Ili kuwa Mkuu wa Mkoa unahitaji elimu gani?

Nmeipenda
 
Tujarbu kuwa waelewa mtoa uzi anaulza elimu inayopaswa awe nayo mkuu wa mkoa...so yeyote yule Tz hajamtaja jna mtu so ww jbu n level gan ya elimu husjbu husoulzwa ndomana twafeli mitihan

haya nambie makonda ana elimu gani
 
Yoyote ilimradi unajua kusoma na kuandika, uwezo wa kuongea mbele ya watu, kujiamini n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…