Haha hahaha eti kashata za naziChuoni mwaka 2011-12 ulikuwa unasomea utengenezaji wa kashata za nazi?!!
Kumbe basi hongera zakealikuwa nyingi that's why haku feel chochote
Anzisha yakoNaomba watu wazima tuwe na Jamii forums yetu maana hii kitu haina test kabisa kipindi inaanza ilikuwa nzuri sana lakini leo hii watoto wanaiharibu
Amemaanisha story yake inahusu mwaka 2011-12,ila imetokea kipindi anasoma chuo.Chuoni mwaka 2011-12 ulikuwa unasomea utengenezaji wa kashata za nazi?!!