Inakuaje akaunti ya M-Pesa ya CHADEMA inasema pesa zimejaa wakati kwenye makubaliano Vodacom ilisema akaunti haina ukomo?

Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom. Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa. Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.

Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!

Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.

View attachment 3254909
Hilli tangazo nimelipata last week nikaitumia hiyo namba huo ujumbe lakini sikupata jibu lolote. Leo nimeweka 50k imepokea. Ni juu ya cdm kuhamishia hizo pesa kwenye account ya bank kila mara. Haya makampuni ya simu mengi yanapokea maagizo ya majizi ya ccm.
 
Propaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya gari lake.
Propaganda za kipuuzu wakati mimi nimekutana na hiyo sms last week?

Sorry, M-PESA cannot authorize this transaction since this transaction will exceed recipient's balance limit.
 
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom. Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa. Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.

Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!

Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.

View attachment 3254909
Aibu sana
 
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom. Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa. Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.

Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!

Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.

View attachment 3254909
Serikali ipitishe sheria ya kuzuia vyama vya siasa kuchangisha hela
 
Hivi ni tangu lini bank huwa inasema imejaa mapesa na haitaki tena watu waendelee kuyaweka? Hiyo Vodacom ni kama bank ( ya mtandao) sasa inaposema kwamba account imejaa, malimbikizo ni shilingi ngapi ? utopolo mtupu...
 
Hivi ni tangu lini bank huwa inasema imejaa mapesa na haitaki tena watu waendelee kuyaweka? Hiyo Vodacom ni kama bank ( ya mtandao) sasa inaposema kwamba account imejaa, malimbikizo ni shilingi ngapi ? utopolo mtupu...
Wewe hujui kitu kichwani uko mweupeee

Ungemuuliza hata wakala tu wa Mpesa popote angekujibu hilo

Kuliko kuja kuandika huu upumbavu wako hapa
 
Nadla
Propaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya ga
Hujui ulichohamaki na kujibu. Hawajasema Lissu amekusanya nini, wamesema mfumo umechezewa
Propaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya gari laHujui u

Propaganda za kipuuzi kabisa hizi. Kama akaunti imejaa pesa tuonesheni ni shilingi ngapi zimo humo! Lissu HANA ubavu wa kuchangisha zaidi ya milioni kumi. Ushahidi ni michango ya gari lake.
Nina hakika umehamaki kujibu kisichoelezwa na mtoa mada. Ama hujamuelewa au chuki zako. Hawajasema chochote kuhusu Lissu au kiwango kilichochangiwa. Wamelalamikia hujuma Account kugoma kupokea pesa kwa kisingizio cha Account kujaa pesa. Hata mimi ningejiuliza, kwani Account zingine zimewahi kukataa pesa kwa kisingizio kama hicho? Hatukosei kusema ni hujuma za kitoto japo zitawakwamisha hao Chadema.
 
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom. Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa. Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.

Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!

Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.

View attachment 3254909
Acha wajichanganye chadema itaichukua hii campuni mchana kweupe
 
Watu wengi wameeleza kushindwa kuichangia CHADEMA kupitia mtandao wa Mpesa/Vodacom. Baadhi ya waliojaribu kuwasiliana na Vodacom huduma kwawateja, wameambiwa kuwa eti akaunti hiyo ya CHADEMA imejaa pesa, na hivyo haiwezi kupokea hela zaidi. Wakati kwenye makubaliano kati ya CHADEMA na Vodacom, akaunti hiyo ya CHADEMA, haina ukomo wa kupokea pesa. Hivyo kushindwa kupokelewa pesa kutoka kwa wadau wa CHADEMA inaonekana ni mpango uliosukwa kati ya Vodacom na mahasimu wa CHADEMA, kwa nia ya kuihujumu CHADEMA.

Kweli CCM ni chama cha uharibifu wa kila eneo!!!

Muda si mrefu, viongozi wa CHADEMA watatoa tamko kuhusiana na uharamia huu wa kampuni ya Vodacom.

View attachment 3254909
Hivi vi kampuni vyetu uchwara bado havijajua nguvu ya wateja. Kuna siku vitakuja kuangushwa kizembe sana
 
Back
Top Bottom