye ni mstaarabu sana japo sina taarifa zake nyingi sana maana anajulikana sana hii mitaa kwa ucheshi wake na adabu zake lakini ni binti ambaye anatokea kwenye familia yenye maisha magumu sana kwa kinacho daiwa kwamba baba yake mzazi huruma zake za kuhitaji kusaidia saidia sana ndugu zake zilimponza wakaishia kumtapeli mali zote alizokuwa nazo hali hiyo ilipelekea yeye kuugua ukichaa na hicho kilipelekea hata mkewe kupata matatizo ya moyo na presha zisizo isha na binti ndiye mkubwa kwao hivyo yeye ndiye anaye tegemewa na wazazi wake wote wawili pamoja na wadogo zake. Alifanikiwa kumaliza elimu ya chuo lakini nasikia kwenye kupata kazi ameshindwa kupata kwa sababu wanaume wengi huwa wanamuomba mwili wake ili wampee kazi ila hajawahi kuruhusu hicho kitu kwa sababu ni binti ambaye amelelewa kwenye maadili bora sana kwa taarifa ambazo ninazo” maelezo ya Asp yalimuacha Jason njia panda kwa sababu huyo binti sio muda ametoka kumuomba chipsi tu ili alale naye sasa kivipi akubali kutoa mwili kwa chipsi halafu akatae kutoa mwili ili apate kazi, alihisi huenda kuna tatizo kubwa sana nyuma ya huyo binti ambalo anapitia, aliamua kuiweka hiyo kiporo ili alifuatilie kwa umakini.

Asp alijikohoza kidogo ili kumpa ABC ya tukio ambalo yeye ndiye alikuwa askari kwa kwanza kufika akiwa na vijana wake baada ya mheshimiwa jaji mkuu wa Tanzania Markvelous Japhary kuweza kuuawa.

11 naweka nukta hapa tukutane sehemu ya 12.

Bux the storyteller.
Well done
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 12

SONGA NAYO............

“Ni kweli mimi ndiye niliyekuwa mtu wa kwanza kufika pale baada ya tukio kutokea nikiwa na vijana wangu, baa…….” Asp Bakari Zalimo akiwa anaanza kutoa maelezo alikatishwa na Jason

“Utaanzia hapo hapo ulipo ishia, unaweza ukaniambia kwa ufupi kwamba mlijuaje kwamba kuna tatizo pale nyumbani?”

“Mimi nilipigiwa simu na IGP akanipa maelekezo kwamba mheshimiwa jaji mkuu kaondoka mahakamani akiwa anakimbia ikionekana wazi kwamba kuna tatizo kubwa lilikuwa limetokea kwani hata bodyguard wake hakuonekana ameingia wapi, wakati anatoka alitoka mwenyewe na kuondoka na dereva wake ambaye alikuwa kwenye gari akimsubiri, sasa kutokana na hali ambayo aliondoka nayo pale mahakamani ilionekana kabisa kwamba alikokuwa anaenda hakukuwa na usalama hivyo nilipigiwa simu lengo halikuwa kumfuata mheshimiwa jaji mkuu Hapana bali lengo lilikuwa niwahi nyumbani ili kama kutakuwa na tatizo basi mimi niilinde familia mpaka pale ambapo yeye angeweza kuonekana ila kwa bahati mbaya sana wakati tunafika pale tulikuwa tumesha chelewa kwa sababu tulikuta tayari wameshakufa na muuaji nina uhakika tulipishana naye kwa dakika zisizo zidi tano tu maana damu tulikuta bado ni mbichi sana” alielezea kwa namna alivyokuwa analielewa hilo tukio

“Sasa waweza kuendelea ulipokuwa umeishia” mwanaume alimruhusu aweze kuendelea na maelezo yake

“Baada ya kufika pale cha kwanza tulikuta walinzi wote wameuawa aina ya kifo kimoja hivyo jibu rahisi ni kwamba waliuawa na mtu mmoja tu pekee lakini baada ya kufanya uchunguzi wa awali na mimi kuamua kulivalia njuga hili suala kwa sababu siwezi kuwaacha wale wote ambao walihusika nitawapata tu na nitaifanya hii kazi mimi mwenyewe binafsi kwa sababu kesi kama hizi zikisha fika kwenye mikono ya wakubwa huwa kuna dana dana nyingi sana hususani kama kuna maslahi yao ndiyo maana nataka niichunguze nje na vazi la polisi” alipumua kidogo kuacha maeneo yaenee kichwani mwa Jason ambapo naye mwanaume hakuwa mtu wa papara kabisa kwenye maisha yake huwa ni mtu makini sana kwenye kila hatua yake ambayo anaipiga.

“Kama nilivyo kwambia kwamba baada ya uchunguzi wa kwanza kabisa kuna jambo zito sana ambalo nililigundua pale na sikumwambia mtu yeyote yule hata bosi sijamwambia kabisa nadhani wewe utakuwa mtu sahihi kukwambia kwa sababu ni familia yako hivyo ni haki yako kujua” Asp Bakari kidogo aliongeza hamu ya Jason kuhitaji kujua hizo habari kutoka kwake kitu ambacho kilimfanya aongeze sana umakini wa kumsikiliza Asp

“Kaka yako ameuawa na watu wa karibu sana kama sio karibu sana basi ni mtu ambaye anamjua vizuri tu na huenda ni marafiki au mtu ambaye wana ukaribu” hicho kitu kilimshtua sana Jason, alikuwa na maswali mengi sana ghafla lakini kwa sababu mhusika alikuwa hapo hapo basi hakuwa na shida sana ya kuweza kumuuliza kama kitu hicho kilikuwa ni nini

“Una uhakika na unacho kisema?”

“Kwenye zile asilimia miamoja nina uhakika na asilimia 90 na hizo 10 zinazo baki ndizo naweza kusema kwamba sina uhakika nazo”

“Kipi kimekufanya uwe na uhakika na majibu yako namna hiyo?”
“Nina sababu kubwa mbili za kuwa na uhakika na hicho kitu kwa sababu hata muuaji hakuweza kuzipiga hesabu zake kama inavyo takiwa ndiyo maana kumekuwa na mwanya wa kuweza kulijua hilo kirahisi sana, sababu ya kwanza ni kwamba ile nyumba ni kubwa sana na ni nyumba ambayo ilikuwa na ulinzi sio tu wa watu bali hata vifaa vya ulinzi kama cctv kamera sasa kama muuaji alikuwa mbali aliweza vipi kufanikisha kuingia ndani kirahisi tu bila kusita sita na kuweza kutekeleza jukumu lake huku akifanikiwa kuondoka na mkanda wa video ambao ungeturahisishia sisi kazi? Ni kitu ambacho kisingewezekana tufanye kwamba alikuwa ni mtaalamu sana wa hayo mambo ya mauaji na akafanikiwa kuua vipi kwenye kufanikiwa kuondoka na huo mkanda wa video za humo ndani? Kumbuka nimekwambia kwamba tulipishana naye kama dakika tano tu za yeye kutoka na sisi kuingia mle ndani kutokana na damu kuwa mbichi sana kutokana na vipimo vya madaktari, hiyo inamaanisha kwamba muuaji alikuwa anajua mpaka chumba cha cctv kamera kilipo bila hivyo angeanza kuhangaika kukitafuta hivyo sisi tungemkuta mle mle ndani akiwa bado hajaondoka, alikuwa anajua kwamba anaanzia wapi na anamalizia wapi ndiyo sababu aliweza kutoroka kirahisi sana baada ya kumaliza hilo tukio la kufanya mauaji” alitulia na kumwangalia Jason ambaye alikuwa makini sana kuweza kumsikiliza mwanaume mwenzake wakati anamchambulia mambo kitaalamu sana.

“Lakini sababu ya pili ni kwenye kutekeleza mauaji yenyewe, mimi nilikuwepo wakati simu ya jaji mkuu inapekuliwa ili kuweza kujua mara ya mwisho simu yake aliongea na nani na imeonekana kwamba alimpigia live call mdogo wake ambaye bila shaka ni wewe hapo, muuaji alianzia mauaji nje, akaenda kumuua mtoto ambaye alikuwa amekaa kwenye kochi akiwa anatazama runinga, baada ya hapo aliingia chumbani na kumchoma kisu cha tumboni mke wa jaji mkuu na ndio muda ambao jaji alikuwa anaingia hivyo mtu huyo baada ya kujua kwamba jaji mkuu amefika alijificha na kwa eneo ambalo miili imekutwa ni wazi alijificha nyumba ya mlango sehemu ambayo alikuwa ana uhakika kwamba mtu anaye ingia hawezi kumuona kabisa”

“Hivyo baada ya jaji mkuu kuingia kutokana na muda ambao madaktari wamesema mkewe alikufa hawakupisha sana maana yake ni kwamba wakati anaingia hata mkewe alikuwa bado hai na inaonekana alimpa ishara ila kwa madhara ambayo alikuwa nayo hakuwa na uwezo wa kunyanyua hata kidole chake hivyo huenda alijaribu sana kumpa ishara mumewe kwamba humo ndani kuna mtu lakini jaji hakuweza kuelewa kabisa na ndipo hapo alipo mkimbilia mkewe na kukupigia wewe simu na hapa ndipo tunapata uhakika kwamba kulikuwa na mtu nyuma ya mlango kwanini? Wakati anaongea na simu hiyo ilionyesha ghafla sana kupoteza mawasiliano kwa kusikika kishindo kikubwa sana ambacho ni lazima kilitokea nyuma na yeye hakuweza kabisa kukiona, hicho kishindo ulikuwa ni mguu wa mtu ambaye alikuwa ameshiba sana mazoezi kwenye mwili wake kama sio kwenye miguu yake hali hiyo ilimpelekea yeye kuitupa simu hiyo, baada ya hapo ndipo mtu huyo alitekeleza kile ambacho kilimleta pale” Jason alimsikiliza mtu huyo kwa umakini kwa namna alivyokuwa akiyachambua mambo hayo kitaalamu sana mpaka alibaki anamshangaa maana alikuwa tofauti na askari wengi ambao alikuwa akiwajua ambao huwa wanatanguliza maslahi ya pesa mbele na muda mwingine huwa wanasahau mpaka majukumu yao ya kazi yanasemaje.

“Sasa hapo kwenye hiyo sababu ya pili kipi kilikupa uhakika kwamba kaka yangu alikuwa anamfahamu mtu huyo vipi kama alikuwa anajihami kwa kuhisi kwamba pengine kaka atakuwa na walinzi wengine?” Jason alimuuliza Asp huyo swali ambalo lilimfanya atabasamu kwa mbali sana ni kama alikuwa ametarajia kabisa kuweza kukutana na kitu kama hicho.

“Mtu ambaye anapata mpaka kiburi cha Kwenda nyumbani kwa jaji mkuu tena akiwa peke yake kwa ajili ya kuyachukua maisha ya mheshimiwa kama yule inatakiwa moja kwa moja upigie mstari kwamba mtu huyo ni hatari sana na hawezi kuwa wa kawaida, sasa kama alikuwa ameweza kuwaua walinzi wote wale tena kwa muda mchache sana namna ile angewaogopa walinzi wanao tembea na jaji mkuu? Ambao ana uhakika huwa ni mmoja tu au wakizidi sana hawazidi wanne? Jibu linagoma moja kwa moja kwa sababu alikuwa ana uwezo wa kuwashtukiza na kuwaua wote kwa wepesi tu na kutekeleza azma yake. Hapo kilicho mfanya mpaka ajifiche alikuwa na mambo mawili kwamba kama akifanikiwa kumuua kwake karata zake atakuwa kazichanga vizuri ila kama kingetokea chochote na jaji akaponyoka kufa basi hakutaka kabisa yeye ajulikane kwamba amehusika na lile tukio ndiyo maana hakuchukua muda kutekeleza hilo tukio lake ili asifanye kosa ambalo litamgharimu yeye au na mtu ambaye alikuwa amemtuma kwenye kutekeleza hilo tukio” Maelezo yake yalikuwa ya kiume na yalikuwa yameshiba sana na ni watu wachache sana ambao walikuwa na huo uwezo kama wake ambao aliuonyesha hapo.

“Una elimu gani?” Jason alilazimika kumuuliza askari huyo kwa aina ya majibu ambayo alikuwa amempatia

“Niliishia form Iv tu nikajiunga na jeshi la polisi”

“Una uwezo mkubwa sana nadhani unafaa kuwa na nafasi kubwa sana zaidi ya hiyo, sasa unaweza ukaniambia kwamba kuna mtu yeyote yule labda ambaye unahisi kwamba kwa namna moja au nyingine atakuwa anahusika na hili?”

“Hapana bado ni mapema sana kwa sababu hata ripoti kamili haijatoka bado japo najua lazima itapindishwa pindishwa tu na taarifa za mhimu zinaweza kufichwa”

“Ok asante sana kwa taarifa yako na ushirikiano wako ila kuna mambo mawili ambayo nataka nikuombe”

“Unaweza ukaniambia tu”

“Kwanza naomba kama kutakuwa na tatizo au taarifa zozote kuhusu huyo binti kuanzia suala lake la usalama naomba unisaidie kufanya hivyo kwa niaba yangu na kama kutakuwa kuna kitu chochote kile kinahitajika basi naomba uwasiliane namimi haraka sana” Jason alikuwa anampa hayo maelekezo Asp wakati huo alitoa business card na kumpatia mwanaume huyo akimsihi kuhusu binti Nayrah ambaye alikutana naye kwa muda mfupi uliokuwa umepita.

“Hili halina taabu waweza kuniambia hilo la pili”
“Naomba ukae mbali sana na haya mambo”
“Whaaat?”

“Nashukuru sana kwa mchango wako mpaka hapa ulipo fikia umetoa msaada mkubwa sana ila kwa sasa naomba uishie hapa ulipo fikia huko mbele mimi nitaendeleza pale ulipo ishia wewe, nafanya hivyo kwa sababu yako wewe na familia yako kama utakuwa unayo haya mambo yanaonekana kuwa makubwa sana na kwa uwezo wako wewe hapo nina uhakika unaweza ukapotea kwa muda mfupi sana hivyo wewe wasikilize wakubwa wako kile ambacho wanahitaji wewe ukifanye kama nikihitaji msaada wako nitakuita”

“Sijakuelewa kwamba wewe ndo unaanza kuipeleleza hii kesi? Wewe ni mwana familia ndiyo lakini hiyo ni kazi ya jeshi la polisi na hawawezi kukuruhusu wewe kuifanya hiyo kazi labda kama ungekuwa nawewe ni askari sasa nakushangaa unavyo sema kwamba niachane nayo hapa hapa huko mbele wewe ndiye utakaye malizia sijakuelewa maana ni kazi yangu”

“Kwani wewe mimi unanifahamu?”
“Hapana ndo kwanza leo nimeweza kukuona”

“Basi kwenye maisha yako jifunze kuwa na mshipa wa uoga sana kwa watu ambao hujui hata ABC kuhusu wao, huu mwonekano wangu usije ukakudanganya sana ikafika hatua ukahisi mimi ni muuza chipsi sokoni. Mpaka nakwambia kwamba uachane na hili jambo najua uzito wake na najua kwamba wewe bado ni mlaini sana mwili wako unaonekana tu hata kuyalinda tu maisha yako sidhani kama unaweza sasa vipi kama hao watu wakigeuza kibao kwa ndugu zako wengine au watoto wako kama unao? Dakika mbili nyingi wanakuachia maumivu ambayo hautakuja kuyasahau mpaka unakufa kwenye maisha yako”

“Mimi kwa sasa sina cha kupoteza kwenye maisha yangu, muda huu naenda kukutana na mkuu wa majeshi nahitaji anipe majibu ya kujiridhisha kuhusu kifo cha mheshimiwa raisi na kaka yangu kabla namimi sijaamua kuyachukua maamuzi yangu ambayo yataleta madhara makubwa sana kwa hapo baadae, unajua kwenye maisha unapo mkuta mtu ameshika mkate anaenda kumpelekea mgonjwa ambaye yeye anampenda sana na huo mkate ndio unao tegemewa kuokoa maisha ya huyo mtu wake halafu wew unakuja kuuchukua mkate huo kwa nguvu mtu huyo akiamua kukugeukia huwa wanakuwa viumbe wabaya sana, nadhani tutakutana kwa wakati mwingine tena” Jason alitamka maneno ambayo yalimuacha Asp Bakari Zalimo kwenye mshangao mkubwa sana, alihisi huenda mtu huyo ni zaidi ya vile alivyokuwa anaonekana kwenye macho yake, kwanza aliwaza namna IGP alivyo mpa maelekezo mafupi tu ya kumsikiliza mtu huyo ingekuwa watu wengine haiwezi kuwa rahisi namna hiyo lakini kitu kingine ambacho kilimshangaza ni kwa namna Jason alivyoweza kutaja kwamba anaenda kukutana na mkuu wa majeshi kirahaisi kama vile anaenda kunyoa ndevu saluni, mkuu wa majeshi ni miongoni mwa watu wakubwa sana nchini hata utaratibu wa kukutana naye ni mgumu sana ila kwa mwanaume huyo ilionekana kuwa kawaida sana.

Alishtuka kwenye hayo mawazo na kukuta Jason tayari alisha ondoka hapo kwake geti lilikuwa limeegeshwa tu, alitoka na kufunga geti hilo na kurudi ndani ambako alimkuta mkewe akiwa jikoni wala hakuelewa kwamba mumewe alikuwa na kikao Kizito hapo nje.

Sehemu ya 12 inafika mwisho.

Bux the storyteller.
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 13

SONGA NAYO............

“Aaaaash, ooooops, ooooh waoooooo common baby…….i I I lllllovvveeee yyoooou darling,,,,,ooooh nakupeeeenda saana weeeka mume wangu, weeeeeka aaaash waoooooooooooo” ni utamu wa sauti moja ya kinanda kizuri kilichokuwa kinapenya kwenye masikio ya wanaume wawili tofauti, mwanaume huyo ambaye aliambiwa kwamba aweke kama alivyokuwa ameambiawa hakufanya ajizi alivuliwa vizuri bukta yake na mrembo huyo na kuitupa mbali sana kwani muda wote huo alikuwa kwenye maandalizi ya kuliandaa embe dodo ambalo liliiva sana na lilibaki kuliwa tu na halikuwa hata na ubishi wowote ule kazi ilikuwa imebaki kwa mwandaaji mwenyewe kulila muda gani.

Ndani ya jumba moja la ghorofa mbili la kifahari sana, ndani ya chumba kimoja cha gharama ambacho kilikuwa kimeandaliwa kisasa mno kwa upatikanaji wa samani za bei ghali zilizokuwa zinapatikana ndani yake, ndani ya hicho chumba walikuwepo wanaume wawili pamoja na mwanamke mmoja tu ambaye muda mfupi alikuwa amevuliwa nguo zote na alibaki uchi kama alivyo zaliwa huku tunda lake likiwa lipo hadharani kazi ilibaki kwa walaji kujikadiria mpaka pale ambapo wangehisi kwamba ulikuwa ukomo wa mahitaji yao wao. Kati ya hao wanaume wawili mwanaume mmoja alikuwa amevaa suti ya bei ghali mno akiwa kwenye sofa ya bei mbaya pamoja na sigara yake ya bhei kwenye mdomo wake akiwa anauvuta moshi wa sigara hiyo kwa hisia kali sana ambazo zilimfanya akodolee macho lile eneo ambalo mwanamke mmoja alilazwa kwenye kitanda cha bei ghali na mwanaume mwenzake.

Wakati wa kijana ambaye alikuwa amemlaza mwanamke huyo kitandani kuingia mwanaume mwenye suti yake alionekana kuwa na mwanamke huyo sebuleni wote wakiwa wamependeza sana, mwanamke huyo alikuwa ndani ya skirt nyeusi na top ya blue pamoja na viatu virefu kitu kilicho pelekea umbo lake lililokuwa limechorwa kama tarakimu namba 8 inavyokuwa kuonekana wazi kwa macho ya mtu yeyote yule, sura yake pana kidogo yenye neema ya mafao ndani ilitaradadi kiasi cha kuwa kivutio cha kitaalii kwa kila anaye muona. Waliangalia saa wakiwa hapo sebuleni wanaangaliana kwa umakini na sio muda mrefu sana aliingia kijana mmoja ambaye alikuwa mtanashati sana baada ya kufunguliwa mlango na watu hao. Kijana huyo alikuwa ni wale vijana ambao huwa wanapenda sana kuiweka miili yao sawa kwa kuingia gym kufanya mazoezi hivyo pamoja na ngozi yake nyeusi ambayo iling’aa, mwili wake pamoja na nguo alizokuwa amezivaa vilimfanya apendeze sana kupita kiasi.

Baada ya kufunguliwa tu mwanamke huyo alimfuata huyo kijana na kuanza kuipata juisi asilia ambayo huwa ni nzuri tu pale mwanaume na mwanamke wanapo gusanisha midomo yao ila kila mmoja akiwa pekeyake na mwenzake akaiweka kwenye kikombe basi hawezi kuinywa kabisa hata kama kungekuwa na nini na huyo kijana wala hakubisha ni kama alikuwa anaelewa kwamba wajibu wake ulikuwa ni nini, baada ya kunyonyana kwa muda mfupi wakiwa wanalamba lipsi zo kwa mapozi huku mwanaume huyo mwenye suti akiwa pembeni anawaangalia kwa umakini, kijana huyo alimnyanyua mwanamke huyo huku akiwa anaminya minya milima miwili ambayo ilikuwa imetuna sana katika eneo la nyuma la mwanamke huyo na kumfanya mwanamke huyo aendelee kutoa miguno ya kulifurahisa sana zoezi ambao lilikuwa likiendelea mahala hapo.

“Mhhhhhh, ooooooh baby”
“Oooohsh waooooo honey nakupenda mume wangu” hizo kauli ambazo alikuwa anazitoa yule mrembo zilimfanya yule mwanaume mwenye suti ambaye alikuwa amekaa pembeni anyanyuke huku akiwa ameukunja uso wake kwa hasira na kuanza kuwafuata kwa nyuma watu hao ambao walikuwa wamebebana na wanaelekea ghorofa ya juu, baada ya kuingia huko ndani ndipo ukaguzi wa mapato ya mwili wa mrembo huyo pamoja na utalii wa mali asilia ambazo zinapatikana kwenye hifadhi bora sana ya mrembo huyo vilikuwa chini ya kijana huyo ambaye alipewa uongozi wa kufanya maamuzi yoyote yale juu ya hiyo taasisi yake ambayo ilikuwa initegemea kauli yake na vitendo vyake kuweza kupata maendeleo yaliyo bora zaidi.

Hakuwa mjinga, mikono yake ambayo ilikuwa inajitawanya mithili ya mcheza draft anapokuwa ana uhakika kwamba mfumo wa kifaransa ni rafiki zaidi kwake kufanya maamuzi sahihi ya kuzitawanya kete kila sehemu ili kuhakikisha kila box linapata kete yake kwa wakati alianza kucheza na unyayo wa mrembo huyo huku akiwa amemlaza dada wa watu kwenye kitanda cha bei kubwa hicho, hakuna maneno ambayo yalikuwa yanazungumzwa kwa sauti kubwa bali mjongeo wa vitendo ulimaliza mazungumzo yote na wahusika walielewana mithili ya wanafunzi wanao fanyiana msaada kwenye chumba cha mtihani. Kucha zilichezewa kwa mdomo na meno mpaka dada wa watu akawa anagala gala sana juu ya hicho kitendo, ndipo nyama laini zaidi za ulimi zilipo chukua hatua yake ya kuanza kuambaa na nyama laini ya mguu mmoja kutokea kwenye kucha mpaka kwenye nyuma ya goti ya mguu huku mkono mmoja ukiwa unapapsa mguu mmoja ambao ulikuwa umebaki na mkono mwingine ulikuwa ukipekenyua chupi ya mrembo huyo kuweza kuhakiki kama uwanja wa taifa ulikuwa tayari kwa ajili ya uchezwaji wa mpira.

Kelele alizokuwa anazitoa mwanamke huyo zilimfanya mwanaume yule mwenye suti ambaye mpaka wakati huo alikuwa amesimama akiwa anaangalia kwa umakini kilichokuwa kinafanyika akae kwenye sofa huku akiendelea kuvuta sigara yake, kijana aliacha alichokuwa anakifanya akahamishia mdomo wake juu ya lipsi laini za mtoto wa mama mkwe wake na hapo mwanamke huyo alimkumbatia kwa nguvu sana kumkandamizia upande wake, dakika tano zilitosha sana wao kufanya kila kitu juu ya mdomo huo, kijana alihamia kwenye sikio huku mikono yake ikiwa juu ya kifua cha mrembo huyo kucheza na mipira miwili inayo patikana hapo, binti wa watu alianza kuhangaika sana akiwa anatupa miguu huku na huko akamuinua kijana huyo kwa nguvu na kumhamishia mdomoni kwake alikuwa amesha anza kutoa machozi kwenye macho yake.

Kijana huyo alijitoa kwenye mwili wa huyo mwanamke na kusogea pembeni alivua nguo haraka na kubakia na bukta tu pekee kisha akarudi kwa mwanamke huyo na kuzichana chana nguo ambazo zilikuwa kwenye mwili wa mrembo huyo akazitupia pembeni na kuhamishia mdomo wake kwenye ikulu ambayo ilikuwa inatunzwa vizuri mno, hakukuwa na wanajeshi wa kuziba mtu kuingia huko hivyo eneo lilikuwa limesafishwa vya kutosha, hakuwa na utani na alichokuwa anakifanya aliinamisha mdomo wake taratibu akiwa anautoa ulimi kama nyoka ambaye ameshtukizwa ghafla na anategemea kutoa sumu kali sana kutoka kwenye mdomo wake, na hapo ndipo mwanamke huyo alipoanza kulia kwa makelele na akitoa miguno ya hisia sana ambayo haikumfanya akumbuke kwamba humo ndani hawakuwa wawili tu bali watatu, moyo ulikuwa umemshinda kuumudu utamu ambao alikuwa anaupata hapo na ndio muda ambao mwanaume huyo mwenye suti alionekana kuuvuta moshi wa hiyo sigara yake na kuupuliza juu kwa hisia kali sana.

Mrembo huyo uvumilivu ulimshinda kabisa akaishusha bukta ya mwanaume yeye mwenyewe, akamvua na kuitupia mbali ambapo ndani ya hiyo bukta alitoa kifaa kikubwa sana cha kutengenezea uwanja wake wa mpira, alikipapasa kwa hamu sana kifaa hicho ambacho kilimfanya akajihisi ana wazimu, lilikuwa ni pisi la kifaa cha kujitosheleza na taratibu yeye mwenyewe akaanza kukiingiza kifaa hicho kwenye uwanja wake bila kulazimishwa huku akiwa anayafumba macho yake kwa hisia machozi yakiendelea kumshuka taratibu kwenye mashavu yake. Kijana alianza kufanya mashambulizi taratibu sana kitu kilicho pelekea wote wawili waanze kuguna kwa hamu zilizo pitiliza lakini kadri muda ulivyokuwa unazidi Kwenda ndivyo kasi ilivyokuwa inazidi, takaribani saa moja na nusu walikuwa wanabadilisha mikao tu ya upigaji wa faulo na penati, mwanamke huyo alikuwa amechana nyavu za goli lake zaidi ya mara tatu wakati huo mwanaume alikuwa amefanikiwa kupiga goli moja kwa shuti la mbali sana ndipo sauti ilipo sikika kwa taabu sana.


“Oooooh baby I’m coming, ooooh waoooo mume wangu, nishike hapa, weka hapa aaaaaaah no ni hukuuuuu nakuuuuuuuuuuj………. mamaaaaaa nakupendaaaaaa. Ukiniacha nakufaaaaaa, mume wangu ni raaaaa….” Mrembo huyo aliongea kwa hisia sana huku akiwa analia , sio muda hata yule mwanaume alionekana akiwa ana unguruma kuonyesha kwamba naye alikuwa ameifikia safari yake pendwa.

“Unaweza kuondoka” yule mwanaume mwenye suti aliongea kwa sauti yake nzito mno akiwa anamrushia kijana huyo bunda la pesa nyingi sana, kijana huyo akiwa uchi hakuwa na tatizo kwake ilikuwa ni ridhiki yake, alilirukia lile bunda la pesa na kuzisogelea nguo zake ili azikusanye maana zilikuwa zimetupwa kila sehemu, wakati ameiokota bukta yake ili aivae yule mwanamke alimkimbilia na kumkumbatia kwa nyuma akiwa analia huku anamwangalia yule mwanaume ambaye alikuwa amevaa suti ya bei ghali sana juu ya kochi.

“Nipo chini ya miguu yako tafadhali sana, naomba leo asiondoke alale hapa hapa namhitaji sana” aliongea kwa huruma mno kiasi kwamba yule mwanaume mwenye suti alikunja ndita za kwenye paji la uso wake kuonyesha kwamba hicho kitu kilimchukiza kupita kiasi aliangalia namna mwanaume huyo alivyo nona sehemu zake za nyuma ya mwili akiwa uchi na namna alivyokuwa amemkumbatia kijana huyo ambaye mbele yake alibeba mzigo wa kutosha kwa hawa wadada wala chipsi kila siku mjini basi wasingeweza kukaa naye hata dakika 30 tu juu ya kitanda, aliwaangalia kwa umakini sana kisha akaondoka kwa hasira na kuubamiza mlango huo wa hicho chumba akaelekea sebuleni ambapo alienda kwenye chupa moja kwa moja na kuchukua pombe kali sana hakuimimina bali aliibugia chupa moja kwa moja kwenye mdomo wake na kuazna kuifakamia kwa pupa sana.

“Pole sana bosi nadhani wewe ni moja ya wanaume majasiri sana kwenye huu ulimwengu” aliisikia sauti ya kijana wake ambaye alikuwa ameingia ndani kwa huo muda ambao alikuwa amefika hapo sebuleni akitokea nje ya nyumba hiyo.

“Mimi ni miongoni mwa awanaume wenye roho ngumu zaidi kuwahi kuishi kwenye hii dunia tangu inaumbwa, inahitaji uwe na roho ya mamba au paka, narudia tena inahitaji uwe na roho ya mamba au paka kuweza kuvumilia mambo ya kutisha kama haya, unamshuhudia mbele yako mke wako, mwanamke mrembo kama vile akiwa analiwa na mwanaume mwenzako ambaye hatoi hata kumi mbovu kwa ajili ya kumfanya Malaika kama yule azidi kuwa mrembo na kuwa mzuri zaidi hapa duniani hilo ni jambo la hatari sana. Imefika sehemu hapa duniani sioni jambo la kutisha zaidi ya hiki ambacho mimi nakifanya na sidhani kama kitawahi kutokea tena duniani, achana na mchumba ambaye mnaweza mkaachana japo utaumia ila hakuna kitu kinauma kwenye haya maisha kama kuliwa mke acha watu waendelee kuwaua watu wanao waibia wake zao”

“Ukiniangalia usoni ni kama ninacheka au nipo kawaida na nina furaha za kutosha ila sijawahi kufurahi hata siku moja hiki kitu kinanifanya muda mwingine najifungia ndani mimi mwenyewe kulia nikiwa pekeyangu na najuta hata kuzaliwa ndiyo maana nakuwa na roho ngumu sana kufanya kitu chochote. Mke wangu anajutia kutokumjua yule kijana mapema mbele yangu, mke wangu anamuita yule kijana mume wake na anahitaji asije akamuacha kwenye maisha yake yote mpaka anakufa kwa sababu anampenda sana tena huku akiwa anatoa na machozi kabisa mpaka inafikia hatua natamani kumuua yule kijana lakini siwezi kwa sababu nitaharibu sana, leo nimechukia sana mke wangu ameomba yule kijana alale mpaka asubuhi kabisa wautumie usiku wao vizuri zaidi tena juu ya kitanda changu mwenyewe” mwanaume huyo aliongea kwa uchungu sana mambo ambayo yalikuwa yanashangaza kidogo kwamba ni kivipi mwanaume mwenzake alale na mke wake tena mbele yake na yeye ndiye anaye mlipa huyo kijana kuweza kuifanya kazi hiyo. Kijana wake alijua jinsi bosi wake alivyokuwa anateseka lakini kwake hakuwa na cha kumsaidia na hakuwahi kuoa hivyo hata hayo mambo ya mke kuuma alikuwa hayajui vizuri sana zaidi ya kujua tu kwamba mapenzi ni yanauma hasa, mwanaume huyo mwenye suti alibugia chupa nzima ya pombe mpaka ikafika katikati.

“Bosi hivi hilo jambo limeshindikana kabisa kuipata suluhu yake?” kijana huyo alimuuliza mtu huyo ambaye aliinama chini kwa muda, kisha akauinua uso wake

“Unahisi ningepata suluhisho ningekuwa naruhusu huu ujinga uendelee kutokea?” aliuliza kwa hasira huku akiinyanyua chupa hiyo ya pombe kwa mara nyingine tena ili aendelee kupata hiyo pombe yake lakini kijana huyo aliiwahi na kuidaka akiwa anaonyesha ishara ya kukataa

“Mzee amepiga simu yupo njiani anakuja muda huu kama atakukuta kwenye hiyo hali utaleta matatzo mkubwa sana maana amesema anakupigia simu yako ila haupokei”

“Unamaanisha baba anakuja muda huu?” aliuliza kwa mshangao

“Ndiyo bosi” hilo jibu lilimfanya akimbie haraka sana Kwenda kuoga huku akimpa maagizo kijana huyo kuweza kusafisha kila kitu hapo ndani kusiwe na alama yoyote ya pombe kumwagika.

Huyu kijana ni nani? kwanini anaruhusu mkewe aweze kufanya mapenzi na mwanaume mwingine wakati na yeye yupo? Kuna nini hasa kimejificha kwake na ana tatizo lipi? Na huyo baba yake ni nani?..........

Je wewe unaweza ukaruhusu mkeo kabisa kufanyiwa jambo kama hilo tena ukiwa umekodoa macho yako kabisa unashuhudia kila kitu kinacho endelea na mwanaume mwenzako anavyo endelea kupiga push up zake akiwa anaufaidi urembo na uzuri wa mwili ambao wewe ndiye mtu unaye ugharamikia sana?......mimi sipo kwanza nakuachia wewe uwanja wa comment utiririke na kujimwaya mwaya kwa uwezo wako mwenyewe.

13 naweka kalamu chini

Wasalaam

Bux the storyteller.
 
Brother nina uhakika 100% bado haunifahamu ama umesoma hadithi moja tu pekee kutoka kwangu.

Kusema huwa simalizi nadhani umenikosea pakubwa sana unless kama unafanya jokes.

Nimeleta simulizi 4 hapa jf na hii ni ya 5.

1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA (Niliileta hapa mpaka mwisho)

2. NATAKA KUFA HAKIMU (niliileta mpaka mwisho)

3. HATIMA YA UJINGA WAKE (niliileta mpaka mwisho)

4. GEREZA LA HAZWA (Hii ndo haikuisha nadhani iliishia 96. Nikaja kuomba execuse hapa kwamba kuna watu wanahitaji niwatolee kitabu (nakala ngumu). So nikaomba tusiendelee kuisoma humu maana itakuwa haina maana mtu kaimaliza huku halafu tena anunue kitabu. Nakumbuka watu walikuja kudhihaki sana, sikumbuki kama ulikuwa mmoja wao

Wengine wakadai kama nataka kufanya biashara niende kwenye threads za biashara (sikumjibu mtu), wengine wakadai kwamba kama vipi modes waitoe tu na kweli ikatolewa) japo kuna watu walinielewa pia na baadae nilikuja kuamua kutaka kuiendeleza ila ikawa imetolewa.

5. INNOCENT KILLER (ndo hii tunaisoma hapa)



Hivi mkuu nikikwambia uthibitishe kauli yako kwa hayo maelezo ya hapo juu unaweza?

Nadhani ni wakati sahihi watu kujifunza COMMUNICATION SKILLS na kuachana na kutu kinaitwa MANIPULATION mkuu. Hapo mtu ambaye atakuwa anaanza kusoma kwa mara ya kwanza anaweza kuhisi kwamba ni kweli nipo hivyo kitu ambacho siyo sahihi.

NB
Hii nilisema nitakuwa naipost mara mbili kwa wiki kwa sababu mpaka sasa bado naiandika japo imefika mbali kidogo (sehemu ya 90). Nilifanya hivyo sikutaka tusome halafu tuje kustop njiani lakini huwa naileta zaidi ya mara mbili kwa wiki mpaka mara 4 na itakuwa zaidi muda unavyo zidi kwenda.

TUJIFUNZE KUZUIA HISIA MKUU JAPO NAKUELEWA maana hata mimi nimewahi kuwa msomaji kabla ya kuwa mwandishi.

Amani itawale japo nina imani huenda haukuongea kwa nia mbaya ila watu wengine wanaweza kuichukulia kwa namna tofauti, nadhani kikubwa ni kueleweshana tu, bado najifunza.


Baadae kidogo naweka mwendelezo hapa
Pole msamehe tu
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 13

SONGA NAYO............

“Aaaaash, ooooops, ooooh waoooooo common baby…….i I I lllllovvveeee yyoooou darling,,,,,ooooh nakupeeeenda saana weeeka mume wangu, weeeeeka aaaash waoooooooooooo” ni utamu wa sauti moja ya kinanda kizuri kilichokuwa kinapenya kwenye masikio ya wanaume wawili tofauti, mwanaume huyo ambaye aliambiwa kwamba aweke kama alivyokuwa ameambiawa hakufanya ajizi alivuliwa vizuri bukta yake na mrembo huyo na kuitupa mbali sana kwani muda wote huo alikuwa kwenye maandalizi ya kuliandaa embe dodo ambalo liliiva sana na lilibaki kuliwa tu na halikuwa hata na ubishi wowote ule kazi ilikuwa imebaki kwa mwandaaji mwenyewe kulila muda gani.

Ndani ya jumba moja la ghorofa mbili la kifahari sana, ndani ya chumba kimoja cha gharama ambacho kilikuwa kimeandaliwa kisasa mno kwa upatikanaji wa samani za bei ghali zilizokuwa zinapatikana ndani yake, ndani ya hicho chumba walikuwepo wanaume wawili pamoja na mwanamke mmoja tu ambaye muda mfupi alikuwa amevuliwa nguo zote na alibaki uchi kama alivyo zaliwa huku tunda lake likiwa lipo hadharani kazi ilibaki kwa walaji kujikadiria mpaka pale ambapo wangehisi kwamba ulikuwa ukomo wa mahitaji yao wao. Kati ya hao wanaume wawili mwanaume mmoja alikuwa amevaa suti ya bei ghali mno akiwa kwenye sofa ya bei mbaya pamoja na sigara yake ya bhei kwenye mdomo wake akiwa anauvuta moshi wa sigara hiyo kwa hisia kali sana ambazo zilimfanya akodolee macho lile eneo ambalo mwanamke mmoja alilazwa kwenye kitanda cha bei ghali na mwanaume mwenzake.

Wakati wa kijana ambaye alikuwa amemlaza mwanamke huyo kitandani kuingia mwanaume mwenye suti yake alionekana kuwa na mwanamke huyo sebuleni wote wakiwa wamependeza sana, mwanamke huyo alikuwa ndani ya skirt nyeusi na top ya blue pamoja na viatu virefu kitu kilicho pelekea umbo lake lililokuwa limechorwa kama tarakimu namba 8 inavyokuwa kuonekana wazi kwa macho ya mtu yeyote yule, sura yake pana kidogo yenye neema ya mafao ndani ilitaradadi kiasi cha kuwa kivutio cha kitaalii kwa kila anaye muona. Waliangalia saa wakiwa hapo sebuleni wanaangaliana kwa umakini na sio muda mrefu sana aliingia kijana mmoja ambaye alikuwa mtanashati sana baada ya kufunguliwa mlango na watu hao. Kijana huyo alikuwa ni wale vijana ambao huwa wanapenda sana kuiweka miili yao sawa kwa kuingia gym kufanya mazoezi hivyo pamoja na ngozi yake nyeusi ambayo iling’aa, mwili wake pamoja na nguo alizokuwa amezivaa vilimfanya apendeze sana kupita kiasi.

Baada ya kufunguliwa tu mwanamke huyo alimfuata huyo kijana na kuanza kuipata juisi asilia ambayo huwa ni nzuri tu pale mwanaume na mwanamke wanapo gusanisha midomo yao ila kila mmoja akiwa pekeyake na mwenzake akaiweka kwenye kikombe basi hawezi kuinywa kabisa hata kama kungekuwa na nini na huyo kijana wala hakubisha ni kama alikuwa anaelewa kwamba wajibu wake ulikuwa ni nini, baada ya kunyonyana kwa muda mfupi wakiwa wanalamba lipsi zo kwa mapozi huku mwanaume huyo mwenye suti akiwa pembeni anawaangalia kwa umakini, kijana huyo alimnyanyua mwanamke huyo huku akiwa anaminya minya milima miwili ambayo ilikuwa imetuna sana katika eneo la nyuma la mwanamke huyo na kumfanya mwanamke huyo aendelee kutoa miguno ya kulifurahisa sana zoezi ambao lilikuwa likiendelea mahala hapo.

“Mhhhhhh, ooooooh baby”
“Oooohsh waooooo honey nakupenda mume wangu” hizo kauli ambazo alikuwa anazitoa yule mrembo zilimfanya yule mwanaume mwenye suti ambaye alikuwa amekaa pembeni anyanyuke huku akiwa ameukunja uso wake kwa hasira na kuanza kuwafuata kwa nyuma watu hao ambao walikuwa wamebebana na wanaelekea ghorofa ya juu, baada ya kuingia huko ndani ndipo ukaguzi wa mapato ya mwili wa mrembo huyo pamoja na utalii wa mali asilia ambazo zinapatikana kwenye hifadhi bora sana ya mrembo huyo vilikuwa chini ya kijana huyo ambaye alipewa uongozi wa kufanya maamuzi yoyote yale juu ya hiyo taasisi yake ambayo ilikuwa initegemea kauli yake na vitendo vyake kuweza kupata maendeleo yaliyo bora zaidi.

Hakuwa mjinga, mikono yake ambayo ilikuwa inajitawanya mithili ya mcheza draft anapokuwa ana uhakika kwamba mfumo wa kifaransa ni rafiki zaidi kwake kufanya maamuzi sahihi ya kuzitawanya kete kila sehemu ili kuhakikisha kila box linapata kete yake kwa wakati alianza kucheza na unyayo wa mrembo huyo huku akiwa amemlaza dada wa watu kwenye kitanda cha bei kubwa hicho, hakuna maneno ambayo yalikuwa yanazungumzwa kwa sauti kubwa bali mjongeo wa vitendo ulimaliza mazungumzo yote na wahusika walielewana mithili ya wanafunzi wanao fanyiana msaada kwenye chumba cha mtihani. Kucha zilichezewa kwa mdomo na meno mpaka dada wa watu akawa anagala gala sana juu ya hicho kitendo, ndipo nyama laini zaidi za ulimi zilipo chukua hatua yake ya kuanza kuambaa na nyama laini ya mguu mmoja kutokea kwenye kucha mpaka kwenye nyuma ya goti ya mguu huku mkono mmoja ukiwa unapapsa mguu mmoja ambao ulikuwa umebaki na mkono mwingine ulikuwa ukipekenyua chupi ya mrembo huyo kuweza kuhakiki kama uwanja wa taifa ulikuwa tayari kwa ajili ya uchezwaji wa mpira.

Kelele alizokuwa anazitoa mwanamke huyo zilimfanya mwanaume yule mwenye suti ambaye mpaka wakati huo alikuwa amesimama akiwa anaangalia kwa umakini kilichokuwa kinafanyika akae kwenye sofa huku akiendelea kuvuta sigara yake, kijana aliacha alichokuwa anakifanya akahamishia mdomo wake juu ya lipsi laini za mtoto wa mama mkwe wake na hapo mwanamke huyo alimkumbatia kwa nguvu sana kumkandamizia upande wake, dakika tano zilitosha sana wao kufanya kila kitu juu ya mdomo huo, kijana alihamia kwenye sikio huku mikono yake ikiwa juu ya kifua cha mrembo huyo kucheza na mipira miwili inayo patikana hapo, binti wa watu alianza kuhangaika sana akiwa anatupa miguu huku na huko akamuinua kijana huyo kwa nguvu na kumhamishia mdomoni kwake alikuwa amesha anza kutoa machozi kwenye macho yake.

Kijana huyo alijitoa kwenye mwili wa huyo mwanamke na kusogea pembeni alivua nguo haraka na kubakia na bukta tu pekee kisha akarudi kwa mwanamke huyo na kuzichana chana nguo ambazo zilikuwa kwenye mwili wa mrembo huyo akazitupia pembeni na kuhamishia mdomo wake kwenye ikulu ambayo ilikuwa inatunzwa vizuri mno, hakukuwa na wanajeshi wa kuziba mtu kuingia huko hivyo eneo lilikuwa limesafishwa vya kutosha, hakuwa na utani na alichokuwa anakifanya aliinamisha mdomo wake taratibu akiwa anautoa ulimi kama nyoka ambaye ameshtukizwa ghafla na anategemea kutoa sumu kali sana kutoka kwenye mdomo wake, na hapo ndipo mwanamke huyo alipoanza kulia kwa makelele na akitoa miguno ya hisia sana ambayo haikumfanya akumbuke kwamba humo ndani hawakuwa wawili tu bali watatu, moyo ulikuwa umemshinda kuumudu utamu ambao alikuwa anaupata hapo na ndio muda ambao mwanaume huyo mwenye suti alionekana kuuvuta moshi wa hiyo sigara yake na kuupuliza juu kwa hisia kali sana.

Mrembo huyo uvumilivu ulimshinda kabisa akaishusha bukta ya mwanaume yeye mwenyewe, akamvua na kuitupia mbali ambapo ndani ya hiyo bukta alitoa kifaa kikubwa sana cha kutengenezea uwanja wake wa mpira, alikipapasa kwa hamu sana kifaa hicho ambacho kilimfanya akajihisi ana wazimu, lilikuwa ni pisi la kifaa cha kujitosheleza na taratibu yeye mwenyewe akaanza kukiingiza kifaa hicho kwenye uwanja wake bila kulazimishwa huku akiwa anayafumba macho yake kwa hisia machozi yakiendelea kumshuka taratibu kwenye mashavu yake. Kijana alianza kufanya mashambulizi taratibu sana kitu kilicho pelekea wote wawili waanze kuguna kwa hamu zilizo pitiliza lakini kadri muda ulivyokuwa unazidi Kwenda ndivyo kasi ilivyokuwa inazidi, takaribani saa moja na nusu walikuwa wanabadilisha mikao tu ya upigaji wa faulo na penati, mwanamke huyo alikuwa amechana nyavu za goli lake zaidi ya mara tatu wakati huo mwanaume alikuwa amefanikiwa kupiga goli moja kwa shuti la mbali sana ndipo sauti ilipo sikika kwa taabu sana.


“Oooooh baby I’m coming, ooooh waoooo mume wangu, nishike hapa, weka hapa aaaaaaah no ni hukuuuuu nakuuuuuuuuuuj………. mamaaaaaa nakupendaaaaaa. Ukiniacha nakufaaaaaa, mume wangu ni raaaaa….” Mrembo huyo aliongea kwa hisia sana huku akiwa analia , sio muda hata yule mwanaume alionekana akiwa ana unguruma kuonyesha kwamba naye alikuwa ameifikia safari yake pendwa.

“Unaweza kuondoka” yule mwanaume mwenye suti aliongea kwa sauti yake nzito mno akiwa anamrushia kijana huyo bunda la pesa nyingi sana, kijana huyo akiwa uchi hakuwa na tatizo kwake ilikuwa ni ridhiki yake, alilirukia lile bunda la pesa na kuzisogelea nguo zake ili azikusanye maana zilikuwa zimetupwa kila sehemu, wakati ameiokota bukta yake ili aivae yule mwanamke alimkimbilia na kumkumbatia kwa nyuma akiwa analia huku anamwangalia yule mwanaume ambaye alikuwa amevaa suti ya bei ghali sana juu ya kochi.

“Nipo chini ya miguu yako tafadhali sana, naomba leo asiondoke alale hapa hapa namhitaji sana” aliongea kwa huruma mno kiasi kwamba yule mwanaume mwenye suti alikunja ndita za kwenye paji la uso wake kuonyesha kwamba hicho kitu kilimchukiza kupita kiasi aliangalia namna mwanaume huyo alivyo nona sehemu zake za nyuma ya mwili akiwa uchi na namna alivyokuwa amemkumbatia kijana huyo ambaye mbele yake alibeba mzigo wa kutosha kwa hawa wadada wala chipsi kila siku mjini basi wasingeweza kukaa naye hata dakika 30 tu juu ya kitanda, aliwaangalia kwa umakini sana kisha akaondoka kwa hasira na kuubamiza mlango huo wa hicho chumba akaelekea sebuleni ambapo alienda kwenye chupa moja kwa moja na kuchukua pombe kali sana hakuimimina bali aliibugia chupa moja kwa moja kwenye mdomo wake na kuazna kuifakamia kwa pupa sana.

“Pole sana bosi nadhani wewe ni moja ya wanaume majasiri sana kwenye huu ulimwengu” aliisikia sauti ya kijana wake ambaye alikuwa ameingia ndani kwa huo muda ambao alikuwa amefika hapo sebuleni akitokea nje ya nyumba hiyo.

“Mimi ni miongoni mwa awanaume wenye roho ngumu zaidi kuwahi kuishi kwenye hii dunia tangu inaumbwa, inahitaji uwe na roho ya mamba au paka, narudia tena inahitaji uwe na roho ya mamba au paka kuweza kuvumilia mambo ya kutisha kama haya, unamshuhudia mbele yako mke wako, mwanamke mrembo kama vile akiwa analiwa na mwanaume mwenzako ambaye hatoi hata kumi mbovu kwa ajili ya kumfanya Malaika kama yule azidi kuwa mrembo na kuwa mzuri zaidi hapa duniani hilo ni jambo la hatari sana. Imefika sehemu hapa duniani sioni jambo la kutisha zaidi ya hiki ambacho mimi nakifanya na sidhani kama kitawahi kutokea tena duniani, achana na mchumba ambaye mnaweza mkaachana japo utaumia ila hakuna kitu kinauma kwenye haya maisha kama kuliwa mke acha watu waendelee kuwaua watu wanao waibia wake zao”

“Ukiniangalia usoni ni kama ninacheka au nipo kawaida na nina furaha za kutosha ila sijawahi kufurahi hata siku moja hiki kitu kinanifanya muda mwingine najifungia ndani mimi mwenyewe kulia nikiwa pekeyangu na najuta hata kuzaliwa ndiyo maana nakuwa na roho ngumu sana kufanya kitu chochote. Mke wangu anajutia kutokumjua yule kijana mapema mbele yangu, mke wangu anamuita yule kijana mume wake na anahitaji asije akamuacha kwenye maisha yake yote mpaka anakufa kwa sababu anampenda sana tena huku akiwa anatoa na machozi kabisa mpaka inafikia hatua natamani kumuua yule kijana lakini siwezi kwa sababu nitaharibu sana, leo nimechukia sana mke wangu ameomba yule kijana alale mpaka asubuhi kabisa wautumie usiku wao vizuri zaidi tena juu ya kitanda changu mwenyewe” mwanaume huyo aliongea kwa uchungu sana mambo ambayo yalikuwa yanashangaza kidogo kwamba ni kivipi mwanaume mwenzake alale na mke wake tena mbele yake na yeye ndiye anaye mlipa huyo kijana kuweza kuifanya kazi hiyo. Kijana wake alijua jinsi bosi wake alivyokuwa anateseka lakini kwake hakuwa na cha kumsaidia na hakuwahi kuoa hivyo hata hayo mambo ya mke kuuma alikuwa hayajui vizuri sana zaidi ya kujua tu kwamba mapenzi ni yanauma hasa, mwanaume huyo mwenye suti alibugia chupa nzima ya pombe mpaka ikafika katikati.

“Bosi hivi hilo jambo limeshindikana kabisa kuipata suluhu yake?” kijana huyo alimuuliza mtu huyo ambaye aliinama chini kwa muda, kisha akauinua uso wake

“Unahisi ningepata suluhisho ningekuwa naruhusu huu ujinga uendelee kutokea?” aliuliza kwa hasira huku akiinyanyua chupa hiyo ya pombe kwa mara nyingine tena ili aendelee kupata hiyo pombe yake lakini kijana huyo aliiwahi na kuidaka akiwa anaonyesha ishara ya kukataa

“Mzee amepiga simu yupo njiani anakuja muda huu kama atakukuta kwenye hiyo hali utaleta matatzo mkubwa sana maana amesema anakupigia simu yako ila haupokei”

“Unamaanisha baba anakuja muda huu?” aliuliza kwa mshangao

“Ndiyo bosi” hilo jibu lilimfanya akimbie haraka sana Kwenda kuoga huku akimpa maagizo kijana huyo kuweza kusafisha kila kitu hapo ndani kusiwe na alama yoyote ya pombe kumwagika.

Huyu kijana ni nani? kwanini anaruhusu mkewe aweze kufanya mapenzi na mwanaume mwingine wakati na yeye yupo? Kuna nini hasa kimejificha kwake na ana tatizo lipi? Na huyo baba yake ni nani?..........

Je wewe unaweza ukaruhusu mkeo kabisa kufanyiwa jambo kama hilo tena ukiwa umekodoa macho yako kabisa unashuhudia kila kitu kinacho endelea na mwanaume mwenzako anavyo endelea kupiga push up zake akiwa anaufaidi urembo na uzuri wa mwili ambao wewe ndiye mtu unaye ugharamikia sana?......mimi sipo kwanza nakuachia wewe uwanja wa comment utiririke na kujimwaya mwaya kwa uwezo wako mwenyewe.

13 naweka kalamu chini

Wasalaam

Bux the storyteller.
Leo umetivuruga
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 14

SONGA NAYO............


Kijana huyo baada ya kumaliza kuoga, alipandisha ghorofani na kuwapa maagizo wanadamu hao ambao muda huo walikuwa kwenye huba zito kwamba wana machaguo mawili tu, la kwanza ni kusubiri wasifanye chochote mpaka aje awape taarifa ya kuendelea au kama wana endelea wahakikishe hawatoi sauti kubwa ambayo inaweza kuleta taharuki, hakusubiri hata majibu yao moja kwa moja alirudi sebuleni na kutulia hapo akiwa anapata juisi yake ya matunda.

Zilipita dakika chache sana uliingia msafara wa gari tatu hapo ndani kwake, haikuwa tatizo sana kwa sababu tayari alikuwa na taarifa juu ya ujio wa mtu huyo hayo maeneo, alishuka mwanaume ambaye mwili wake kwa siku hiyo ulikuwa ndani ya suti ya blue, kitambi chake kikubwa kiasi kilikuwa kinaelezea uwezo wake wa kifedha aliokuwa nao. CDF Jaiwelo Mkupi Makubilo ndiye ambaye alikuwa ameshuka hapo na hapo palikuwa ni nyumbani kwa mtoto wake wa kumzaa mwenyewe kabisa, alipitiliza mpaka ndani moja kwa moja na Kwenda kukaa kwenye sofa

“Shikamoo bosi” alitabasamu baada ya kusikia sauti ya mwanaye ambaye alizoea sana kumuita bosi badala ya baba na hivyo ndivyo alivyokuwa amemzoesha yeye mwenyewe

“Marahaba tajiri mdogo vp hapa kwema?” muda huo walikuwa wapo wawili tu sebuleni
“Ndiyo baba karibu sana nimeambiwa unakuja saivi maana wakati unanipigia mimi simu sikuwa nayo nilikuwa nipo kuoga hivyo sijaona simu yako mpaka sasa sijagusa simu kabisa”

“Hilo halina umuhimu sana kwa muda huu hapa, vimenileta vitu viwili tu maana nilihitaji tuongee kwenye simu ukawa haupokei kwa sababu nimeona ni mhimu sana nimeona nije moja kwa moja mimi nawewe tuongee”

“Nakusikiliza baba”

“Jambo la kwanza ni kwamba mwenzako anarudi kesho nchini”
“Una maanisha dada?”
“Sasa unahisi ni nani mwingine”
“Aaaaaah mimi ni sehemu yake yeye sasa anarudi vipi bila kunipa hata taarifa?”
“Nadhani unajua kwamba ana hasira sana na wewe”
“Sasa ndo ashindwe hata kunipa taarifa ndugu yake wa pekee tena ambaye tulizaliwa siku moja, muda mmoja ila yeye akanitangulia dakika chache tu”

“Huko mtajuana wenyewe hayanihusu sana, amemaliza masomo yake ya sheria saivi nilihitaji sana afanye kazi huko huko nje ila baada ya kusikia baba zake wadogo wote wamekufa kati ya raisi na jaji mkuu wa Tanzania amegoma na kwamba lazima arudi kwa sababu sisi ni kama familia hivyo lazima ahusike kwenye hiyo misiba mizito ambayo imelikumba taifa, nimejaribu sana kumzuia lakini amelazimisha sana na nadhani unamjua alivyo king’ang’anizi anapokuwa anaamua jambo lake mwenyewe. Sasa kazi kubwa ambayo nakupatia wewe kwa sasa hakikisha dada yako anakuwa salama muda wote na kwa gharama yoyote ile maana ndugu yako unamjua alivyo anaweza akajiingiza kwenye hizi kesi ambazo zitamletea hatari kubwa sana kwenye maisha yake huwa anajikuta ni mpenda haki sana hivyo sitaki aguse katika hili nawewe ndo unaweza kumshawishi hilo” kijana wake alitikisa kichwa kuonyesha kwamba alikuwa amemuelewa baba yake vizuri.

“Jambo la pili una miaka 30 tayari saivi, nimekufanyia kila kitu kwenye maisha yako na una kila kitu mpaka sasa lakini cha kushangaza naelekea kuwa mzee kabisa na sijawahi kuona mjukuu mpaka leo hata mimba ya kusingizia sijawahi kabisa kuisikia huo ni ujinga ambao nimekuvumilia nimechoka sasa unaishi na mwanamke kama upo na dada yako ndani unamuonea huruma ya kumjaza mimba ni ndugu yako yule? Usiniangalie kama umetumwa kuuteka ulimwengu saivi naanza kuzeeka sana mwili wangu sio muda utapunguza zile nguvu zake na uwezo wake wa kuyatekeleza mambo kwa usahihi sasa unataka nife bila kuwaona watoto wa wanangu? Nataka kucheza na wajukuu wangu kabla ya kuhitimisha siku zangu za kuwa hai na hilo jambo lisiishie kwako tu mwambie na huyo mwenzako akirudi sitaki upumbavu katika hili mimi nilipata familia ndogo tu nyie ambao mpo wawili tu kwahiyo nahitaji kuwa na familia kubwa kupitia nyie hakikisheni mnaniletea wajukuu wa kutosha wapuuzi wakubwa sana nyie” mzee huyo alifoka sana tena kwa hasira alikuwa anamsumbua sana mwanae huyo kuhusu wajukuu lakini kijana huyo alikuwa akimkwepa kwepa sana kuhusu hilo jambo ni mwaka wa pili sasa tangu aanze kumsisitiza na hakuona mabadiliko yoyote yake hivyo mzee huyo alipata hasira sana kuona hilo jambo leo alikuwa amemfuata mwanaye kumpa makavu yake kwamba yeye hakuwa akiufurahia huo ujinga, aliondoka kwa hasira sana.

Kijana huyo baada ya baba yake kuondoka aligonga meza yake kwa nguvu, kijana wake alitoka nje na kuingia ndani, baada tu ya kumwangalia vizuri bosi wake hakuuliza alienda kwenye friji ambayo ilikuwa imefunikwa na pazia na humo kulikuwa na pombe kali sana za kutoka ndani ya nchi ya Mexico alilifungua na kutoka na pombe ambayo ilikuwa kwenye kibati alimpelekea bosi wake huyo ambaye aliinywa na kutoa machozi akiwa ameikunja sura yake kwa namna pombe hiyo ilivyokuwa kali sana pale mtu anapo itua kwenye mdomo wake.

Oden Jaiwelo Mkupi Makubilo ndilo lilikuwa jina lake na huyu mwanaume wa miaka thelathini, kwao walizaliwa wawili tu tena wakiwa ni mapacha, dada yake kama alivyokuwa amesema yeye mwenyewe muda mwingi sana aliutumia kwenye masomo yake ya sheria ambayo aliipenda mno na huko alidai kwamba anafanya hayo yote ili aje kuwa miongoni mwa watu ambao watasaidia sana kuweza kutetea haki za wanyonge, licha ya familia yake kumpinga sana yeye kuweza kusomea hayo mambo lakini kwake hakuna kitu ambacho kilimsimamisha kuweza kuchukua hayo maamuzi yake ambayo aliamua kuyaishi kwenye moyo wake. Oden yeye hakusoma sana kwa sababu aliipenda biashara kuliko elimu mpaka sasa alikuwa ni mfanya biashara mashuhuri sana ndani ya jiji la Dar ila alikuwa na changamoto moja kubwa sana.

Alizaliwa akiwa ni mwanaume rijali kama ilivyokuwa kwa wanaume wengine, aliwapenda sana wanawake kuliko ilivyokuwa kawaida, aliwahi kuwapa mimba wanawake kadhaa kwenye maisha yake hususani wakati anasoma lakini hakuwa tayari kuwa baba kwa wakati huo hiyo ilipelekea yeye kila mimba ambayo mwanamke wake yeyote akiibeba alikuwa anaamuru iweze kutolewa kwa sababu atazaa atakapo hitaji yeye, aliihusudu ngono sana na ilimkubali kwa sababu alikiri kwamba ndiyo ilikuwa furaha yake kubwa sana kwenye maisha yake na ngono ilimkubalia hilo. Kwa siku hawakupungua wanawake wawili mpaka watatu ambao ilikuwa ni lazima wauone urijali wake na hakulaza damu katika hilo aliwashughulikia kweli na kwenye huo ulimwengu alikuwa mfano mzuri sana wa mfalme Suleiman aliwakilisha sana zama za kale.

Katika kupita pita kwake kila mahali aliwahi kukumbana na matatizo kadhaa ya kiafya ambapo kwa mara ya kwanza alipata magonjwa ya zinaa mabaya sana, alikuwa na bahati mbaya kidogo magonjwa ya zinaa kwa wanaume wengi huwa yanawahi kutambulika sana ila kwake ilichelewa kidogo huenda hakujua ni nani ambaye alikuwa amempa magonjwa hayo kutokana na kubadili sana wanawake, siku alipo gundua kwamba yeye ni muathirika wa magonjwa ya zinaa aliwahi hospitali kwa sababu alikuwa kwenye maumivu makali sana na jambo hilo hakutaka kabisa liweze kujulikana kwao hivyo aliifanya kuwa siri na kijana wake wa karibu ambaye alikuwa ni mlinzi wake na huyo alikuwa ni miongoni mwa wanajeshi ambao waikuwa wamefuzu mafunzo yao kwa alama za juu sana. Alitibiwa na wataalamu wakati huo sehemu yake ya uume ilikuwa imeanza kuoza, madaktari wakubwa walimpambania sana ambapo kwa wakati huo alimdanganya baba yake kwamba ameenda kupumzika nje ya nchi ili kupata akili mpya ya kibiashara lakini kiuhalisia ni kwamba hakuhitaji baba yake mzazi kuweza kujua kitu cha aibu ambacho kilikuwa kimempata.

Ilichukua miezi kadhaa yeye kuweza kupona kwa sababu sehemu kubwa sana ya uume wake ilikuwa imeathirika vibaya sana, licha ya hilo jambo aliambiwa kwamba akipona kabisa basi akae mwaka mzima bila kujihusisha kabisa na ngono yaani asikutane na mwanamke yeyote yule kwa kufanya naye mapenzi itakuwa ni hatari sana kwa upande wake kwa sababu inaweza kupelekea kupoteza uwezo wa uume kusimama (nguvu za kiume kwa ujumla), alikaa kwa muda mrefu kidogo akiwa anafuata maelekezo ya daktari wake ya kufanya mazoezi sana pamoja na kula virutubiso vya kutosha lakini jasiri haiachi asili kwake huu msemo ulikuwa una nguvu sana, nyama zilizo nona za wadada zilimfanya ahisi daktari wake alikuwa haujui vizuri ulimwengu wa mapenzi ulivyokuwa mtamu, alihisi daktari huyo kuwa ni mshamba kupitiliza kumzuia yeye kufanya ngono kwa mwaka mzima kwake ilikuwa ni ngumu sana na ni kitu ambacho asingeweza kukiruhusu kuweza kutokea.

Ndani ya miezi minne tu uvumilivu ulimshinda alianza ile michezo yake ya siku zote, kila siku yeye na wanawake, hawezi kulala mwenyewe ilikuwa ni mwiko ilikuwa akisikia kuna mwanamke mrembo sana eneo fulani basi kwa namna yoyote ilikuwa ni lazima amuweke kwenye himaya yake, ulimwengu haukumkumbusha kwamba utamfunza zaidi alisifiwa kwa kuwa mwanaume rijali wa kuweza kumpata kila mwanamke amtakaye yeye mwenyewe. Ile miezi ambayo ilibakia ili kukamilisha mwaka akiwa hatakiwi kukutana kimwili na mwanamke yeye aliitumia kuuonyesha urijali wake na baada ya huo muda kupita alianza kupata maumivu makali sana tumboni kwake hususani maeneo ya chini ya kitovu, alitumia dawa hazikufua dafu hata uume wake ulianza kumuwasha kila muda akawa anajikuna sana sehemu hiyo.

Hakupata raha tena kuifanya ngono kwa sababu tatizo lake lilikuwa likimuumbua akiwa katikati ya starehe hiyo ambayo aliipenda kuliko starehe yoyote ile duniani, mficha maradhi kifo humuumbua aliukumbuka msemo huo hakutaka kufikia huko basi moja kwa moja alimfuata tena daktari wake na kumwambia ampime na kuweza kumpa majibu ili ajue kwamba tatizo lilikuwa ni nini? baada ya vipimo mwanaume huyo alimkalisha kijana huyo na kumpa somo kuhusu kitu ambacho alikuwa amekifanya.

“Huu mwaka mzima ulikuwa unafanya nilicho kuelekeza?”
“Nilifanya kwa muda wa miezi minne nilivyo ona nimepona kabisa nikaamua kuachana navyo”
“Kwahiyo uliniona mimi mjinga sana nilivyo kwambia usilale na mwanamke mwaka mzima kwa sababu sehemu zako za siri ziliathirika sana?”
“Hakuna sehemu ambayo nimesema nilikuona mjinga ila sikuona umuhimu wowote wa kuendelea na hayo wakati nipo vizuri”

“Kwahiyo ukaamua Kwenda kuuonyesha urijali wako sio”
“Sasa mwanaume mzima kama mimi ulihitaji nikatumie sabuni wakati nina uwezo wa kumpata mwanamke yeyeote au”

“Ungejua madhara ya ulicho kifanya usingekuwa unanijibu jeuri sana namna hiyo, sehemu zako zilikuwa zimeathirika pakubwa sana ndiyo maana nilikusisitiza sana hata simu nilikupigia sana kusisitiza hilo ilifika sehemu ukaniona msumbufu ukaacha kupokea simu zangu na ukanblock kabisa kwa sababu uliona mimi nakufuatilia sana wakati nilikuwa naipambania afya yako mwenyewe. Kutokana na sehemu zako zilivyokuwa zimeathirika ulikuwa kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza nguvu za kiume na hata kama zingekuja kuwepo ungekuja kupata madhara ya kutoweza kuzalisha, ule mwaka mmoja ambao mimi niliutenga kwako kufanya mazoezi sana, kula virutubisho na dozi ambayo nilikupa pamoja na kuja kukufanyia vipimo vya mara kwa mara ambavyo haukurudi tena kuvipata ilikuwa ni kuhakikisha kwamba tunazikomaza mbegu zako tena pamoja na kufanya uzalishaji wake kuwa mkubwa kwenye mwili na ule muda ilitakiwa upumzike ili upate nguvu za kutosha tena kama ilivyokuwa zamani sasa ulinipuuza na kwa sasa hakuna tunachoweza kukiokoa tena” daktari huyo alimpa kijana huyo maelezo ambayo yalimucha kijana huyo mdomo wazi sana.

“Una maanisha nini kunambia hivyo?”
“Huna uwezo wa kuzalisha tena kwenye maisha yako na hata nguvu za kiume huna, unaweza ukadumu kwa miezi miwili tu toka sasa hapo ndo utaweza kufanya mapenzi napo utakuwa unafika kileleni kwa muda mfupi sana na utaanza kukosa kabisa hamu ya mapenzi na baada ya huo muda hautakuwa na uwezo kabisa hata wa kuyafanya hayo mapenzi yenyewe”

“Noooooo noooo nooo dokta hahahahah haiwezekani”

“Hivi unahisi mimi nafanya komedi hapa sio? Mtu nimekupambania kwa kila namna, nimekukumbusha mpaka ukawa hutaki nikufikie, nimekupa madhara yake, nilitoa muda wangu kwa ajili yako ukaleta jeuri saivi unaanza kusema nooo noo unapiga kelele za nini? si uliiamini sana ngono kuliko afya yako sasa ni muda wa kuvuna kile ulicho kipanda, daktari huwa anafurahi sana pale ambapo mgonjwa wake anapona na anajisikia vibaya sana pale mgonjwa wake anapokuwa anashindwa kupata ahueni hivyo kwa wewe ni ujinga wako umesabababisha mimi nimepambana kwa kila namna na sina deni lolote hata mbele ya mwenyezi MUNGU” hiyo kauli ilimfanya Oden atoke nje kama kichaa , hakuamini ilimbidi kwenda kwenye hospitali zingine ili kuweza kuthibitisha kama hicho kitu alicho ambiwa kilikuwa cha kweli au ni huyo daktari hakuijua kazi yake vizuri. Alikutana na madaktari bingwa zaidi ya kumi na wote walimpa jibu moja mpaka alihisi huenda Tanzania madkatari ni wababaishaji tu alienda mpaka India ambako kuna madaktari bingwa wa dunia hata huko jibu lilikuwa ni lile lile moja tu.

Alilia sana, alijuta kuwahi kuzaliwa bila hicho kitu wewe hauna sifa ya kuitwa mwanaume, ni bora usiwe hata na mia mbovu lakini sio kukosa kuwa rijali huo ndio utambulisho halisi wa mwanaume na hicho ndicho kitu ambacho huwa kinamtambulisha mwanaume na kumpa jeuri popote pale anapokuwa hata kama mfukoni hana chochote kile kitu, alijaribu kujiua lakini ikashindikana na hiyo aibu hakutaka iweze kufika mbele ya familia yake wala jamii yake hivyo alihitaji iwe siri yake yeye mwenyewe pamoja na huyo kijana wake ambaye alikuwa ni mlinzi wake wa karibu sana.

Sasa ilikuwaje mpaka akawa na mwanamke ambaye alikuwa akiishi naye kama mkewe na mwanaume mwenzake akawa anamfaidi mwanamke huyo? Alimpata wapi na kipi kilifanyika mpaka wakafikia huko? Na atafanyaje baba yake anahitaji mtoto na yeye huo uwezo hana na hata kufanya mapenzi tu hawezi?

14 inafika mwisho tukutane ndani ya sehemu inayo fuata

Wasalaam

Bux the storyteller.
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 15

SONGA NAYO............


Mkuu wa mjeshi alikuwa anarudi kwake akiwa yupo mbali sana, alikuwa kwenye mawazo mazito mno kuhusu familia yake na watoto wake ambao alihisi kama wanamzungusha kwenye suala zima la kumletea wajukuu lakini hata kwa mambo ambayo yalikuwa yametokea ndani ya siku kadhaa hizo vilimfanya ndani ya gari yake akitokea Kawe kwa mwanaye kuwa na mawazo ambayo yalimsafirisha mpaka nje ya ulimwengu wa kawaida na kutoka ndani ya mwili wake (Astral projection), alikuwa anajiona upande wa mbali sana mwa hii dunia, alishtuka baada ya mlinzi wake kuweza kumshtua.

“Bosi tumeshafika na nje getini pale kuna mtu anaoenekana nasubiri maamuzi yako” aliongea na kumkurupua kiongozi wake ambaye alikuwa mbali sana kimawazo, alichungulia kwa nje lakini mtu huyo alikuwa amempa mgongo, aliangalia saa yake ilikuwa ni saa 6 kasoro dakika moja usiku na hapo ndipo alipo yakumbuka vizuri maelekezo ya IGP, alikunja uso wake na kufungua mlango wa gari yeye mwenyewe.

“Tupisheni nina mazungumzo na huyu kijana ni kijana wangu sitaki mtu mwingine yeyote awepo hapa muda huu” aliongea kwa msisitizo sana kwa sauti ambayo ilikuwa na hasira ndani yake.

“Mkuu ni usiku saiv……”
“Uwe unaelewa ukiambiwa mara moja” alikuwa tayari ameshatoka wakati anamalizia hayo maelezo yake ni kitu ambacho kilimfanya mlinzi wake aruhusu msafara huo kuondoka hiyo sehemu na kuwaacha watu hao waili, CDF alijongea taratibu mpaka sehemu ambayo alikuwa amesimama huyo kijana akiwa amempa mgongo.

“Kwenye maandiko matakatifu, Mwanzo 1 katika ule mstari wa 27 maandiko matakatifu yanasema “MUNGU akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa MUNGU alimwumba, Mwanaume na mwanamke aliwaumba” huo ni miongoni mwa mistari ambayo imeleta taharuki kubwa sana na mizozo mikubwa sana kwenye dini hasa kuhusiana na uumbaji wa mwanadamu. Kwa wakristo walio wengi wanaamini mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu na baadaye kupitia ubavu wake MUNGU alimletea msaidizi wake ambaye ni Hawa au waweza kumuita Eva kama wengi wanavyo penda kumuita”

“Utata huo unakuja kwenye huo mstaari kwa nukuu ya kusema kwamba mwanaume na mwanamke aliwaumba, hapo kuna watu wakaja na nadharia zao kwamba kwa inavyo onekana MUNGU hakumuumba mwanadamu mmoja kama baadhi ya watu wanavyosema, wengine wakadai kwamba kwa kupitia huo mstari inaonyesha wazi kwamba MUNGU aliwaumba mwanaume na mwanamke hivyo wakasema kwamba Hawa sio mwanamke wa kwanza kwa Adam bali alikuwa ni mwanamke wa pili kwake. Kuna watu wakaongeza kwa kusema MUNGU aliwaumba mwanaume na mwanamke kwa mara ya kwanza kabisa ambao walikuwa na nguvu sawa na kila kitu kililingana hivyo ilipelekea mwanamke kushindwa kumtii mwanaume wake kwa kuwa hakuna ambacho alikuwa anamzidi kipindi hicho hilo ni jambo ambalo lilimchukiza sana MUNGU akaamua kumtimua mwanamke huyo kwenye hiyo bustani ya Eden, mwanamke huyo wanadai kwamba alikuwa anaitwa Lilith”

“Baada ya hapo kuna watu wakawapa ubaya sana wanawake kwa sababu tu ya kosa la huyo mwanamke na kuwasema vibaya sana, lakini je hizo taarifa ni za kweli? Au za kutunga? kwa mimi ukiniuliza sijui jibu lake ila mimi namuamini sana MUNGU, namuomba sana MUNGU japo nina dhambi nyingi sana, najua kwamba hizi mbingu, hizi ardhi, watu, maziwa, mabonde na kila kitu havikuja hivi hivi bali kuna mtu au kitu nyuma yake basi huyo ni MUNGU ambaye nina muamini mimi. Sijakwambia haya ili uamini kwamba Lilith aliwahi kuwepo Hapana, wala sijasema hilo ili uwe na shaka kuhusu MUNGU hilo sio lengo langu kabisa kwa sababu kama ukiniambia mimi nikushauri basi nitakushauri fanya kila kitu duniani ila tu usije ukamsahau MUNGU wako kwa sababu ukimkataa leo ukiwa na kila kitu na afya iliyo bora kabisa huwezi kuelewa mpaka siku utakayo kuwa kwenye matatizo mazito ndipo utakapo kuja kuelewa kwamba MUNGU yupo na ana nguvu”

“Mimi binafsi nafurahia kuona kuna watu wanataka kujifunza zaidi kuhusu ukuu wa MUNGU ndiyo maana wanauliza maswali kama hayo ambayo huenda majibu yake ni ya kweli au siyo ya kweli kwa sababu wanao uliza na wanao jibu wote ni wanadamu kama sisi tuna hayo niliyo yatamka siyo maneno yangu mimi ni maneno ya baadhi ya watu ambao waliamua kuzihitaji taarifa hizo”

“Nimekupa mfano kuhusu Lilith na kubebeshwa lawama zote ambazo huenda anazistahili yeye lakini kwanini watumie sifa zake au makosa yake yote kwa ajili ya kuwachafua wanawake wengine duniani ambao huenda hawana hatia yoyote ile? Kwanini waonekane wanawake wote wana roho mbaya na ni makatili kwa sababu ya uzembe wa mtu mmoja tu tena maelfu ya miaka iliyo pita? Mimi huwa inaniuma sana kwa sababu wanawake wengi nawaona kama mama zangu namimi sijabahatika kuweza kulelewa na mama yangu mzazi naujua uchungu wa kumdhalilisha mwanamke yeyote yule hapa duniani”

“Lengo la kukupa kisa hicho kidogo ni kwa sababu nilihitaji ujue kwamba duniani unavyo muona mtu ni mbaya sana basi kuna vitu vingi sana nyuma yake, kwanza anaweza kweli akawa ni mbaya kama watu wanavyo sema lakini pia anaweza kuwa mbaya kweye midomo ya watu fulani ambao huwa wanafanya hivyo kwa ajili ya maslahi yao wao wenyewe. Lakini kitu cha pili kuna watu wanakuwa wabaya sana kwenye maisha yao ya kweli kwa sababu ulimwengu unaamua kabisa kuwabadilisha na wao wanakuwa hawana namna zaidi ya kuwa hivyo na ndio hao watu ambao wakiamua kuonyesha rangi zao za kweli wanaufanya ulimwengu unaonekana kuwa na mambo ya kutisha sana na kama sio sehemu salama kwa ajili ya makao ambayo ni salama tena, hapa nazungumzia kuzaliwa kwa ule ulimwengu wa mabavu na kuanza kuitumia nadharia ya mwanasayansi nguli sawa kuwahi kutokea duniani mheshimiwa CHARLES DARWIN ya kusema “SURVIVAL FOR THE FITTEST “ ambapo wale wenye nguvu wataishi na wanyonge habari yao itaishia hapo”

“Nadhani umenielewa vizuri sana baba mkubwa kwani najua wewe ni mtu mwerevu sana, je kwa wewe unavyo ona kuna dalili za mtu yeyote kati yetu anaenda kuwa kama Lilith na kuchorwa ubaya wa kweli kwamba ni yeye ni mbaya au unaona kuna mtu anaenda kuwa Lilith kwa sababu watu watampa ubaya ambao hakutakiwa kuwa nao na wenyewe wakaamua kumbadilisha kwa lazima au atapewa ubaya kwa kuchafuliwa tu? kabla hujanijibu hilo unatakiwa unielewe kwa kitu kimoja, kuna baadhi ya watu wenye uwezo mkubwa kiakili waliwahi kusema “A DEVIL IS NOT AS TERRIBLE AS HE IS PAINTED (Shetani sio mbaya kama watu wanavyo mchora au kumsema)” ni kauli fikirishi sana kwa mtu mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria ila ni kauli yenye maana kubwa sana kwa mtu mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na kuweza kuyachambua mambo” ilikuwa ni sauti nzito sana ambayo ilitoka kwa mtu ambaye moja kwa moja kwa mtu aliyekuwa anamsikiliza alijua hiki ni kichwa sana kwa sababu ni mtu ambaye alijua sana namna ya kuweza kuzipangilia hoja zake na hata majibu ambayo alitakiwa kupewa ni yale ambayo yalikuwa yakiendana na kile ambacho yeye alikuwa anakichambua hapo.

Maelezo yake yalikuwa yanatoa somo, yanatoa kauli fikirishi sana lakini pia ndani yake kulikuwa na imani nzito sana kuhusu mambo ya dini ila bila kusahau pia ndani yake kulikuwa na maswali ya kutosha ambayo yalitakiwa kujibiwa kwa utulivu sana, mtu ambaye alikuwa anasikiliza hayo maelezo kwa utulivu alikuwa ni mheshimiwa mkuu wa majeshi, maneno ambayo yalikuwa yanatoka kwa mdogo wa rafiki yake wa damu ambao walikuwa wamevuka hatua ya urafiki na kufikia kuwa ndugu ambao walipendana na kushibana sana, Jason mdogo wake na jaji mkuu Markvelous Japhary ndiye ambaye alikuwa anayatamka hayo maneno kwa utulivu sana, kabla ya wakati huo ni mapema sana alimsisitiza IGP aweze kumwambia mheshimiwa mkuu wa majeshi kwamba saa sita kamili za usiku atamkuta getini kwake nje ya nyumba yake kuna maswali alihitaji mtu huyo amjibu na ni kweli alitimiza hilo,mheshimiwa mkuu wa majeshi alienda kusimama pembeni ya kijana huyo wakiwa wanaangalia kwa mbele sehemu ambako kulipandwa miti kwa mpangilio sana nje ya jumba hilo la kifahari.

“Umefanikiwa vipi kupita sehemu zote hizo mpaka ukaja kufika hapa getini kirahisi hivyo? umewaambia nini walinzi wote mpaka ukaruhusiwa kusimama getini hapa na hawajakusumbua wala kunipatia taarifa?” mkuu wa majeshi aliongea akiwa anaitoa sigara kutoka kwenye mfuko wa suruali ya suti yake.


“Mhhhhhhhh mimi leo kuja kwa baba yangu mkubwa nawekewa mipaka ya kukupa taarifa ndo niruhusiwe? Kuna mlinzi wako gani ambaye akijua mimi ni mdogo wake na jaji mkuu atanizuia kuja kwako ambako wewe mwenyewe uliwahi kunipa ruhusa kwamba naruhusiwa kufika kwa muda wowote ule ambao mimi nitahitaji kufika?” aliuliza swali ambalo mzee huyo hakulijali aliwasha sigara yake na kuyavuta mafundo kadhaa na kuuvuta moshi kwa hisia sana kuelekea angani.

“Unataka kuwa Lilith halisia ambaye wewe umemzungumzia hapo kwamba alikuwa mbaya sana au unataka kuwa Lilith wa kupewa ubaya ambao hakuhusika nao? Hapa nazungumzia unataka kuwa yule Lilith ambaye umesema kwamba wanadai alikuwa ni mbaya na alikuwa ni mbaya kweli au unataka kuwa Lilith ambaye ni wanawake wanaopewa ubaya kwa ubaya ambao wao hawana?” lilikuwa ni swali la kisomi sana kutoka kwa mheshimiwa mkuu wa majeshi Kwenda kwa kijana wake huyo ambaye kwake alikuwa kama mwanae.

“Kwa sasa kama ukiniuliza WEMA na UBAYA mimi naweza kuuchagua ubaya kwa sababu ubaya hauna unafiki unajua moja kwa moja kwamba huu ni ubaya lakini ukiuchagua wema kuna muda utafurahia sana uamuzi wako lakini kuna muda unaweza ukajuta hata kuzaliwa kwa sababu kuna muda macho yanakudanganya kwamba hili ni jema sana kwako na wewe unaliamini lakini baadae unakuja kuelewa kwamba huo wema ndani yake kuna ubaya mkubwa kuliko furaha na unakuwa umesha chelewa” Jason alijibu kwa msisitizo sana.

“Unamaanisha kwa sasa huwezi kumwamini mwanadamu yeyote?” Jason hakujibu kitu kutokana na swali hilo la mkuu wa majeshi hivyo mzee huyo aliendelea

“Sisi ni kama tulihitimishwa kuishi kama familia, tulikuwa watano kwenye hii familia yetu, mmoja wetu alikufa akiwa ananisaidia mimi wakati tupo huko Msangi Tabora hivyo tukawa tumebaki wanne tu, tuliapa kuteteana kwa kila namna, tuliapa kuwa pamoja kwa kila jambo na kuamua kuishi kwenye nafsi moja wote wanne ndiyo maana tulifanikiwa sana kwa baadaye yaani hata kama ningemkuta mwenzangu ameua basi mimi ningekuwa wakwanza kumtetea na kusema sio yeye kwa gharama yoyote ile na hayo ndo yalikuwa maisha yetu, tulijua kwamba kama ikitokea akafanikiwa mtu mmoja kati yetu sisi wote basi tumefanikiwa wote na ndiyo sababu kubwa ambayo ilitufanya tukaamua kuwekeza kwa mwenzetu mmoja ambaye baadaye alifanikiwa sana na kuja kuwa mpaka raisi wa nchi kwa nguvu zetu sote wanne na mtu huyo hakutuacha hata sekunde moja, kufanikiwa kwake yalikuwa ni mafanikio yetu sote wanne na hapo ndipo alimpa kila mtu kile cheo ambacho yeye alikipenda mwenyewe yaani unaambiwa chagua unataka kuwa nani kwenye serikali na unacho kichagua kinakuwa hivyo hivyo unavyo taka wewe.

Je wewe uliwahi kuwa na marafiki wa namna hiyo? Jibu ni Hapana kwa sababu vijana wa siku hizi ni wabinafsi sana na ndiyo maana kufanikiwa hamuwezi, nafsi nne ziliishi kwenye kichwa cha mtu mmoja na kaka yako ndiye mtu ambaye alikuwa anategemewa zaidi kwenye familia yetu hiyo kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na watu kama wale huwa wanazaliwa mara chache sana hapa duniani. Huyo ndo alifanya kila kitu kikawezekana na aliipenda sana sheria japo mimi niligoma yeye asipewe hiyo nafasi bora angechagua hata kuwa Waziri mkuu lakini kwake yeye aligoma kabisa kwa sababu aliisoma sana, aliijua sheria kuliko hata anavyo kijua chakula na kitanda chake na sheria ikamchagua, mimi kumkataza kwenye ile nafasi nilikuwa na maana kubwa sana kwa sababu najua kwenye sheria kuna mambo yanatisha sana kuliko shemu yoyote ile ya nchi, sheria inaweza kufanya nchi ikawa na amani sana, sheria italeta machafuko, sheria itasababisha vifo, sheria italeta maafa, italeta njaa za kutisha na mauaji ya kutisha, nilipinga lile kwa sababu nilijua sheria ipo siku inaweza kuja kumletea hatari kubwa sana na huenda pia ikasababisha familia yetu ya watu wanne kuweza kubomoka na kuleta uadui mkubwa sana kati yetu wenyewe lakini hata na watu wa nje.

Na hicho ndicho kilicho tokea kama nilivyo tabiri mimi, tumewapoteza watu wawili ndani ya siku tatu tu, raisi hayupo tena na hata jaji mkuu kwa sasa hatupo naye tena tumebaki watu wawili tena mimi na IGP unahisi ni maumivu kiasi gani ambayo sisi tunayapitia kwa sasa? Na ulimwengu utaanza kutuona sisi ndiyo wabaya kwa sababu tupo nafasi kubwa sana na itaonekana ni jambo la aibu sana kushindwa kutoa ulinzi kwa watu wakubwa kama hao tena marafiki zetu wadamu unahisi dunia inaenda kutuonaje? Mimi mpaka leo ukuniuliza mkurugenzi wa usalama wa taifa simjui kabisa licha ya kuwa karibu sana na raisi lakini hakuwahi kuniambiwa na sijui kama hata kati yetu wote kuna ambaye aikuwa anamjua mtu huyo zaidi yake yeye.

Siyo lazima mkurugenzi wa usalama wa taifa kujulikana kwa watu lakini kwa marafiki ni mhimu sana hususani kwa watu ambao tulitakiwa kulindana na huyo ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuhakikisha usalama wa mheshimiwa raisi sasa kwa sasa tutamfuata nani? kila mtu si atakataa? Kwa sasa tunamtegemea makamu wa raisi kama anaweza kutusaidia katika hilo hivyo sitaki kabisa wewe ujiingize kwenye haya mambo unatakiwa ukae mbali sana na haya mambo sihitaji tukupoteza na wewe hapo, utasema chochote utakacho kihitaji utapewa kwa muda wowote ule ila sio kusema unataka sijui kuwa Lilith sitaki kabisa kusikia hizo habari” mheshimiwa mkuu wa majeshi alitiririka kwa urefu sana akiwa yupo siriasi sana.

“Hilo kosa la kuto kumjua mkurugenzi wa usalama wa taifa ndilo litakufanya uje ujute kwenye maisha yako yote, ulishindwa vipi kumfanya rafiki yako akakwambia ukweli? Kwanini akufiche ndugu yake kwamba ilifika hatua mlikuwa hamuaminiani? Na una uhakika gani kwamba wengine hawamjui?” maneno ya Jason yalimshangaza sana CDF

“Whaaaaaat?” aliuliza kwa mshangao

15 inafika mwisho tukutane tena wakati ujao

Wasalaam

Bux the storyteller.
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 15

SONGA NAYO............


Mkuu wa mjeshi alikuwa anarudi kwake akiwa yupo mbali sana, alikuwa kwenye mawazo mazito mno kuhusu familia yake na watoto wake ambao alihisi kama wanamzungusha kwenye suala zima la kumletea wajukuu lakini hata kwa mambo ambayo yalikuwa yametokea ndani ya siku kadhaa hizo vilimfanya ndani ya gari yake akitokea Kawe kwa mwanaye kuwa na mawazo ambayo yalimsafirisha mpaka nje ya ulimwengu wa kawaida na kutoka ndani ya mwili wake (Astral projection), alikuwa anajiona upande wa mbali sana mwa hii dunia, alishtuka baada ya mlinzi wake kuweza kumshtua.

“Bosi tumeshafika na nje getini pale kuna mtu anaoenekana nasubiri maamuzi yako” aliongea na kumkurupua kiongozi wake ambaye alikuwa mbali sana kimawazo, alichungulia kwa nje lakini mtu huyo alikuwa amempa mgongo, aliangalia saa yake ilikuwa ni saa 6 kasoro dakika moja usiku na hapo ndipo alipo yakumbuka vizuri maelekezo ya IGP, alikunja uso wake na kufungua mlango wa gari yeye mwenyewe.

“Tupisheni nina mazungumzo na huyu kijana ni kijana wangu sitaki mtu mwingine yeyote awepo hapa muda huu” aliongea kwa msisitizo sana kwa sauti ambayo ilikuwa na hasira ndani yake.

“Mkuu ni usiku saiv……”
“Uwe unaelewa ukiambiwa mara moja” alikuwa tayari ameshatoka wakati anamalizia hayo maelezo yake ni kitu ambacho kilimfanya mlinzi wake aruhusu msafara huo kuondoka hiyo sehemu na kuwaacha watu hao waili, CDF alijongea taratibu mpaka sehemu ambayo alikuwa amesimama huyo kijana akiwa amempa mgongo.

“Kwenye maandiko matakatifu, Mwanzo 1 katika ule mstari wa 27 maandiko matakatifu yanasema “MUNGU akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa MUNGU alimwumba, Mwanaume na mwanamke aliwaumba” huo ni miongoni mwa mistari ambayo imeleta taharuki kubwa sana na mizozo mikubwa sana kwenye dini hasa kuhusiana na uumbaji wa mwanadamu. Kwa wakristo walio wengi wanaamini mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu na baadaye kupitia ubavu wake MUNGU alimletea msaidizi wake ambaye ni Hawa au waweza kumuita Eva kama wengi wanavyo penda kumuita”

“Utata huo unakuja kwenye huo mstaari kwa nukuu ya kusema kwamba mwanaume na mwanamke aliwaumba, hapo kuna watu wakaja na nadharia zao kwamba kwa inavyo onekana MUNGU hakumuumba mwanadamu mmoja kama baadhi ya watu wanavyosema, wengine wakadai kwamba kwa kupitia huo mstari inaonyesha wazi kwamba MUNGU aliwaumba mwanaume na mwanamke hivyo wakasema kwamba Hawa sio mwanamke wa kwanza kwa Adam bali alikuwa ni mwanamke wa pili kwake. Kuna watu wakaongeza kwa kusema MUNGU aliwaumba mwanaume na mwanamke kwa mara ya kwanza kabisa ambao walikuwa na nguvu sawa na kila kitu kililingana hivyo ilipelekea mwanamke kushindwa kumtii mwanaume wake kwa kuwa hakuna ambacho alikuwa anamzidi kipindi hicho hilo ni jambo ambalo lilimchukiza sana MUNGU akaamua kumtimua mwanamke huyo kwenye hiyo bustani ya Eden, mwanamke huyo wanadai kwamba alikuwa anaitwa Lilith”

“Baada ya hapo kuna watu wakawapa ubaya sana wanawake kwa sababu tu ya kosa la huyo mwanamke na kuwasema vibaya sana, lakini je hizo taarifa ni za kweli? Au za kutunga? kwa mimi ukiniuliza sijui jibu lake ila mimi namuamini sana MUNGU, namuomba sana MUNGU japo nina dhambi nyingi sana, najua kwamba hizi mbingu, hizi ardhi, watu, maziwa, mabonde na kila kitu havikuja hivi hivi bali kuna mtu au kitu nyuma yake basi huyo ni MUNGU ambaye nina muamini mimi. Sijakwambia haya ili uamini kwamba Lilith aliwahi kuwepo Hapana, wala sijasema hilo ili uwe na shaka kuhusu MUNGU hilo sio lengo langu kabisa kwa sababu kama ukiniambia mimi nikushauri basi nitakushauri fanya kila kitu duniani ila tu usije ukamsahau MUNGU wako kwa sababu ukimkataa leo ukiwa na kila kitu na afya iliyo bora kabisa huwezi kuelewa mpaka siku utakayo kuwa kwenye matatizo mazito ndipo utakapo kuja kuelewa kwamba MUNGU yupo na ana nguvu”

“Mimi binafsi nafurahia kuona kuna watu wanataka kujifunza zaidi kuhusu ukuu wa MUNGU ndiyo maana wanauliza maswali kama hayo ambayo huenda majibu yake ni ya kweli au siyo ya kweli kwa sababu wanao uliza na wanao jibu wote ni wanadamu kama sisi tuna hayo niliyo yatamka siyo maneno yangu mimi ni maneno ya baadhi ya watu ambao waliamua kuzihitaji taarifa hizo”

“Nimekupa mfano kuhusu Lilith na kubebeshwa lawama zote ambazo huenda anazistahili yeye lakini kwanini watumie sifa zake au makosa yake yote kwa ajili ya kuwachafua wanawake wengine duniani ambao huenda hawana hatia yoyote ile? Kwanini waonekane wanawake wote wana roho mbaya na ni makatili kwa sababu ya uzembe wa mtu mmoja tu tena maelfu ya miaka iliyo pita? Mimi huwa inaniuma sana kwa sababu wanawake wengi nawaona kama mama zangu namimi sijabahatika kuweza kulelewa na mama yangu mzazi naujua uchungu wa kumdhalilisha mwanamke yeyote yule hapa duniani”

“Lengo la kukupa kisa hicho kidogo ni kwa sababu nilihitaji ujue kwamba duniani unavyo muona mtu ni mbaya sana basi kuna vitu vingi sana nyuma yake, kwanza anaweza kweli akawa ni mbaya kama watu wanavyo sema lakini pia anaweza kuwa mbaya kweye midomo ya watu fulani ambao huwa wanafanya hivyo kwa ajili ya maslahi yao wao wenyewe. Lakini kitu cha pili kuna watu wanakuwa wabaya sana kwenye maisha yao ya kweli kwa sababu ulimwengu unaamua kabisa kuwabadilisha na wao wanakuwa hawana namna zaidi ya kuwa hivyo na ndio hao watu ambao wakiamua kuonyesha rangi zao za kweli wanaufanya ulimwengu unaonekana kuwa na mambo ya kutisha sana na kama sio sehemu salama kwa ajili ya makao ambayo ni salama tena, hapa nazungumzia kuzaliwa kwa ule ulimwengu wa mabavu na kuanza kuitumia nadharia ya mwanasayansi nguli sawa kuwahi kutokea duniani mheshimiwa CHARLES DARWIN ya kusema “SURVIVAL FOR THE FITTEST “ ambapo wale wenye nguvu wataishi na wanyonge habari yao itaishia hapo”

“Nadhani umenielewa vizuri sana baba mkubwa kwani najua wewe ni mtu mwerevu sana, je kwa wewe unavyo ona kuna dalili za mtu yeyote kati yetu anaenda kuwa kama Lilith na kuchorwa ubaya wa kweli kwamba ni yeye ni mbaya au unaona kuna mtu anaenda kuwa Lilith kwa sababu watu watampa ubaya ambao hakutakiwa kuwa nao na wenyewe wakaamua kumbadilisha kwa lazima au atapewa ubaya kwa kuchafuliwa tu? kabla hujanijibu hilo unatakiwa unielewe kwa kitu kimoja, kuna baadhi ya watu wenye uwezo mkubwa kiakili waliwahi kusema “A DEVIL IS NOT AS TERRIBLE AS HE IS PAINTED (Shetani sio mbaya kama watu wanavyo mchora au kumsema)” ni kauli fikirishi sana kwa mtu mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiria ila ni kauli yenye maana kubwa sana kwa mtu mwenye uwezo mkubwa wa kiakili na kuweza kuyachambua mambo” ilikuwa ni sauti nzito sana ambayo ilitoka kwa mtu ambaye moja kwa moja kwa mtu aliyekuwa anamsikiliza alijua hiki ni kichwa sana kwa sababu ni mtu ambaye alijua sana namna ya kuweza kuzipangilia hoja zake na hata majibu ambayo alitakiwa kupewa ni yale ambayo yalikuwa yakiendana na kile ambacho yeye alikuwa anakichambua hapo.

Maelezo yake yalikuwa yanatoa somo, yanatoa kauli fikirishi sana lakini pia ndani yake kulikuwa na imani nzito sana kuhusu mambo ya dini ila bila kusahau pia ndani yake kulikuwa na maswali ya kutosha ambayo yalitakiwa kujibiwa kwa utulivu sana, mtu ambaye alikuwa anasikiliza hayo maelezo kwa utulivu alikuwa ni mheshimiwa mkuu wa majeshi, maneno ambayo yalikuwa yanatoka kwa mdogo wa rafiki yake wa damu ambao walikuwa wamevuka hatua ya urafiki na kufikia kuwa ndugu ambao walipendana na kushibana sana, Jason mdogo wake na jaji mkuu Markvelous Japhary ndiye ambaye alikuwa anayatamka hayo maneno kwa utulivu sana, kabla ya wakati huo ni mapema sana alimsisitiza IGP aweze kumwambia mheshimiwa mkuu wa majeshi kwamba saa sita kamili za usiku atamkuta getini kwake nje ya nyumba yake kuna maswali alihitaji mtu huyo amjibu na ni kweli alitimiza hilo,mheshimiwa mkuu wa majeshi alienda kusimama pembeni ya kijana huyo wakiwa wanaangalia kwa mbele sehemu ambako kulipandwa miti kwa mpangilio sana nje ya jumba hilo la kifahari.

“Umefanikiwa vipi kupita sehemu zote hizo mpaka ukaja kufika hapa getini kirahisi hivyo? umewaambia nini walinzi wote mpaka ukaruhusiwa kusimama getini hapa na hawajakusumbua wala kunipatia taarifa?” mkuu wa majeshi aliongea akiwa anaitoa sigara kutoka kwenye mfuko wa suruali ya suti yake.


“Mhhhhhhhh mimi leo kuja kwa baba yangu mkubwa nawekewa mipaka ya kukupa taarifa ndo niruhusiwe? Kuna mlinzi wako gani ambaye akijua mimi ni mdogo wake na jaji mkuu atanizuia kuja kwako ambako wewe mwenyewe uliwahi kunipa ruhusa kwamba naruhusiwa kufika kwa muda wowote ule ambao mimi nitahitaji kufika?” aliuliza swali ambalo mzee huyo hakulijali aliwasha sigara yake na kuyavuta mafundo kadhaa na kuuvuta moshi kwa hisia sana kuelekea angani.

“Unataka kuwa Lilith halisia ambaye wewe umemzungumzia hapo kwamba alikuwa mbaya sana au unataka kuwa Lilith wa kupewa ubaya ambao hakuhusika nao? Hapa nazungumzia unataka kuwa yule Lilith ambaye umesema kwamba wanadai alikuwa ni mbaya na alikuwa ni mbaya kweli au unataka kuwa Lilith ambaye ni wanawake wanaopewa ubaya kwa ubaya ambao wao hawana?” lilikuwa ni swali la kisomi sana kutoka kwa mheshimiwa mkuu wa majeshi Kwenda kwa kijana wake huyo ambaye kwake alikuwa kama mwanae.

“Kwa sasa kama ukiniuliza WEMA na UBAYA mimi naweza kuuchagua ubaya kwa sababu ubaya hauna unafiki unajua moja kwa moja kwamba huu ni ubaya lakini ukiuchagua wema kuna muda utafurahia sana uamuzi wako lakini kuna muda unaweza ukajuta hata kuzaliwa kwa sababu kuna muda macho yanakudanganya kwamba hili ni jema sana kwako na wewe unaliamini lakini baadae unakuja kuelewa kwamba huo wema ndani yake kuna ubaya mkubwa kuliko furaha na unakuwa umesha chelewa” Jason alijibu kwa msisitizo sana.

“Unamaanisha kwa sasa huwezi kumwamini mwanadamu yeyote?” Jason hakujibu kitu kutokana na swali hilo la mkuu wa majeshi hivyo mzee huyo aliendelea

“Sisi ni kama tulihitimishwa kuishi kama familia, tulikuwa watano kwenye hii familia yetu, mmoja wetu alikufa akiwa ananisaidia mimi wakati tupo huko Msangi Tabora hivyo tukawa tumebaki wanne tu, tuliapa kuteteana kwa kila namna, tuliapa kuwa pamoja kwa kila jambo na kuamua kuishi kwenye nafsi moja wote wanne ndiyo maana tulifanikiwa sana kwa baadaye yaani hata kama ningemkuta mwenzangu ameua basi mimi ningekuwa wakwanza kumtetea na kusema sio yeye kwa gharama yoyote ile na hayo ndo yalikuwa maisha yetu, tulijua kwamba kama ikitokea akafanikiwa mtu mmoja kati yetu sisi wote basi tumefanikiwa wote na ndiyo sababu kubwa ambayo ilitufanya tukaamua kuwekeza kwa mwenzetu mmoja ambaye baadaye alifanikiwa sana na kuja kuwa mpaka raisi wa nchi kwa nguvu zetu sote wanne na mtu huyo hakutuacha hata sekunde moja, kufanikiwa kwake yalikuwa ni mafanikio yetu sote wanne na hapo ndipo alimpa kila mtu kile cheo ambacho yeye alikipenda mwenyewe yaani unaambiwa chagua unataka kuwa nani kwenye serikali na unacho kichagua kinakuwa hivyo hivyo unavyo taka wewe.

Je wewe uliwahi kuwa na marafiki wa namna hiyo? Jibu ni Hapana kwa sababu vijana wa siku hizi ni wabinafsi sana na ndiyo maana kufanikiwa hamuwezi, nafsi nne ziliishi kwenye kichwa cha mtu mmoja na kaka yako ndiye mtu ambaye alikuwa anategemewa zaidi kwenye familia yetu hiyo kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na watu kama wale huwa wanazaliwa mara chache sana hapa duniani. Huyo ndo alifanya kila kitu kikawezekana na aliipenda sana sheria japo mimi niligoma yeye asipewe hiyo nafasi bora angechagua hata kuwa Waziri mkuu lakini kwake yeye aligoma kabisa kwa sababu aliisoma sana, aliijua sheria kuliko hata anavyo kijua chakula na kitanda chake na sheria ikamchagua, mimi kumkataza kwenye ile nafasi nilikuwa na maana kubwa sana kwa sababu najua kwenye sheria kuna mambo yanatisha sana kuliko shemu yoyote ile ya nchi, sheria inaweza kufanya nchi ikawa na amani sana, sheria italeta machafuko, sheria itasababisha vifo, sheria italeta maafa, italeta njaa za kutisha na mauaji ya kutisha, nilipinga lile kwa sababu nilijua sheria ipo siku inaweza kuja kumletea hatari kubwa sana na huenda pia ikasababisha familia yetu ya watu wanne kuweza kubomoka na kuleta uadui mkubwa sana kati yetu wenyewe lakini hata na watu wa nje.

Na hicho ndicho kilicho tokea kama nilivyo tabiri mimi, tumewapoteza watu wawili ndani ya siku tatu tu, raisi hayupo tena na hata jaji mkuu kwa sasa hatupo naye tena tumebaki watu wawili tena mimi na IGP unahisi ni maumivu kiasi gani ambayo sisi tunayapitia kwa sasa? Na ulimwengu utaanza kutuona sisi ndiyo wabaya kwa sababu tupo nafasi kubwa sana na itaonekana ni jambo la aibu sana kushindwa kutoa ulinzi kwa watu wakubwa kama hao tena marafiki zetu wadamu unahisi dunia inaenda kutuonaje? Mimi mpaka leo ukuniuliza mkurugenzi wa usalama wa taifa simjui kabisa licha ya kuwa karibu sana na raisi lakini hakuwahi kuniambiwa na sijui kama hata kati yetu wote kuna ambaye aikuwa anamjua mtu huyo zaidi yake yeye.

Siyo lazima mkurugenzi wa usalama wa taifa kujulikana kwa watu lakini kwa marafiki ni mhimu sana hususani kwa watu ambao tulitakiwa kulindana na huyo ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuhakikisha usalama wa mheshimiwa raisi sasa kwa sasa tutamfuata nani? kila mtu si atakataa? Kwa sasa tunamtegemea makamu wa raisi kama anaweza kutusaidia katika hilo hivyo sitaki kabisa wewe ujiingize kwenye haya mambo unatakiwa ukae mbali sana na haya mambo sihitaji tukupoteza na wewe hapo, utasema chochote utakacho kihitaji utapewa kwa muda wowote ule ila sio kusema unataka sijui kuwa Lilith sitaki kabisa kusikia hizo habari” mheshimiwa mkuu wa majeshi alitiririka kwa urefu sana akiwa yupo siriasi sana.

“Hilo kosa la kuto kumjua mkurugenzi wa usalama wa taifa ndilo litakufanya uje ujute kwenye maisha yako yote, ulishindwa vipi kumfanya rafiki yako akakwambia ukweli? Kwanini akufiche ndugu yake kwamba ilifika hatua mlikuwa hamuaminiani? Na una uhakika gani kwamba wengine hawamjui?” maneno ya Jason yalimshangaza sana CDF

“Whaaaaaat?” aliuliza kwa mshangao

15 inafika mwisho tukutane tena wakati ujao

Wasalaam

Bux the storyteller.
Kimewaka sana bux the storyteller
 
STORY: INNOCENT KILLER (THE REVENGE)
STORY WRITER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP : 0621567672
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
AGE: 18+
SEHEMU YA 16

SONGA NAYO............
“Nimesema kwamba una uhakika gani kwamba hao wenzako hawana hizo taarifa?”
“Hawana hawana nina uhakika wa asilimia miamoja”

“Hapo ndipo wanadamu mnapofeli sana, muogope sana mtu ambaye anajifanya mjinga mbele ya uso wako halafu nawewe unakubali kwamba huyu ndiye mjinga halafu yeye anakufanya uamini hivyo kumbe wewe ndiye mjinga, wanadamu ndivyo wanavyo ishi sasa hilo ni jambo la kutisha sana kama ndugu yenu aliamua kuwaficha hilo jambo watu ambao mlikuwa mnaaminiana sana namna hiyo basi ujue kwamba kuna tatizo mahali lazima isingekuwa rahisi nyie mshindwe kuwa na taarifa kama hizo”

“Unataka kuniambia kwamba kuna jambo la siri ambalo tunajaribu kufichwa na limejificha kati yetu sisi?”

“Sijasema hivyo na hilo halinihusu sana ila nipo hapa kwa sababu kuna maswali ambayo unatakiwa unijibu ila kabla ya kunijibu wala kukuuliza kwanza inatakiwa nikuweke sawa kwenye kitu kimoja, unatakiwa kutengua kauli yako na usije ukaitaja tena kwenye masikio yangu na wala sitaki kuisikia. Unaniambia kiwepesi tu kwamba hutaki nijihusishe na haya mambo nikae mbali halafu niombe kila ninacho kitaka nitakipata, kwanza aliyekwambia mimi navihitaji hivyo vitu ni nani? unadhani wewe ndiye ambaye una uchungu sana ndugu yangu wa damu kufa? sisi tulizaliwa wawili tu hapa duniani, nimeishi tangu nikiwa mdogo kwa sababu yake yeye, yule kwangu siyo kaka tu kwangu ndiye role model wangu, yule kwangu ni kiongozi wangu, yule kwangu ni baba yangu, yule ndiye mtu pekee ambaye nilikuwa tayari hata kuutoa moyo wangu na kumpatia kama angehitaji, yule ndiye mtu pekee ambaye nilikuwa naweza kumpigia magoti kwenye nchi hii kama ningemkosea, yule ndiye binadamu pekee ambaye nilikuwa namsikiliza kuliko mwanadamu yeyote yule na huyo ndiye kaka yangu mimi ambaye wewe unadai kwamba ni rafiki yako na watanzania wanamjua kama jaji mkuu mtu ambaye aliipenda haki kuliko kitu chochote kile.

Sasa wewe unaitoa wahi hiyo jeuri ya kuniambia mimi nikae mbali na haya mambo, kuuona mwili wa kaka yangu tena ukiwa na risasi kwenye paji la uso umenifanya nimelia kwa masaa mawili nikiwa mwenyewe ndani ya chumba cha maiti, ni bora wangemchukua kaka yangu wakaniachia familia yake ambayo ningekuwa nahisi kama namuona yeye kupitia wao, shemeji yangu wamemchukua bila aibu tena akiwa na mimba tumboni, kaka amemsubiria kwa hamu sana yule mtoto wa kiume ambaye alitarajiwa kuzaliwa muda mfupi ulio kuwa unafuata lakini maskini Malaika wa MUNGU hajafanikiwa hata kuiona dunia hii ambayo imejaa dhuluma.

Hilo halikutosha basi wangeniachia mama yangu, huwezi ukanielewa kirahisi sana ila navyosema mama yangu ni yule mtoto wa kike wa kaka yangu, yule kwangu alikuwa ndiye mama mzazi, kaka aliwahi kuniambia ninavyo muona yule mtoto alivyo basi amechukua kila kitu cha mama yetu kuanzia sura, kuongea , kucheka n ahata aina ya vitu alivyokuwa anavifanya, yule ndiye alikuwa akinifanya nikilitamka neno mama kila wakati ninapo muona naye wamemchukua, hivi akili zako zinafanya kazi sawa sawa mpaka unaniambia kwamba nikae mbali na haya mambo” kauli za Jason zilimshtua sana mkuu wa majeshi kwa sababu zilikuwa ni kauli ambazo wangezizungumza watu ambao wana nguvu na mamlaka sawa, hakuwa yule Jason mpole sana ambaye alikuwa anamjua tangu mwanzo huyu wa leo alikuwa tofauti sana na yeye alivyokuwa anamkadiria, aliikunja suti yake baada ya kujua mazungumzo hayo yalikuwa siriasi sana tofauti na yeye alivyokuwa anayafikira hapo ndipo alielewa kwamba kwanini IGP alimsisitiza sana kwamba kama ana maswali kuhusu kijana huyo basi akamuulize yeye mwenyewe wakikutana na asidharau mambo ambayo yeye binafsi alikuwa hayajui kabisa.

“Wewe ni nani?” ilibidi amuulize Jason akiwa amemkazia sura

“Mimi naitwa Jason Japhary kama ambavyo unanijua wewe” alijibu huku naye akiwa anamkazia sura mzee huyo tena akiwa yupo siriasi sana

“Nadhani inawezekana kuna mambo ambayo mimi siyajui kwako wewe nahitaji kukujua kiundani zaidi na kitu ambacho unataka kukifanya mpaka unasema kwamba huwezi kukaa kando ya haya mambo ambayo mwenyewe umeyasema saivi hapa”

“Huko utapoteza sana muda baba mkubwa hicho sicho kilicho nileta usiku wa leo, utakuja kunifahamu vizuri kama itatokea kuna siku nyingine mimi nawewe tutapata bahati ya kuweza kukaa tena na kuzungumza kwa amani baada ya siku hii ya leo kwa sasa baki kunijua kama unavyo nifahamu tu kwa sababu sidhani kama kuna kitu kitabadilika kwangu na kwako ila kuhusu kile ambacho natakiwa kukifanya nitafanya maamuzi kutokana na majibu ambayo utanipatia hapa baada ya kukuuliza maswali yangu nafikiri unanielewa vizuri sana baba mkubwa” aliongea kistaarabu ila kwa kumaanisha sana na hilo mkuu wa majeshi alilielewa vizuri.

“Hivi unajua kwanza kwamba hapa unaongea na nani?”

“Ndiyo najua kabisa kwamba naongea na mkuu wa majeshi wa nchi ya Tanzania”

“Sasa mbona unaongea kiwepesi sana namna hiyo?”

“Mshukuru MUNGU kwa sababu wewe huwa nakuchukulia kama baba yangu mkubwa ndiyo maana nimekuja kistaarabu sana kwa heshima ya kaka yangu ila kama isingekuwa hivyo nisingekuwa nakubembeleza mpaka muda huu kwa sababu haujui ni uchungu kiasi gani mimi nausikia kwa muda huu kubaki pekeyangu kwenye ulimwengu mzima huu ambao hauna huruma wala wema”

“Niulize maswali yako kisha uondoke maana usije ukanilazimisha nikafanya kitu cha hovyo kwako”

“Siku nyingine tutakayo kutana zaidi ya leo sitaongea kistaarabu kama unavyo niona hii leo hivyo jitahidi sana kukitumia kinywa chako vizuri baba mkubwa na usije ukathubutu kunitisha tena kwenye maisha yako yote, swali langu la kwanza nahitaji kujua huyo muuaji wa raisi mlimkamata vipi kwa muda mfupi namna ile baada tu ya yale mauaji kuweza kutokea ukizingatia kwamba lile eneo halina kamera kabisa sehemu yoyote?” swali lake lilimfanya mheshimiwa ashtuke sana kwa sababu alitegemea sana kwamba kijana huyo angeulizia swali la ndugu yake ila aliamua kuchagua kuanza na swali la mheshimiwa raisi kuweza kuuawa kiwepesi sana maeneo ya Tip top darajani Manzese pale

“Wewe una husika nini na raisi mpaka nifikie hatua ya kukupatia maelezo nyeti sana namna hiyo?”

“Kuna tatizo gani raia kuweza kujua hatima ya raisi wa nchi yake? Ukiachana na kwamba yule ni raisi
Wangu lakini yule kwangu ni kama baba pia hivyo hakuna ubaya kama mimi nikipewa taarifa zake”

“Kwa kifupi tu ni kwamba hakuna taarifa yoyote ambayo naweza kukupa wewe hapo na haya mambo hayakuhusu narudia tena hakikisha unakaa mbali sana na haya mambo usije ukajiletea matatizo ambayo yatakuwa hayana ulazima sana kwako itakuwa ni hatari sana”

“Vipi nawewe ni mmoja wao baba mkubwa?” swali la Jason lilimshtua sana mkuu wa majeshi ambaye alishangazwa mno na kauli ya kijasiri ya huyo kijana.

“Hivi una akili kweli wewe kwahiyo unahisi mimi nimeshiriki kumuua raisi wa nchi?”

“Hakuna mahali nimetamka hivyo ila wewe ndiye unaye yasema hayo, nimekuja kukuuliza maswali kindugu tu ila hii nafasi haitakuja kutokea tena kwenye haya maisha ambayo wewe leo unayachukulia kawaida sana, kwa kifupi labda ngoja nikueleweshe kitu ambacho huenda unahisi mimi ni mjinga kama walivyo baadhi ya wananchi huko nje, lile eneo la Tip top hakuna kamera yoyote ya usalama sasa wewe nikuulize swali hiyo video mliitoa wapi mpaka mkapata kila kilicho tokea pale na mkafanikiwa kumkamata muuaji kwa muda mchache sana namna hiyo?”

“Hahahha hhahahaha wewe mtoto umechanganyikiwa, hahaha hahahh wewe hapo ndo wa kubishana kwenye lile eneo kwamba hakuna kamera? Mwananchi wa kawaida kama wewe unaweza ukazitoa wapi taarifa za siri kama hizo? Kama umeanza kuvuta bangi nenda kwa wenzako huko mtaani ukavute na wenzako kesho ukamzike kaka yako mpuuzi wewe”

“Kama usingekuwa wewe ningekuua muda huu hapa hapa, nimekwambia hakuna binadamu kwenye hii nchi ana uwezo wa kunikoromea mimi zaidi ya kaka yangu ambaye amekufa, huyo raisi wa nchi alikuwa ananiomba mimi kwa unyenyekevu sasa wewe kijakazi wake unajifanya unanijua sana, siku ukija kunijua nakuapia utakuwa na nafasi ndogo sana ya kuutumia huo mdomo wako kwa usahihi. Nimekuuliza swali rahisi sana umeanza kunidhihaki hapa, wewe unanijua mimi mpaka uwe na uwezo wa kunibishia kwamba lile eneo halina kamera? Wewe mkuu wa majeshi unahusika nini na kamera za ulinzi wa nchi mpaka ubishane na mimi?”

“Hey guards c…..” aliwaita walinzi wake mheshimiwa baada ya kuona kama kijana wake huyo amechanganyikiwa alihitaji kuwaita waje wamtoe hilo eneo lakini alizuiwa

“Usifanye hilo kosa kwa sababu sitavumilia tena, usifanye kesho iongezeke list ya watu walio uawa kikatili sana, unaogopa sana kuulizwa haya maswali kwa sababu unajua kwamba muuaji halisi mmemficha na mmeenda kumhukumu kijana wa watu ambaye hahusiki kwa lolote, ndiyo hicho kinakupa uoga sana kikijulikana mbele za uma sio?” mheshimiwa alichoka alijitahidi sana kujikaza ili asionekane dhaifu ila mwili ulikuwa unamsaliti, aliambiwa moja ya kitu cha kutisha sana, alitoa kitambaa mfukoni na kujifuta jasho lake.

“Mtu gani huyo ambaye wewe una jeuri ya kusema ameonewa na muuaji amefichwa?” aliuliza kwa hasira sana huku akiwa anauma meno

“Kama kuna watu walikaa na wakalipanga lile tukio basi walikutana watu ambao ni wapumbavu sana kwa sababu walikuwa hata hawajui ni kitu gani ambacho walikuwa wanakifanya na ni kitu gani ambacho wao walipaswa kukifanya pia, ngoja nikuelekeze ujinga wa kitoto ulipo fanyika. Kosa lilianzia kwenye kupanga safari ya uongo ya raisi inaonekana wazi ile safari ilipangwa na mtu ambaye ni moja kwa moja alikuwa anahitaji mheshimiwa raisi aweze kuuawa kwa sababu hata wewe nikikuuliza raisi kupigwa risasi maeneo kama yale alikuwa anatoka wapi na anaenda wapi hauna jibu la kunipa hivyo ni moja kwa moja ilitengenezwa safari ya uongo ili mzee afe, kosa la pili lilikuwa ni kwenye video, nina uhakika ile video ilikusudiwa kwa asilimia miamoja kwanini nasema hivyo? kwa sababu lile eneo halina kamera kabisa za usalama na hilo nina uhakika nalo lakini kutokana na kujua kitu ambacho kilikuwa kinaenda kutokea pale basi kuna kamera zilitengenezwa makusudi kabisa na mtu ambaye alikuwa anarekodi hilo tukio alikuwa maeneo yale yale yeye na muuaji wakati tukio linafanyika ndiyo sababu mtu wa kwanza kuwa na hiyo video inasemekana kwamba ni wewe hapo na hapo ndipo alipokuja kuingizwa kaka yangu hiyo video ilikuwa ni makusudi ili aipate Kwenda kuuthibitishia uongo mbele ya watu kuhusu tukio la kupanga na ndipo hapo kaka alipo ingia kwenye mtego wa wapanga tukio na Kwenda kuthibitisha mbele ya mahakama na kutoa hukumu ya kunyongwa kwa mtu ambaye hahusiki.

Kosa la tatu ni kuhusu simu na jumbe ambazo alikuwa ametumiwa kaka yangu, kuna jumbe zipo ila pia kuna jumbe zimefutwa najua kuna sababu mpaka haya yote yamefanyika namna hiyo na hizo jumbe sina shida nazo kwa sasa upo muda wake utafika zitahitajika na zitapatikana pale nitakapo zitaka mimi. Kosa la nne ambalo kwa haraka haraka ni la mwisho ni kwenye kumuandaa huyo muuaji, huenda ni mtu ambaye wanamtegemea kwenye kuyafanya haya lakini watu hao akili hawana na hapa ndipo inapokuja sababu niliyo kwambia kwamba muuaji yupo hai na aliye hukumiwa kifo ni mtu mwingine kabisa.

Iko hivi baba mkubwa muuaji aliye muua mheshimiwa raisi ni mtu mmoja na aliye muua kaka yangu kwa aina ya uuaji na upigaji wa risasi lakini pamoja na utaalamu wa urushaji wa risasi hizo, kama mtu huyo angekuwa ndiye aliyekamatwa na kunyongwa sasa aliwezaje kumuua kaka yangu baadae ambaye aliondoka mahakamani mtu huyo akiwa amenyongwa? Unaona watu walivyo kosa umakini kwenye kazi zao na kufanya makosa ya kipumbavu ambayo wanajua kabisa kwamba wameliletea taifa majonzi makubwa sana na vilio kwa familia yangu na ya mheshimiwa raisi? Na viongozi wa juu wa usalama mpo tu mnabadilisha suti mnataka kuuficha ukweli.

Baada ya mazishi kesho, siku inayo fuata nitatoa tamko langu mimi rasmi ambalo wewe unahitaji kulisikia, umeshindwa kunijibu maswali mepesi sana na unakuwa mkali kwa sababu unanijua mimi ni ndugu wa rafiki yako na ni kijana mpole hivyo unahisi unaweza kunipelekesha utakavyo na unaweza kuyafanya yale uyatakayo wewe ila nakusihi kama kweli nawewe umehusika na hili baada ya hilo tamko langu keshokutwa basi kapige magoti mbele ya familia ya raisi, kisha uje kwangu upige magoti lakini ukapige magoti mbele ya waandishi wa habari ukaiombe jamii msamaha na hakikisha watu wanakusamehe hapo ndipo namimi nitakusamehe ila siyo lazima unaweza ukafanya hivyo au ukaendelea kula raha tu wala haina tatizo ila hakikisha hauhusiki, narudia tena HAKIKISHA HAUHUSIKI na hili, nikutakie usiku mwema baba mdogo” maelezo mazito mno yalimuacha mheshimiwa CDF abaki ameachama mdomo, alipewa mambo mengi sana ya siri ambayo huenda kama kweli alikuwa akiyajua basi hakufikiri kwamba kuna watu wanaweza kuyanyumbua wenyewe bila hata kupewa taarifa na mtu yeyote yule, sigara ambayo ilikuwa mdomoni mwake ilikuwa imesha zimika tayari hakuwa akiamini kwamba kuna siku itatokea mkuu wa majeshi anaweza kutishiwa na kijana mdogo kama huyo kwake ilikuwa ni zaidi ya aibu ya mwaka, aligeuka na kumwangalia kijana huyo ambaye alikuwa anaishia gizani alichanganyikiwa mheshimiwa.

16 inafika tamati tukutane tena katika sehemu ijayo.

Wasalaam

Bux the storyteller.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom