Ilianzia Ulaya na Marekani Makanisa kukosa waumini na kufungwa. Kati ya Misikiti 75,000 nchini Iran, Misikiti 50,000 imefungwa baada ya kukosa waumin

Unatia shaka kuhusu namna unavyojadili hizi mambo .

Kadili unavyoongea Kuna namna naona una shida ya reasoning.

Unaongelea himaya ya Kilwa miaka mingi iliyopita,wakati hapo juzi Tanganyika inapata uhuru idadi ya watu ilikuwa milioni 13.

Vipi miaka zaidi ya 300 nyuma,Tena kwa kipande kidogo kama kilwa? Idadi ya watu ilikuwaje?

Focus.
Reasoning yako ndiyo ndogo,nilikua nakuonesha uislam umeingia lini tz na ukiristo umeingia lini,toka bagamoyo mpaka ujiji wanamuabudu Allah sw miaka 200+ kabla mmisionari wa kikiristo hajatia mguu Tanganyika,yaani hata Nyerere alibatizwa baadae Sana shuleni na kuchagua jina Julius baada ya kuvutiwa na Julius Caesar
 
Kwa hiyo idadi ya waislam wewe umeitoa wapi?
Sensa ya 1958 inayoonesha waislam ni 66%,hii marehem mrema anajua,akiitumia majukwaani siasa za 1995,alisema waislam ni zaidi ya 56%,mtei mwenye chadema na governor bot ya Nyerere alisema lipumba akitumia uislam wake anaenda ikulu,wanajua
 
Narudia tena,una tatizo la reasoning ,labda hunisomi between the lines.

Unajua kwa nini nimeitaja bagamoyo peke yake na kuziacha hizo wilaya nyingine? Idadi ya watu.

Wilaya kama rufiji,mafia na kisarawe hata waislamu wakiwa 100% ni sawa na negligible (hakuna effect katika kufanya idadi ya waislamu iwe kubwa Tanzania).

Unaijua masasi ambayo Ina wakristo wengi zaidi huko Mtwara? Unajua idadi ya watu hiyo wilaya? Pengine unapaswa uzikusanye hizo wilaya zote ulizozitaja ukiondoa bagamoyo na Kibaha ambayo Haina uislamu huo ulioutaja.
Acha kunidanganya kuhusu masasi babu
 
ATI Lindi ukiristo uko juu,unazungumzia kuwa juu kiidadi au makelele ya mahubiri!?..mkoa wa pwani unahusisha mafia,bagamoyo,rufiji,kibaha,kisarawe,kwamba huko ukiristo uko juu, unafikiri sawasawa!?..kalale
Umewahi kuishi Lindi? Nimekaa miaka 11.

Lete fact kuhusu uhalisia,maana Mimi umemiita muongo. Lindi ukiondoa Kilwa na liwale,sehemu zingine zilizo Baki waislamu wanaisabika.

Alafu nikuambie kitu kingine? Mkia wa Lindi ni Moja ya mikoa yenye watu wachache sana despite ni mkoa mkubwa kieneo. Hapo tunazidi kuelewa kuwa hata liwale na Kilwa zikiwa na waislamu 100% haziwezi kuzidi wilaya ya mbalali kule mbeya.

Bado hoja yako ya idadi ya waislamu kuwa wengi Bongo inazidi kukosa mashiko.
 
Umewahi kuishi Lindi? Nimekaa miaka 11.

Lete fact kuhusu uhalisia,maana Mimi umemiita muongo. Lindi ukiondoa Kilwa na liwale,sehemu zingine zilizo Baki waislamu wanaisabika.

Alafu nikuambie kitu kingine? Mkia wa Lindi ni Moja ya mikoa yenye watu wachache sana despite ni mkoa mkubwa kieneo. Hapo tunazidi kuelewa kuwa hata liwale na Kilwa zikiwa na waislamu 100% haziwezi kuzidi wilaya ya mbalali kule mbeya.

Bado hoja yako ya idadi ya waislamu kuwa wengi Bongo inazidi kukosa mashiko.
Mimi nimekupa mikoa dominant ya waislam nikajumlisha na Zanzibar Kama mkoa,ambao unafuta mkoa mzima wa mbeya, waislam wa temeke wanafuta wakiristo wote wa Kilimanjaro
 
Mimi nimekupa mikoa dominant ya waislam nikajumlisha na Zanzibar Kama mkoa,ambao unafuta mkoa mzima wa mbeya, waislam wa temeke wanafuta wakiristo wote wa Kilimanjaro
We jamaa asee!!

Katika huu mijadala naomba tussliijadili Zanzibar, maana hivyo visiwa viwili (unguja na pemba) ni nchi na Ina watu milioni 1.3 tu.

Unasema waislamu wa Temeke wanafuta idadi ya watu wa mkoa wa Kilimanjaro?

Hii takwimu umeitoa wapi?

Kuna kitu nataka nikuambia kuhusu Dar es salaam.

Narudi..
 
We jamaa asee!!

Katika huu mijadala naomba tussliijadili Zanzibar, maana hivyo visiwa viwili (unguja na pemba) ni nchi na Ina watu milioni 1.3 tu.

Unasema waislamu wa Temeke wanafuta idadi ya watu wa mkoa wa Kilimanjaro?

Hii takwimu umeitoa wapi?

Kuna kitu nataka nikuambia kuhusu Dar es salaam.

Narudi..
Huna Cha kuniambia kuhusu dar es salaam,mbeya Ina watu wangapi kwa sensa ya 2022?
 
Sensa ya 1958 inayoonesha waislam ni 66%,hii marehem mrema anajua,akiitumia majukwaani siasa za 1995,alisema waislam ni zaidi ya 56%,mtei mwenye chadema na governor bot ya Nyerere alisema lipumba akitumia uislam wake anaenda ikulu,wanajua
Dude!!

Tanganyika inapata uhuru ilikuwa na watu milioni 13 pekee. Leo tuko milioni 67. Pia ukumbuke enzi hizo wakati unakomaa uislamu ulikuwa juu(66%) mikoa ya pwani ilikuwa ni rahisi kufikika na kufanya hesabu. Mfano Tanga (ambayo imejengwa na wajerumani) Lindi mjini, Dar es salaam.

Ilikuwa ni rahisi kufikika Tanga kuliko mbeya na katavi kwa sababu ya miundo mbinu.

Leo idadi ya watu imekuwa kubwa uislamu ambao ulikuwa matured katika hayo maeneo yote Leo hii umekuwa diluted. Kuna wakristo na ukristo sana katika hayo maeneo yote.

How come useme waislamu wapo wengi Leo?
 
We jamaa asee!!

Katika huu mijadala naomba tussliijadili Zanzibar, maana hivyo visiwa viwili (unguja na pemba) ni nchi na Ina watu milioni 1.3 tu.

Unasema waislamu wa Temeke wanafuta idadi ya watu wa mkoa wa Kilimanjaro?

Hii takwimu umeitoa wapi?

Kuna kitu nataka nikuambia kuhusu Dar es salaam.

Narudi..
"Mbeya - Wikipedia" Mbeya - Wikipedia
 
Tuliishawaambia hawa, kwamba uislam wa America na Ulaya ule ni uislam wa tofauti. Uislam wa kule unawekwa kundi moja na NGOs, wameutengeneza Uislam wao na unafanya vile watakavyo wao.
Jifurahishe na habari zako ukweli unaonekana
 
Nikuambie kitu kuhusu Dar bwana inamankusweke .

Zamani kwa mkoa wa Dar es salaam,maeneo kama magomeni ilikuwa ukitafuta chumba ukitaka jina lako john au Samuel hupati chumba, enzi hizo uislamu ulikuwa juu sana dar na mikoa ya pwani. Na kama unavyowajua waislamu ni Wana asili ya ubaguzi,ilikuwa balaa enzi hizo. Kama wewe ni mtu mzima unaweza kukumbuka sakata la waislamu kuwapiga na kuwabomolea wakristo wa kinondoni maduka yao ya nguruwe(butcher) kisa hawataki habari za ukafiri na kuuza nguruwe kino.

Vita ikaenda kuwaka ubungo baada ya wakristo wa kinondoni kukimbilia maeneo ya ubungo kutoa taarifa kuwa wakristo wa kinondoni wanapigwa na waislamu na wameapa wakiwamaliza wakristo wa maeno hayo wanaenda ubungo kukiwasha.

Wakristo wa ubungo wakajipanga "Hawa hatuwakimbii na fremu za kuuza nguruwe hatufungi,wake tutakabiliana nao na sisi tuna visu vya buchani".

Lile 'vagi' la ubungo kilikuwa balaa maana watu wengi walikufa na ukawa mwanzo wa serikali kutoa tamko wakristo waachwe wauze nguruwe huru maana hii siyo nchi ya kidini.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa; uislamu ambao miaka hiyo ulikuwa juu,Leo Dar Ina watu milioni 7 na wengi wakiwa wahamiaji kutoka mikoani huwezi kuja na hoja ile ile ya miaka ya 80 eti waislamu wa Temeke ni wengi kuliko wakristo wa mkoa mzima wa Kilimanjaro.

Ulifanya lini sensa ya idadi ya waislamu Temeke? Mbona Temeke Kuna wakristo wengi sana. Au kwa sababu ya maeneo maarufu ambayo yamebaki kuwa duni kama kwa azizi aly,mtongani,tandika na mwembeyanga? Leo utasema kijichi na buza Ina waislamu wengi wakati ni miji mipya ya Jana tubna Ina watu mchanganyiko?

Narudia tena,idadi ya waislamu kuwa wengi Tanzania Iko overrated,labda mnandanganywa misikitini. Mikoa ya Bara mingi hawana habari na uislamu.
 
Dude!!

Tanganyika inapata uhuru ilikuwa na watu milioni 13 pekee. Leo tuko milioni 67. Pia ukumbuke enzi hizo wakati unakomaa uislamu ulikuwa juu(66%) mikoa ya pwani ilikuwa ni rahisi kufikika na kufanya hesabu. Mfano Tanga (ambayo imejengwa na wajerumani) Lindi mjini, Dar es salaam.

Ilikuwa ni rahisi kufikika Tanga kuliko mbeya na katavi kwa sababu ya miundo mbinu.

Leo idadi ya watu imekuwa kubwa uislamu ambao ulikuwa matured katika hayo maeneo yote Leo hii umekuwa diluted. Kuna wakristo na ukristo sana katika hayo maeneo yote.

How come useme waislamu wapo wengi Leo?
We jamaa upeo na elimu yako ndogo sana!!..wanaoongezeka wakiristo TU waislam hawaongezeki,tanu kabla ya uhuru ilizunguka nchi nzima,mkoloni aliyekua na uwakilishi Kila sehemu Alishindwa zunguka kufanya sensa!?..kipindi hicho mkwawa muislam wanyakyusa wapagani
 
Dini imekosa ushawishi hadi kwenye chimbuko lake.

Inaonekana watu walikuwa wakifanya tathmini ya chini kwa chini, wakajiuliza huyu Allah mbona kama ni stori tu zilizowekwa na wakubwa ili kufanikisha agenda zao.

Mpaka hapo wakaamua wampotezee
Daah wee jamaa
 
Nikuambie kitu kuhusu Dar bwana inamankusweke .

Zamani kwa mkoa wa Dar es salaam,maeneo kama magomeni ilikuwa ukitafuta chumba ukitaka jina lako john au Samuel hupati chumba, enzi hizo uislamu ulikuwa juu sana dar na mikoa ya pwani. Na kama unavyowajua waislamu ni Wana asili ya ubaguzi,ilikuwa balaa enzi hizo. Kama wewe ni mtu mzima unaweza kukumbuka sakata la waislamu kuwapiga na kuwabomolea wakristo wa kinondoni maduka yao ya nguruwe(butcher) kisa hawataki habari za ukafiri na kuuza nguruwe kino.

Vita ikaenda kuwaka ubungo baada ya wakristo wa kinondoni kukimbilia maeneo ya ubungo kutoa taarifa kuwa wakristo wa kinondoni wanapigwa na waislamu na wameapa wakiwamaliza wakristo wa maeno hayo wanaenda ubungo kukiwasha.

Wakristo wa ubungo wakajipanga "Hawa hatuwakimbii na fremu za kuuza nguruwe hatufungi,wake tutakabiliana nao na sisi tuna visu vya buchani".

Lile 'vagi' la ubungo kilikuwa balaa maana watu wengi walikufa na ukawa mwanzo wa serikali kutoa tamko wakristo waachwe wauze nguruwe huru maana hii siyo nchi ya kidini.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa; uislamu ambao miaka hiyo ulikuwa juu,Leo Dar Ina watu milioni 7 na wengi wakiwa wahamiaji kutoka mikoani huwezi kuja na hoja ile ile ya miaka ya 80 eti waislamu wa Temeke ni wengi kuliko wakristo wa mkoa mzima wa Kilimanjaro.

Ulifanya lini sensa ya idadi ya waislamu Temeke? Mbona Temeke Kuna wakristo wengi sana. Au kwa sababu ya maeneo maarufu ambayo yamebaki kuwa duni kama kwa azizi aly,mtongani,tandika na mwembeyanga? Leo utasema kijichi na buza Ina waislamu wengi wakati ni miji mipya ya Jana tubna Ina watu mchanganyiko?

Narudia tena,idadi ya waislamu kuwa wengi Tanzania Iko overrated,labda mnandanganywa misikitini. Mikoa ya Bara mingi hawana habari na uislamu.
Suala la mabucha ya nguruwe kigogo ni akili zenu za kijinga,muuza bucha kampimia mtoto nyama ya nguruwe badala ya ng'omb
Nikuambie kitu kuhusu Dar bwana inamankusweke .

Zamani kwa mkoa wa Dar es salaam,maeneo kama magomeni ilikuwa ukitafuta chumba ukitaka jina lako john au Samuel hupati chumba, enzi hizo uislamu ulikuwa juu sana dar na mikoa ya pwani. Na kama unavyowajua waislamu ni Wana asili ya ubaguzi,ilikuwa balaa enzi hizo. Kama wewe ni mtu mzima unaweza kukumbuka sakata la waislamu kuwapiga na kuwabomolea wakristo wa kinondoni maduka yao ya nguruwe(butcher) kisa hawataki habari za ukafiri na kuuza nguruwe kino.

Vita ikaenda kuwaka ubungo baada ya wakristo wa kinondoni kukimbilia maeneo ya ubungo kutoa taarifa kuwa wakristo wa kinondoni wanapigwa na waislamu na wameapa wakiwamaliza wakristo wa maeno hayo wanaenda ubungo kukiwasha.

Wakristo wa ubungo wakajipanga "Hawa hatuwakimbii na fremu za kuuza nguruwe hatufungi,wake tutakabiliana nao na sisi tuna visu vya buchani".

Lile 'vagi' la ubungo kilikuwa balaa maana watu wengi walikufa na ukawa mwanzo wa serikali kutoa tamko wakristo waachwe wauze nguruwe huru maana hii siyo nchi ya kidini.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa; uislamu ambao miaka hiyo ulikuwa juu,Leo Dar Ina watu milioni 7 na wengi wakiwa wahamiaji kutoka mikoani huwezi kuja na hoja ile ile ya miaka ya 80 eti waislamu wa Temeke ni wengi kuliko wakristo wa mkoa mzima wa Kilimanjaro.

Ulifanya lini sensa ya idadi ya waislamu Temeke? Mbona Temeke Kuna wakristo wengi sana. Au kwa sababu ya maeneo maarufu ambayo yamebaki kuwa duni kama kwa azizi aly,mtongani,tandika na mwembeyanga? Leo utasema kijichi na buza Ina waislamu wengi wakati ni miji mipya ya Jana tubna Ina watu mchanganyiko?

Narudia tena,idadi ya waislamu kuwa wengi Tanzania Iko overrated,labda mnandanganywa misikitini. Mikoa ya Bara mingi hawana habari na uislamu.
Suala la mabucha ya nguruwe kigogo ni ujinga wenu,muuza bucha kampimia mtoto nguruwe badala ya ng'ombe, Nyerere alipewa nyumba nzima magomeni Aishi na familia yake,Kuna kanisa kule kkoo na msimbazi, wakiristo wa huko walipanga nyumba za akina nani!?..Kuna kanisa magomeni, wakiristo wa pale walipanga nyumba za akina nani!?..hayo inayosema wewe ni yenu wakiristo mamboleo,lakini dar hapa waislam waliwaalika wakiristo futari ramadhani na wakiristo hawakupika chakula Cha usiku,mongella katamba alizaliwa kkoo,waliishi nyumba ya nani!?...halafu mbona hiyo ubungo ya riverside,mabibo,bakwata tukihesabiana Wala wakiristo siyo wengi kuliko waislam!!..unachanganywa tu na makelele ya mzee wa upako unadhani wakiristo wengi,si kweli
 
Back
Top Bottom