Inasikitisha kwamba hospitali ya rufaa ya Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan

Hospitali ya Bugando ni hospitali kongwe na kubwa hapa Tanzania.

Ni hospitali ya rufaa katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na mikoa ya jirani.

Cha ajabu na cha kusikitisha hospitali kubwa kama Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan.

Serikali na wamiliki wa hii hospitali wafanye jitihada kuweza kununua hivyo vifaa.

Inashangaza kufika Bugando unahitaji hivyo vipimo ukaambiwa ukavitafte kwenye hospitali ndogo ndogo za watu binafsi.
Serikali ifike mahali iisaidie hiyo hospitali ya Bugando,siyo kila kitu ni Dar peke yake utadhani watanzania wote tunaishi Dar
 
hatuna mpango na hizo habari.....acha tununue mandege mengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...tujenge mabarabaraa kwanza tukimaliza ndo tutajenga hospitali kubwa pale CHATO na itakua na huduma zote maana chato na bugando sio mbali
 
Hakuna hospitali ndogo ndogo kanda ya ziwa ina MRI.

Sidhani kama Tanzania kuna MRI zaidi ya tatu.

CT SCAN nazo zikizodi sana zitakuwa 4

Na hizi zote CT SCAN na MRI zote zipo DAR es salaam
Mwanza kuna mtu private ana diagnostic center ina MRI,, anapatikana kule mitaa ya isamilo
 
wewe ndio mpumbavu, lift ya serena hotel ikiharibika serikali itengeneze, basi la abood likipinguka serikali itengeneze, regulatory systems ndio nini? haya manyumbu ya chadema sijui mbowe anayatoaga wapi? haya nenda kwenye page ya Mange uka like keshamtukana mtu tayari.
Kwa ulicho andika hapa huna tofauti na mange kimambi
 
Pesa zimenunulia ndege kwa ajili ya wanyonge na pia tunbajenga airport chato kwa ajili ya wanyonge....Tulia hapa bstora tu ukisumbua
 
Hizo huduma tunazipata kutoka Mbijiwe, ni kituo binafsi kwa ajili ya kutoa hizi huduma za MRI na CT scan
 
kaka nashindwa kukuelewa, hii ni hospital binafsi inawamiliki wake ndio wenye wajibu wa kununua vifaa vya hospital, ila naona unaongea kama unatokea kishumundu, sijui umelewa mbege au unamatatizo ya akili.
Alitaka kiligeuza suala hili kuwa la kisiasa kupitia cheap propaganda bila kujua kuwa Bugando Medical Center is a private owned Institute.
 
Sijui kama unajua Kiingereza ila ni hivi serikali nayo ina mkono wake tuondoe mambo ya hisa maana hii siyo biashara.
"in October 1985 the Government handed back the Hospital to the Tanzania Episcopal Conference of the Catholic Bishops of Tanzania who is the owner with an agreement that the hospital be run in partnership with the government to provide Government Services as a referral and consultant hospital for the Lake Zone."
Kwa hiyo husimtukane mwenzio anachosema ni kweli ila wewe ndiyo uelewi au kwa Kiswahili chako mjinga mjinga
Hakuna sababu ya kuzozana mambo kama haya yanataka akili ya ziada hata kufahamu kama yapo.
 
Naona wengi wanaohitaji hiyo huduma wanaelekezwa kwenda kwa wale wahindi kule Isamilo karibu na nyumba ya Dr. Asha Rose Migiro
 
Hospitali ya Bugando ni hospitali kongwe na kubwa hapa Tanzania.

Ni hospitali ya rufaa katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na mikoa ya jirani.

Cha ajabu na cha kusikitisha hospitali kubwa kama Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan.

Serikali na wamiliki wa hii hospitali wafanye jitihada kuweza kununua hivyo vifaa.

Inashangaza kufika Bugando unahitaji hivyo vipimo ukaambiwa ukavitafte kwenye hospitali ndogo ndogo za watu binafsi.
Mfikishie hizi taarifa Mange Kimambi yule ndio wanamsikiliza maana kila siku asubuhi lazima wamsome na usiku kabla hawajalala lazima wamsome. Mange ndio mbunge wa Taifa kwa sasa.
 
wewe ndio mpumbavu, lift ya serena hotel ikiharibika serikali itengeneze, basi la abood likipinguka serikali itengeneze, regulatory systems ndio nini? haya manyumbu ya chadema sijui mbowe anayatoaga wapi? haya nenda kwenye page ya Mange uka like keshamtukana mtu tayari.


Wewe ni juhan kubwa tena usiongee na mimi. Ni lipumbavue kama wewe tu anayeweza kuanika utupu wa bichwa lako kwa kutokuelwa effective regulatory systems unaropoka kwamba ni kufanya repair!. Wewe ni mpumbavuef tena bichwa mavie!.

Achana na mimi wewe bichwa mavie, katafute vijiwe vya kahawa ndio useme nao. You are too low kutaka ubishi na mimi. Ishia bichwa mzoga wa fisi!

Majuha kama wewe sitaki kuongea nayo. Tena kaa mbali na mimi. Pumbavue!
 
Back
Top Bottom