Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,266
- 6,519
Huwa najiuliza ingekuwaje tungepata uhuru mwaka 1919 baada ya Mjerumani kushindwa vita vya kwanza vya duni 1914 hadi 1918.
Kumbuka tungekuwa nchi moja na Rwanda na Burundi.
Je, tungetumia lugha gani shuleni. Kumbuka kingereza bado hakijaingia wakati huo ila Germany kwa maeneo machache.
Kabila kubwa kabisa ni hutu, sukuma na tusi. Je tungekuwa na amani hii? Kimaendeleo tungekuwa wapi?
Je, Zanzibar nayo ingeungana na taifa kubwa la zamani la mjerumani 1964?
Je, vita vya watusi na wahutu miaka ya 1950, 1970 na 1994 vingetokea?
Kumbuka tungekuwa nchi moja na Rwanda na Burundi.
Je, tungetumia lugha gani shuleni. Kumbuka kingereza bado hakijaingia wakati huo ila Germany kwa maeneo machache.
Kabila kubwa kabisa ni hutu, sukuma na tusi. Je tungekuwa na amani hii? Kimaendeleo tungekuwa wapi?
Je, Zanzibar nayo ingeungana na taifa kubwa la zamani la mjerumani 1964?
Je, vita vya watusi na wahutu miaka ya 1950, 1970 na 1994 vingetokea?