Ili kuwa Mkuu wa Mkoa unahitaji elimu gani?

Kamakonda kanawasumbua saaana, hamkawezi kale, kamekaa pembeni kananawacheki tu , mnaongeaaaa muda unaenda, na salary kanapata, na majukumu ya vyeti mnavyosema hakijaonyeshwa hata photocopy yake, ushahidi wa kitu uuonekane, sio kusemasema tu amefoji, toeni ushahidi, acheni maneno. Na cheo cha mkuu wa mkoa sio cha kuomba, ni kuteuliewa, mlaumuni aliemteua akaacha kuangalia vyeti, yeye hakuomba kazi, hiyo. Yeye katajwa na kuombwa kufanya kazi hiyo, sasa Nani alikuambia aliambiwa alete cheti cha. Form four, ? Ebaba eh huyu jamaa ni mchapa kazi tu, we acha mambo ya cheti, ukiona utufurahishe tulete photocopy tujiridhishe ili tuanze kumjaji makonda, kaacheni kadogo kapumzike, MAKONDA OYEEE
Nmeipenda
 
Tujarbu kuwa waelewa mtoa uzi anaulza elimu inayopaswa awe nayo mkuu wa mkoa...so yeyote yule Tz hajamtaja jna mtu so ww jbu n level gan ya elimu husjbu husoulzwa ndomana twafeli mitihan

haya nambie makonda ana elimu gani
 
Back
Top Bottom