tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
yes, hiyo sio mbaya, mwite home aje kukusalimia alafu unajiongezakuna mda linaniijia hilo wazo nataka nae asikie uchungu
yes, hiyo sio mbaya, mwite home aje kukusalimia alafu unajiongezakuna mda linaniijia hilo wazo nataka nae asikie uchungu
nafaham sababu zake ni kuni chikoza ni Mwache tugawane mali zangu, pia kuhusu udukuzi mm npo vizur sanaMwanamke akishafikia hatua hiyo ni wachache sana ambao wanaweza kupata ufahamu wa kurudi nyuma na kuwa na mapenzi na ww kama mwanzo,kwangu mimi napenda mwanamke ambae anaweza kuniheshimu na kunipenda upendo unapotoweka na kuanza kuumizwa hua siwezi kukubali maumivu kama hayo!Maisha yenyewe mafupi kwa nini kuumizana,kwa hiyo uamuzi unao wewe kunyoa au kusuka.Muda mwingine ni wenda wazimu kufikiri kwamba mwanamke akishageuka nyoka anaweza kurudi tena kwenye hali yake,atarudi kwako tu baada ya kutendwa kule alipoenda au kutoswa.
Hamuwezi kugawana kwa sababu hujamuoa, halafu yy ndio chanzo cha matatizo, au kuna vitu uumfanyii kule alipoenda anavipata ? tafakali mkuunafaham sababu zake ni kuni chikoza ni Mwache tugawane mali zangu, pia kuhusu udukuzi mm npo vizur sana
Huu ndiyo ukweli. Chapa lapa kaka. Ukiendelea kukaa utakutana na makubwa zaidi.Kaka ushauri wangu,ni wewe kuachana na huyo mwanamke, mtunze mwanao, endelea na maisha yako mapya.Usijaribu kujishusha, atakuendesha hivyo maisha yako yote,cha muhimu achana naye kabisa
Uko sawa.Ni vizuri kumshauri mtu kutokana na ushauri alioomba huwezi kujua wakati anaandika alikuwa ktk hali gani,pili amekiri kwamba yeye sio mwandishi mzuri!Kila mtu ana mapungufu yake,ni bora kama hauna ushauri wa kumpa mtu ukae kimya kuliko kuanza kumkejeli.
Acha kupoteza muda wewe mwanaume (mdogo wake ndiyo suluhisho). Ikiwezekana mtafute alipo leo umgegede na uchukue jumla.kuna mda linaniijia hilo wazo nataka nae asikie uchungu
Tuliza presha mkuu kaza roho kiume wala usimuoneshe km umepanick mwanamke akitiwa huko nje ya ndoa n kuanza kukudharau hamfiki popote, sitisha zoez la mahari mkuu usijepoteza hela zako Bure.... Kaa naye na wazazi utatue hili tatizo kabla hujaingia kwenye kifungo cha ndoa..... Coz marriage is not a playing groundMsamehe tu lkn angeniona asinge tamka hayo maneno
Ataishi huyu mtoto.... Wachana na huyu mama ikibidi jikaze usipige usipokee simu yake wala usijibu text mkaushie Uone atavyohahanaumia sana hasa nikiwaza mwanangu
Ukoo huo hapafai...... Waachekuna mda linaniijia hilo wazo nataka nae asikie uchungu